Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiendani na maana ya honorary degree. Ikiwa huelewi maana ya hiyo PhD soma hapa.
''An honorary degree (a degree honoris causa) (In Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university/degree-awarding institution) award to someone as a way of honoring that person for his/her contributions to a specific field, or to society in general.
Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia
Kulingana na matatizo makubwa yanayoendelea nchini na mwenendo wa utawala wa huyo bwana inakuwa vigumu kukubali kwamba anastahili heshima hiyo. Inaonekana amepewa kwa sababu za kisiasa au kuna watu wanatoa shukrani katika vyuo husika.
nilikujib kuwa haipunguz kitu ila baadhi ya wanajf wanahoj kwa utendaj upi jk anakidhi vigezo vya kupewa heshima hiyo?Kweli wivu ni mzigo. Hiyo phd aliyopewa inawapunguzia nini.
Kwa mjinga kama wewe hakuna dawa. Bora hata ufe maana hunathamani kwa watanganyika wanaoteseka china ya mfumo wa ibilisi huyu.Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.
Hatuuoni mchango wake wa kusitahili hiyo PhD. Lakini kwakuwa waliompa ni wanamtandao wake hutushangai.Kweli wivu ni mzigo. Hiyo phd aliyopewa inawapunguzia nini.
Duh mkuu naona wamekuudhi sana hata mimi najuta kwanini degree yangu ya kwanza niliichukulia pale, na kuanzia jana sitakitumia cheti changu cha bachelor kuombea kazi.Nimesikitishwa sana na chuo ambacho watu wamepitia wengi sana na ambao wako kwenye ngazi muhumu sana serikalini kumpa PhD Kikwete. Mambo ya kujiuliza watanzania wenzangu ni kwa nini huyu mtu anapewa hii heshima? kwa lipi hasa alilolofanya kubwa kwenye sheria na mpaka apewe PhD? Je ni kuwanyima mahakimu wa mahakama za mwanzo mazingira mazuri ya kufanya kazi? ingekuwa vizuri na inampendeza mungu ningemtukana Mkandara kwa kusukuma hili na likawezana kwa sababu yeye ndo kawekwa pale kwa maslai yake Kikwete. I hate this and I will join who will rejoice the fall of Kikwete mzalimu na fisadi mkubwa nchini Tanzania na anayepewa PhD kwa ufisadi wake wa kubaka democrasia
...juzi suti,jana Dr, leo phd!?...kesho mtampa nini?
Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.