Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Napenda kufuatilia story za wabongo walioweza kufika ughaibuni kimagumashi, yaani zinavutia sana! Lakini ajabu ni kuwa ili kufikia hatua hiyo lazima uwe na mkwanja mrefu sana kibongo bongo ambao ukiuwekeza hapa bongo unaweza kutusua kinamna.

Suala la kuzamia nje sio kama kujirusha baharini na kuibukia Canada ama USA! lazima kuwekeza hela ya kutosha, hapo ndo huwa na nachoka, hela yenyewe iko wapi bongo hii!! Ukishakuwa na 10m tu tayari unaweza kujimwambafai japo kilofàlofa, sasa iweje tena pesa hiyo iniingize kwenye kupambana na wajuzi wa teknolojia ulimwenguni, nikijua wazi mpango wangu ukibuma narudishwa bongo na kuanza upya kusaka noti!!?
Natamani sana ukimbizi maana ni bora kuwa hivyo kuliko uhuru uso na manufaa hapa bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua unatetea tu home...lakini kumbuka kama unavitetea hivi vitendo maana yake unakubaliana navyo...the way forward ni kukemea mabaya sio kuyaficha
Usihukumu
hautahukumiwa

Usilaumu
hautalaumiwa
 
Mmeshakamatana eee,

Sent using Jamii Forums mobile app

Huu jamaa muongo kwa vigezo vifuatavyo kama alivyosema

Canada hakuna kambi ya wakimbizi ambayo yeye anadai kuwa anaishi kwenye kambi hyo.

Hakuna mkimbizi yeyote kutokea marekani nchini canada na sheria hzo hazipo.

Alidaih kuwa alienda canada kwa kutumia gari alafu jamaa wakamwambia aende pale ndo police wa canada walipo na awaambie yeye ni mkimbizi.policr wa nchi ya marekani hawawezi kukuruhusu kuingia canada ikiwa huna vitambulisho vyovyote

Na ikiwa umeshikwa kwenye mpaka lazima wakurudishe marekani.

Vile marekani inatuka leseni yabudereva au ID kutoka state moja kwenda yngine alivuka vipi mikapa ya NY hakuna njia za vichchoro kutumia gari na nikinyume cha sheria kutembea mpakani kwa mguu
 
Iko hivi,unapoingia marekani ukuwa kwenye system za nchi ya marekani.unapokuwa unasafiri popote marekani wanajua kuwa hyu mtu iko wapi na watakutafutia watu.mfano umeenda marekani kwasababu ya shule,ukikarbia kumalzia shule wanaanza kukutumia barua za visa yako kwisha muda wake.na wanajua watakupata wapi maana marekani umeingia una wenyeji wako.kama umepewa siku tatu na ziwe siku tatu unapozidisha wanaanza kufatia kwa wenyej wako na wenyej wako wasipojua ulipo iyo ni kesi kwao.

Ndo umefanikiwa kuingia nchini marekani kwenda canada huwezi kuvuka border ya marekani kuingia canada bila vitambulisho vinavyokutambulisha wewe ni nani na unaenda canada kufanya nini.wanapokuingiza kwenye system zao wanajua kabisa wazi kuwa wewe ni mgeni ulikuja kwa visa ya kutembea hiyo ni kesi nyngine na huwez kuruhusiwa kuingia canada kamwe.


Acha kudanganya watu mkuu,marekani kwenda state nyingine tu lazima uwe na vitambulisha sembuse kuvuka border ya nchi kuingia lazma wawe na taarifa zao na kutoka lazima wapata taarifa zako

Kwaiyo marekani haiwezi kukuruhusu kuvuka border kuingia canada kama wewe uko umekuka marekani kwa njia na vikao mkuu.

Mimi niko marekani,nimeenda canada mara nyingi na nimetembea marekani sehemu nyingi na utaratbu huu wa kusafr naufahamu vizuri sana.

