Ukweli kuhusu PHD aliyopewa kikwete!

Haiendani na maana ya honorary degree. Ikiwa huelewi maana ya hiyo PhD soma hapa.

''An honorary degree (a degree honoris causa) (In Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university/degree-awarding institution) award to someone as a way of honoring that person for his/her contributions to a specific field, or to society in general.

Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia

Kulingana na matatizo makubwa yanayoendelea nchini na mwenendo wa utawala wa huyo bwana inakuwa vigumu kukubali kwamba anastahili heshima hiyo. Inaonekana amepewa kwa sababu za kisiasa au kuna watu wanatoa shukrani katika vyuo husika.

naungana na wewe kwa asilimia zote! Nawashangaa wanaotoka watokako na kuanza kutetea huu upunguani wa Wasomi wa Kitanzania!
 
Hiinchi ya wajinga yaani hakuna weledi kwenye taaluma. sasa wnampa hiyo PHD halafu iweje? mtu mwenyewe kashindwa kuongoza nchi wanamjazia vyeo tuuuu. heri ya Nyerere aliyejiita Mwl hakutaka kujikweza na ma PhD ya kinafiki nafiki
 
Nimesikitishwa sana na chuo ambacho watu wamepitia wengi sana na ambao wako kwenye ngazi muhumu sana serikalini kumpa PhD Kikwete. Mambo ya kujiuliza watanzania wenzangu ni kwa nini huyu mtu anapewa hii heshima? kwa lipi hasa alilolofanya kubwa kwenye sheria na mpaka apewe PhD? Je ni kuwanyima mahakimu wa mahakama za mwanzo mazingira mazuri ya kufanya kazi? ingekuwa vizuri na inampendeza mungu ningemtukana Mkandara kwa kusukuma hili na likawezana kwa sababu yeye ndo kawekwa pale kwa maslai yake Kikwete. I hate this and I will join who will rejoice the fall of Kikwete mzalimu na fisadi mkubwa nchini Tanzania na anayepewa PhD kwa ufisadi wake wa kubaka democrasia

Wivu utakuua wewe, ameshapewa PhD ngapi na vyuo vyenye hadhi gani ulikondee la Mlimani!!

Halafu, hivi akipewa hiyo PhD mfumuko wa bei unaongezeka? Au ndo Dowans wanalipwa? Labda utanyang'anwa uraia. Najaribu kutafuta kwa nini linakugusa hivyo hili suala, hakuna sababu ya msingi kumbe ni wivu tu...
 
Arudi shule ipi atakayoiweza? wakati yupo kijana na mambo hayakuwa mengi alipata GPA ya 2, sasa akisema arudi ni supplimentary kozi zote ktk semister ya kwanza
Arudi shule akatafute nn haswa?kama heshima anayo ndani na nje ya nchi,nabii akubaliwi kwao,ww unaumia nn rais kupewa phd,na unahitaji mchango gani kama rais atoe ili upate hiyo heshima,by the way phd yake ni heshima tu,kuongoza harambee na kupata zaid ya mil 800 kwa maendeleo na ujenzi wa chuo unahitaji nn tena kujua kama anamchango wake,watanzania acheni majungu mnamkosea heshima kweli muheshimiwa mi naamin kwa nafac aliyonayo hahitaji phd zetu za maneno maneno
 
Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.

Kikwete is capable of what? Huyu mhuni wa kijiweni amefanya nini mpaka leo kwenye Upongozi! Usiseme kajenga barabara maana barabara hata angekuwa Mzee Makamba angezijenga? Business as usual!!!!!!!!!!!!!!!!! We need leaders who can make difference.
 
Tuseme Mukandara kawekwa kwa maslahi ya JK, na hao wazungu huko kwao nao pia kawaweka JK kwa maslahi yake!!! jamani hebu tuache haya mambo, hayatusaidiii. Home of great thinkers au ?
 
Wivu utakuua wewe, ameshapewa PhD ngapi na vyuo vyenye hadhi gani ulikondee la Mlimani!!

Halafu, hivi akipewa hiyo PhD mfumuko wa bei unaongezeka? Au ndo Dowans wanalipwa? Labda utanyang'anwa uraia. Najaribu kutafuta kwa nini linakugusa hivyo hili suala, hakuna sababu ya msingi kumbe ni wivu tu...

Hapana ndugu, siyo wivu. Phd yas heshima hutolewa kutambua 'mchango maalumu' au mafanikio(achievement) maalum kwa jamii au mazingira. Sasa swali la msingi ni kwamba, ni kwa mchango upi hasas rais wetu anatunukiwa? Kwa kuwa ni rais wetu, haipaswi kuwa supprise! Kama kuna mambo yastahiliyo heshima hiyo tungekuwa tunayajua tayari! Hapo ndipo mjadala ulipo! Ni hoja ya msingi kutokana na heshima ya hiyo Phd, heshima ya chuo, na mchango wa mtunukiwa kutokuonekana kwa jamii.
 
Binafsi hainisumbui JK kupata phd ya heshima.
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!

Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesn‘t make u a lawyer!

