here we go again!!!
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
\yaani kuna thread nyengine zina lengo la kudhalilisha wanawake ............
mwanamme kaumbwa na nini kwani? yeye anao utii? kwa nani? na anauonyeshaje?
Nyamayao mie nimeshindwa kumuelewa...sasa mbavu na utii inahusu nini?
here we go again!!!
wewe umemuelewa??..mie nimetoka mtupu.
Nyamayao mie nimeshindwa kumuelewa...sasa mbavu na utii inahusu nini?
yaani kuna thread nyengine zina lengo la kudhalilisha wanawake ............
mwanamme kaumbwa na nini kwani? yeye anao utii? kwa nani? na anauonyeshaje?
Kwani kiumbe gani unachokifahamu kimeumbwa na udongo na kinatii ? maswali mengine kichekesho
asante sana u made ma day :lalala:
\
halafu kwani huyo mwanamke yeye anatakiwa kutii tu hataki kitiiwa?...unajua bado cjaelewa eeehh.
halafu huo utii anatakiwa autoe mwanamke tu coz kaumbwa cjui katengenezwa na udongo so ha deserve cjui kutiiwa....mweh
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
Pombe zako zikiisha kichwani andika vizuri na uisome mwenyewe zaidi ya mara tatu au watumie rafiki zako wawili watatu waipitie kisha ndo utume hapa....Sijaelewa hata...kumbuka unapopost kitu hapa ni sehemu ya public hivyo kuwa makini.