SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
Kule kwenye jukwaa la dini mada hii pengine ingejadilika vizuri zaidi....hapa watu wapo kwenye 'frequency' na 'wavelength' tofauti usishangae ukaambulia kejeli tu!