Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Umesema ulipoenda for interview waliomba kitambulisho(ID) ukawapa; ni kitambulisho kipi, passport ya Tanzania?
Nilichana kitabu maana nilishauriwa nichane na kitumbukize chooni maana wanaweza Kukudeport.Nilitishiwa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda kufuatilia story za wabongo walioweza kufika ughaibuni kimagumashi, yaani zinavutia sana! Lakini ajabu ni kuwa ili kufikia hatua hiyo lazima uwe na mkwanja mrefu sana kibongo bongo ambao ukiuwekeza hapa bongo unaweza kutusua kinamna.

Suala la kuzamia nje sio kama kujirusha baharini na kuibukia Canada ama USA! lazima kuwekeza hela ya kutosha, hapo ndo huwa na nachoka, hela yenyewe iko wapi bongo hii!! Ukishakuwa na 10m tu tayari unaweza kujimwambafai japo kilofàlofa, sasa iweje tena pesa hiyo iniingize kwenye kupambana na wajuzi wa teknolojia ulimwenguni, nikijua wazi mpango wangu ukibuma narudishwa bongo na kuanza upya kusaka noti!!?
Natamani sana ukimbizi maana ni bora kuwa hivyo kuliko uhuru uso na manufaa hapa bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo Québec fuatilia wewe mwenyewe kuna kambi au hakuna maana unapenda Sana kujifanya mjuaji wakati huna unachokijua

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unapondanganya watu usifikiri wote ni wajinga na unapojpanga kudanganya hakikisha unachokiongea una uhakika nacho
Sasa ni hvi
Mimi nimesomea maswala ya ukimbizi na hifadhi na nina lijua swali na ukimbiz vizur sana pili nimesomea namna wakimbiz wanavyoishi kwenye nchi zngne ila mimi nilibase marekani cheti changu ni
Adjustments.JPG


Niko marekani miaka mitatu inakabia na nimeishi states 4 za marekani na nilipofjia ilikuwa NEW YORK naelewa hile border ya marekani na canda vizur sana

Vile nilisomea history na mipaka ya nchi ya marekani
IMG_1559.JPG


Haya ni baadhi ya masomonilifundishwa kuhusu namna mkimbiz anapokekewa na anavyoishi

IMG_1557.JPG
IMG_1558.JPG


Nitakuwa nimekuoa mwangu kuwa mimi sibabaishi ninachokizungumza

Nchini canada nimeenda mara nne nikiwa canada na mara ya mwisho nilienda kupokea ndugu zangu.kwaiyo maisha ya ukumbiz wa Canada ninayafaamu vile vile Nina nimesomea

NB:nimesomea maswala ya ukimbizi kupitia shirika la IOM na nimesomea utamaduni,maisha,historia kuhusu nchi ya marekani kupitia RSA AFRICA.kwaiyo najua sheria za nchi mbali mbali kuhusu wakimbizi na hifadhi.

Sasa wewe toa CV yako
 
Mkuu tuache kuwadanganya watu naona unajitengenezea mazingira ya kuwapiga watu,hii post yako ungeipost mia ya 90 ningekuelewa.saiv sio huu uongo wako umebugi.mipaka ilikuwa waz kwa miaka ya dhamani.

Jipange urudi tena
 
Ni Zaidi ya 6m Tz shs., unajenga japo kibanda hapa Bongo.
Yeye kaamua kupambana kiume kwa hela yake, wewe pia hujakatazwa kujenga " kibanda" chako nchini kwako kuzuri ambapo kuna metameta

Sent using Unataka kujua ili iweje
 
Jamaa hajamaliz story tayari wabongo mshaanzaa kujipa majibu ya hovyo hum tz na dunian kunawatu wanausubutu wa ajabu na mibahati sasa wewe hata kuhama mkoaa tu huwez na ujinga wako lazima uwone ni jambo lisilowezekana mkuu endeleaa kutupa story

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamefungwa ufahamu ndugu, akipata vihela kila mwisho wa mwezo, laki 4 au 5 na kujenga "kibanda", na kuoa , na kununua harrier, basi anaona life ameliwini huku bongo

