Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Lini uliona Sangara akaelea baharini? Yaani pumba kwa kwenda mbele. Kweli CCM MAJANGAAAAA........!
 
Huwezi hubiri neno la Mungu bila kumtaja shetani!!!


Neno la Mungu wewe kuajiriwa na ccm? Kwa hiyo shetani wako ni hao watu na chadema? Hao watu na chadema ndo wanazuia serikali ya chama chako kutupatia madawa hospitalini, mashule bora na vyote tunastahili kupata km wananchi wa Tanzania?

Uwe unakuwa kisiasa. Politics sio uropofu wa chochote kinachokujia kichwani mwako. Man-up, unatuhaibisha sana wana mbeya. Kwa uelewa wako kuna mda huwa nahisi wewe ni mmalawi.
 
Tatizo hapa JF ukiwambia ukweli CHADEMA unaonekana hauna heshima.

Inawezekana ikawa ni kweli mkuu, lakini pia migongano ya fikra baina ya watu isiwe chanzo cha uadui juu ya utu wa mtu...
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.


Yaani hili jamaaa pumbafu zake anatuharibia Chama Chetu CCM kabisa, na tunajua kuwa hata akina Nape na hata Kikwete wanajua na tulishawaambia kuhusu wewe, ila naona wameamua kupuuza, huku ndani UVCCM hatukupendi na tunajua aliyekupachika hicho cheo!! UVCCM na CCM kwa ujumla wametukwaza, wametuhuzunisha, wametufedhehesha na wametuua kabisa moyo wa kuendelea kukitetea chama na kukisimamia!!! vijana wengi including viongozi tena wa juu kabisa na wanachama waadilifi, waaminifu na wenye mapenzi mema na chama chetu tunasubiri tu muda ufike tuchukue maamuzi mazito!!! najua hamtaamini lkn mtaona yatakayotokea,!!!
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Wewe maskini tu unaekimbilia siasa kwa ajili ya tumbo lako...huna lolote....i hate to see vijana kama hawa wanaotumika kama toilet paper wakati tunahitaji vijana wasimamie ukweli.......Vijana tusipobadilika Tanzania itazidi kuwa maskini......
 
mimi nina Degree but mbowe ana zero form six na ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!!!!!


Hivi huoni kwa wewe kuwa na digrii kila mtu anaweza kuwa nayo? Dunia hii ya kujisifia na digrii? Ooh poor Mtela Mwampamba.
Ndo uwezo ulioomba mbeya shule ya sekondari ili ukatumike kulijenga taifa lako? Ndo unalijenga taifa kwa hoja mufilisi km hizo?
Kweli hiki ndo kiama cha ccm!
 
Last edited by a moderator:
kura 32000 nilizozipata nikiwa nagombea ubunge kwa tiketi ya chadema ndio zinazokichangia chadema mil nne na laki nane kila mwezi kama ruzuku kutoka mbozi.

Hahahahaaaa...utazidi kuota sana...nenda kagombee mbozi sasaivi kama utapata hata kura 1000......wewe umefilisika...halafu UD wanatoka watu wenye akili...wewe huna akili kabisaaaaaa....wala sisemi kwa ukada...yaani wewe ni empty headed......
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

So ndo umeula?Nilitarajia kuona hii ktu kwenye magazeti yenu ya Uhuru na wenzake kuwa umeula CCM?Ati mwalimu ambaye hata kuandika jina lake kwa Capital letters mpaka akumbushwe?Yaani wewe kwendafundisha ni disaster bora uendelee na biashara yako hii ya k.i.ji.n.ga
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

upadre sio taaluma mkuu ni daraja takatifu kama vile ndoa,ubatizo,ushemasi.......
 
Inajulikana wazi umelipataje na huna haja ya kujisifia kaduka kako ka kuhongwa na mwigulu nasema hivo kwasababu kwa akili ako huwewzi kutafuta mtaji hata kidogo bali kupewa na utafirisika si muda.