TUNAJUA BANA UNATUELEZA NINI SASA,HALAFU NA KIINGEREZA KIBOVU UNAFAFANUA VITU USIVYOJUA UNAFAHAMU TOFAUTI YA LLB NA LL B ??,USIANDIKE VITU KAMA HUJUi
 
Nimesikitishwa sana na chuo ambacho watu wamepitia wengi sana na ambao wako kwenye ngazi muhumu sana serikalini kumpa PhD Kikwete. Mambo ya kujiuliza watanzania wenzangu ni kwa nini huyu mtu anapewa hii heshima? kwa lipi hasa alilolofanya kubwa kwenye sheria na mpaka apewe PhD? Je ni kuwanyima mahakimu wa mahakama za mwanzo mazingira mazuri ya kufanya kazi? ingekuwa vizuri na inampendeza mungu ningemtukana Mkandara kwa kusukuma hili na likawezana kwa sababu yeye ndo kawekwa pale kwa maslai yake Kikwete. I hate this and I will join who will rejoice the fall of Kikwete mzalimu na fisadi mkubwa nchini Tanzania na anayepewa PhD kwa ufisadi wake wa kubaka democrasia

i wish wangempa MASOUD KIPanya
 
Haiendani na maana ya honorary degree. Ikiwa huelewi maana ya hiyo PhD soma hapa.

''An honorary degree (a degree honoris causa) (In Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university/degree-awarding institution) award to someone as a way of honoring that person for his/her contributions to a specific field, or to society in general.

Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia

Kulingana na matatizo makubwa yanayoendelea nchini na mwenendo wa utawala wa huyo bwana inakuwa vigumu kukubali kwamba anastahili heshima hiyo. Inaonekana amepewa kwa sababu za kisiasa au kuna watu wanatoa shukrani katika vyuo husika.

ur real mtu mzima!
 
Tatizo ni wivu. Hiyo phd aliyopewa wewe imekuadhiri vip!, asipopewa hiyo phd matatizo tuliyonayo yatakwisha?... Acheni wivu, hicho ni cheti tu, hakina maana yoyote ktk shughuli zake.
 
nilikujib kuwa haipunguz kitu ila baadhi ya wanajf wanahoj kwa utendaj upi jk anakidhi vigezo vya kupewa heshima hiyo?

ninaamini ktk mengi aliyoyafanya mazuri pia yapo, hata kama ni moja. Tuwalumu udsm kwa kutoweka wazi vigezo walivyotumia kumpa phd labda leo tusingeropoka kiasi hiki.
 
Wewe haujatulia kabisa. Mbavu sina

Ivi Nyerere alijiita dr. Nyerere?Mugabe kajiita dokta? Kwani wao hawakupata phd za hesma?Mbona kikwete anajitweza ivo?Ati mh. Dr. Jk!
Anankumbusha ya mama,mchungaji,mh.dr mbunge rwakatare!
 
Tatizo ni wivu. Hiyo phd aliyopewa wewe imekuadhiri vip!, asipopewa hiyo phd matatizo tuliyonayo yatakwisha?... Acheni wivu, hicho ni cheti tu, hakina maana yoyote ktk shughuli zake.

Hakuna mwenye wivu na Kikwete wewe, jibu hoja, kalifanyia nini taifa mpaka kustahili kupewa hiyo PHD?
Swali; unafiki kama angepewa hayati Mwalimu Nyerere kuna mtu hangepinga hapa jamvini?
 
Sie wengine tupo mbali sana haya madegree ya kupatikana nje ya kuta za Darasa hayanidhuru sana. Tunahitaji sana yaliojiri wakati anakabidhiwa degree hiyo.Tulisikia kwenye FM radio kuwa hali ilikuwa tete sana kwake na kwa wageni. Hali ilikuwaje maanake Katiba imevunjwa kwa kuwanyima Watz Habari. Jana asubuhi nyuzi zote zilizokuwa na habari za Mlimani hapa JF ziliondolewa saa 2.00 asubuhi kulikoni? kuna Radio Fm Moja (Capital) matangazo yake jana asubuhi yalikuwa yanakatwa katwa tuambieni mnaojua
 
TUNAJUA BANA UNATUELEZA NINI SASA,HALAFU NA KIINGEREZA KIBOVU UNAFAFANUA VITU USIVYOJUA UNAFAHAMU TOFAUTI YA LLB NA LL B ??,USIANDIKE VITU KAMA HUJUi

We ndo nina wasiwasi na upeo wako.Si uoneshe hayo makosa ya kingereza na urekebishe kama kweli umeona yapo? Halafu mi sijalinganisha LLB kwa LLB,bali LLB kwa hiyo phd yani LLD..sio kosa lako lakn nadhani we ni layman!
 
kumbe hata mke wake na mwanae wamesafiri sana waati wa uchaguzi nao watatunukiwa phd na wale vihiyo wa elimu vyuoni ambao ndiyo wanaosetiwa kupotosha maana halisi ya phd,chukulia mfano waziri wa afya wa kenya anaitwa professor peter anyang nyon,g ana degree kumi na mbli na yupo imara kila kona ya field yake na kule kenya hamna kupewa kama hujaka kila na halafu mbona wazungu wao hasa marais hawaitwi kwa elimu zao kama walivyo wafrika na tambo zao mfano obama anaitwa obama au bush hivyo hivyo sasa bongo eti dr rais hahahaha wasomi wetu bana wameingiliwa na mfumo wa ubongo.i
 
Tumieni busara kujadili vitu vya msingi,PHD ya Kikwete inakuhusu nini kama siyo unafiki? Tofautisha Siasa na Taaluma utaelewa nini maana ya PHD ya heshima.No one is Perfect......Kikwete ana mazuri mengi kuliko mabaya unayoyafahamu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1111
 
Back
Top Bottom