Sent using Unataka kujua ili iweje
 
Kwa hiyo immigration ya Canada iko so corrupt and ineffective kiasi kwamba inakuamini tu kirahisi kwamba we ni msomali? Msomali uliyetokea boarder ya US?. Immigration ya Canada imekukamata na imekuweka kizuizini then kirahisi rahisi tu haifanyi further investigation ya vitu kama facial recognition ambayo inascan through camera zote za airports na mitaa ya afiliated countries, yes maana siku hizi suala la ugaidi ni kubwa watu hawawezi tu kukupokea kizembe zembe tena na hao wanaojitambulisha kutoka somalia ni one the Target. So wanakuamini kuwa msomali just by speaking few words? Seriously? Hiyo siyo Uhamiaji ya first world labda huko 3rd world. Yes unaweza kweli ukawa umeingia Canada but waambie ukweli how you got there,,,, hii hatununui


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
HALAFU UJUE MAISHA NA MTAZAMO WA MAISHA TUMETOFAUTIANA SANA. Yupo mtu anasubiri hela za msimu,huyo anaweza kupata hata milioni 200,anahakikisha ameiteketeza yote kwanza ndio anatafuta kazi tena. Wakati huo huo yupo mwenye mtaji wa milioni 50 tu anaendesha maisha yake ya kila siku vizuri sana na anaonekana ni bora kimaisha kuliko yule anaepataga milioni 200,100 mara nyingi. Nakuhakikishia hao wanaolalamika maisha magumu marekani ni wale machinooh kama hao. Hata alipokuwa hapa hataki kazi. AMEFIKA KULE MAREKANI AMEUNGANA NA WENYEJI MAJOBLESS,AMEANZA MAMBO YA MADAWA YA KULEVYA,KUVUTA BANGI,ANATAKA AENDE DISCO,KSBB NDIVYO VIJIWE ALIVYOVIZOEA HATA ALIVYOKUWA HUKU,HAPO ANATEGEMEA/ANASUBIRI HELA YA MIUJIZA. NA HAO NDIO WENGI WANAOSEMA MAISHA MAGUMU MAREKANI NA HAO NDIO WENGI WALIOUAWA HATA SOUTH AFRICA KSBB HATA SEHEMU ZA KUWAKUTA NI RAHISI NI KWENYE MAJUMBA MABOVU WAKIVUTA BANGI,WAKISUBIRI HELA ZA MSIMU. Marekani pia kazi za mashopaz zipo,ila inategemeana wanampatia mtu wa aina gani?. Kama unaonekana umechoka choka,mlevi kila wakati kwa nini wakupe?. Muda mwingine hata hao hao wenyewe hawataki kuomba hizo kazi za mabox,wakiwaiga wenyeji kwamba ni kazi za chini. Uliwahi kuletwa uzi hapa,wapo baadhi ya WaTz wanaoishi au waliofika Marekani wakasema kabisa nani afanye kazi za kujidhalilisha hizo za kubeba mabox kwenye mashoprite?. Lakini ni kazi zenye ujira mkubwa sana UKIJITAMBUA NA UWE NA MALENGO

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimependa udadavuzi wako wa mambo.


Sent using Unataka kujua ili iweje
 
Umemaliza mkuu kila kitu opened....
Tatizo wengi tunasikia stor tu na kujilipua , unatumia gharama kubwa alafu ukifika kule jau tu bora kukomaaa tu hapa bongo nina uzoefu na nchi za magharibi kutoboa siyo kazi ndogo na kule ndo hamna uhuru kabisaaa kutengwa sana kama mfungwa tu kwa wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Komaeni wazee mnunue spacio gari ya kula bata

Sent using Unataka kujua ili iweje
 
Kwa hiyo immigration ya Canada iko so corrupt and ineffective kiasi kwamba inakuamini tu kirahisi kwamba we ni msomali? Msomali uliyetokea boarder ya US?. Immigration ya Canada imekukamata na imekuweka kizuizini then kirahisi rahisi tu haifanyi further investigation ya vitu kama facial recognition maana siku hizi suala la ugaidi ni kubwa sana na hao wanaojitambulisha kutoka somalia ni one the Target. So wanakuamini kuwa msomali just by speaking few words? Seriously? Hiyo siyo Uhamiaji ya first world labda huko 3rd world. Yes unaweza kweli ukawa umeingia Canada but waambie ukweli how you got there,,,, hii hatununui