Hahahahahah...ni kweli kabisa mkuu...akili zinazoweza kufanya biashara zinajulikana....siyo huyu Stella Mwampamba......ni kilaza kweli kweli....sijui CDM walimtoa wapi mtu huyu...loh...........
 
mimi nina Degree but mbowe ana zero form six na ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!!!!!

Wewe mwenye degree umejikomboa vp kimafanikio,wewe,family yako na hata jamii iliyokuzunguka?Mbowe form six leaver lakini ameweza kujikomboa na kutoa ajira kwa watu kadhaha wa kadhaa wakiwemo wenye taaluma zao!mkuu nyie ndio aina ya wasomi wa Kitanzania ambao hamjaelimika amba mna amini kua elimu ni vyeti huku mkishindwa ku transform elimu ya vyuoni kwenye maisha halisi...shame on you wenye degree za kupewa while mmeshindwa kukomboka kifikra
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.

Napata shida sana kuona kiongozi ana akili ndogo kiasi hiki. Usidhani kila anayetoa maoni kwenye uzi wako ni mwanachadema. Ungefanya vyema kutoa mifano ndani ya chama chako kuliko kutaja walioko vyama vingine. Unataka kutuambia kuwa mnajifunza na kuiga kutoka vyama vingine hata kama wanafanya makosa?
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe
Watu wema mara nyingi hawana tabia ya kujisifu wao wenyewe bali husubiri kusifiwa. Hata hivyo unajipongeza kwa kumaliza adhabu? aisee. mimi nadhani ulipaswa kuwapongeza Mods kwa kufanya kazi yao ipasavyo.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima,
Kwani ni nani aliekuambia kwamba unamkanganya? au ana maswali yasiyo ya lazma kwako?
Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM)
Unawahamasisha chipukizi kufanya nini? Kwa mujibu wa kanuni za CCM chipukizi ni watoto wenye umri wa miaka mingapi?
na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Hongera kwa kuajiriwa. Ninapenda kukuuliza swali moja. Kwa mujibu wa kanuni za UVCCM; Vijana hawaruhusiwi kutoa muongozo wowote kwa chama bali kutekeleza yale yote wanayoagizwa na chama kutoka juu. Je! hii ni kweli? na kama ni kweli; je; kwa maoni yako ni sahihi?
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM
Ningependa pia kufahamu kama kitaaluma wewe umesomea masuala ya habari na mawasiliano; au kuna kigezo kingine kilichotumika kukupatia nafasi hiyo.
Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
Kwa hiyo hata ufisadi ni haramu kwa CHADEMA na wananchi lakini Halali kwa CCM? au unataka kutuambia nini hapa!
 
Sio hivyo mkuu nazani umesahau kwamba hata Dk Slaa ni Padre kitaaluma but kwa sasa ni katibu mkuu wa chadema!!! na usisahau kwamba Mbowe ni Disco Joker(DJ) kitaaluma but kwa sasa ni mwenyekiti wa chadema taifa!!!!! tuko pamoja mkuu.
........Mambo kama haya ndo yanaifanya CCM inanekane ni kundi la wajinga.....kashfa za kijinga na reja reja kwa watu ambao siasa zako za kinafki na mwigulu haziwafikii hata 1/3 ya siasa walizofanya toka Enzi hizo......punguzeni utoto na ushamba.....ongeeni kama WANAUME wenye akili...sio mipasho kama akina HADIJA KOPA......Kwa mfano hapo ungeweza kujibi kistarabu kwa nini umeacha ualimu ukaenda kwenye siasa.....ila mlivyo wapuuzi najua huwezi kunielewa...pengine hata umeshakimbia huwezi kusoma hapa...
 
Sio vituko nasema kweli nimeajiriwa toka mwezi wa Tano na nimeamua kusema ili kuondoa mkanganyiko wa kuniuliza kwamba nasema nikiwa kama nani!!!
Kaka naomba unijibu swali langu moja tu. Ina maana UVCCM wanaajiri tu bila kujua kama mtu anajua ilan ya CCM au la?
Vinginevyo wewe kwel utakuwa msaliti maana inawezekana ulianza kuisoma ilani ya CCM na kuielewa hata kabla ya kutoka CDM. Upi ukwel hapa?
 
Back
Top Bottom