Sent from my iPhone using JamiiForums
"hatununui", mbona kama unawasemea watu boss,


Sent using Unataka kujua ili iweje
 
"hatununui", mbona kama unawasemea watu boss,


Sent using Unataka kujua ili iweje

Mkuu, sijui kama umefika US au Canada ila kama haujafika naomba tu linapokuja suala la boarders za hizi nchi usiwaze kama namanga au tunduma.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jamaa anatafuta wa kuwapiga
Huu jamaa muongo kwa vigezo vifuatavyo kama alivyosema

Canada hakuna kambi ya wakimbizi ambayo yeye anadai kuwa anaishi kwenye kambi hyo.

Hakuna mkimbizi yeyote kutokea marekani nchini canada na sheria hzo hazipo.

Alidaih kuwa alienda canada kwa kutumia gari alafu jamaa wakamwambia aende pale ndo police wa canada walipo na awaambie yeye ni mkimbizi.policr wa nchi ya marekani hawawezi kukuruhusu kuingia canada ikiwa huna vitambulisho vyovyote

Na ikiwa umeshikwa kwenye mpaka lazima wakurudishe marekani.

Vile marekani inatuka leseni yabudereva au ID kutoka state moja kwenda yngine alivuka vipi mikapa ya NY hakuna njia za vichchoro kutumia gari na nikinyume cha sheria kutembea mpakani kwa mguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta Picha acha porojo za kikanjanja usipige watu kizembe
Mkuu unapondanganya watu usifikiri wote ni wajinga na unapojpanga kudanganya hakikisha unachokiongea una uhakika nacho
Sasa ni hvi
Mimi nimesomea maswala ya ukimbizi na hifadhi na nina lijua swali na ukimbiz vizur sana pili nimesomea namna wakimbiz wanavyoishi kwenye nchi zngne ila mimi nilibase marekani cheti changu niView attachment 1312680

Niko marekani miaka mitatu inakabia na nimeishi states 4 za marekani na nilipofjia ilikuwa NEW YORK naelewa hile border ya marekani na canda vizur sana

Vile nilisomea history na mipaka ya nchi ya marekani
View attachment 1312681

Haya ni baadhi ya masomonilifundishwa kuhusu namna mkimbiz anapokekewa na anavyoishi

View attachment 1312682View attachment 1312683

Nitakuwa nimekuoa mwangu kuwa mimi sibabaishi ninachokizungumza

Nchini canada nimeenda mara nne nikiwa canada na mara ya mwisho nilienda kupokea ndugu zangu.kwaiyo maisha ya ukumbiz wa Canada ninayafaamu vile vile Nina nimesomea

NB:nimesomea maswala ya ukimbizi kupitia shirika la IOM na nimesomea utamaduni,maisha,historia kuhusu nchi ya marekani kupitia RSA AFRICA.kwaiyo najua sheria za nchi mbali mbali kuhusu wakimbizi na hifadhi.

Sasa wewe toa CV yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo immigration ya Canada iko so corrupt and ineffective kiasi kwamba inakuamini tu kirahisi kwamba we ni msomali? Msomali uliyetokea boarder ya US?. Immigration ya Canada imekukamata na imekuweka kizuizini then kirahisi rahisi tu haifanyi further investigation ya vitu kama facial recognition ambayo inascan through camera zote za airports na mitaa ya afiliated countries, yes maana siku hizi suala la ugaidi ni kubwa watu hawawezi tu kukupokea kizembe zembe tena na hao wanaojitambulisha kutoka somalia ni one the Target. So wanakuamini kuwa msomali just by speaking few words? Seriously? Hiyo siyo Uhamiaji ya first world labda huko 3rd world. Yes unaweza kweli ukawa umeingia Canada but waambie ukweli how you got there,,,, hii hatununui


Sent from my iPhone using JamiiForums

Vizuri
 
Back
Top Bottom