NB:hakuna mkimbizi nchini canada kutokea mpaka wa marekani na sheria ya canada na marekani hairuhusu ukimbiz wa mipakani.

Na kama utakataa nitakuzibishia kwa vitendo.

Na wanaoruhusiwa kuvuka mpaka wa marekani bila ukaguzi ni raia wa marekani ambao wana pasport na ukitoka kuingia canada wanajua kuwa kuna raia wetu ipo kama na hata gari uliotumia utatambulika.hata namba za gari tu wanatambua kuwa gari hii imeshaingia nchi canada au kifika kwenye mipaka ya nchi fulani

Na kama na hili unabisha nitadhibitiha hapa

Marekani kila ktu kipo kwenye system unapofinga tu tayar unashikwa.
Marekani hauhitaji kitambulisho kwenda state nyingine hapo umechapia. Pia mleta mada kajilipua, ndio maana kakamatwa border siajabu hata passport aliiacha Mahal otherwise wangemstukia.
 
Marekani hauhitaji kitambulisho kwenda state nyingine hapo umechapia. Pia mleta mada kajilipua, ndio maana kakamatwa border siajabu hata passport aliiacha Mahal otherwise wangemstukia.

Mkuu kwenda hata bar,casino,game za usk marekanii lazima huwe na ID au leseni ya udereva.hata kutembea mtaani lazima hvyo vitambulisho uweke kweny pochi maana hata ukifanya ajili ktu cha kwanza kukuhuliza ni ID au lesen yako
Kuna ofisi zingine uwez kuingia bila kuonyesha hvyo vtambuliisho.
Ukitaka kusafr lazma huwe navyo na sio hiari.Maana ndo kinakutambulisha
 
Huu jamaa muongo kwa vigezo vifuatavyo kama alivyosema

Canada hakuna kambi ya wakimbizi ambayo yeye anadai kuwa anaishi kwenye kambi hyo.

Hakuna mkimbizi yeyote kutokea marekani nchini canada na sheria hzo hazipo.

Alidaih kuwa alienda canada kwa kutumia gari alafu jamaa wakamwambia aende pale ndo police wa canada walipo na awaambie yeye ni mkimbizi.policr wa nchi ya marekani hawawezi kukuruhusu kuingia canada ikiwa huna vitambulisho vyovyote

Na ikiwa umeshikwa kwenye mpaka lazima wakurudishe marekani.

Vile marekani inatuka leseni yabudereva au ID kutoka state moja kwenda yngine alivuka vipi mikapa ya NY hakuna njia za vichchoro kutumia gari na nikinyume cha sheria kutembea mpakani kwa mguu
We king Nigga ni kilaza kabisa na sidhani kama kweli upo huko Marekani kama wewe unavyojinadi,

Canada hakuna kambi ya wakimbizi!! hivi upo serious kweli wewe? Au umekuja kupiga zogo tu humu jamii forum, au unadhani kambi ya wakimbizi ni lazima viwe vijumba vya maturubali vichafu vichafu vidogo?

Hakuna mkimbizi yoyote kutoka Merekani kwenda Canada, kweli? wewe huna exposure kabisa na sidhani hata ushawahi kutoka jijinini kwenu kwenda kijiji cha pili. Asilimia 99.9 ya wakimbizi nchizi Canada lazma wapitie Marekani kwa maji, anga au angani kutokana na location Canada iliopo.

Hakuna polisi waliomwambia pale ndio Canada hivyo aende, aliowalipa dollar3000 au unaweza waita smugglers ndio walimpitiza hizo njia kufika hicho kituo Note kwamba Canada kuna vituo maalum ambavyo vipo mpakani na Marekani hivyo mkifika hao ndio wanakupokea na kupiga simu polisi kuja chukua maelezo yako na mara nyingi unakuta polisi wapo hapo hapo kwenye vituo hivyo

Ukishikwa ndani ya mipaka ya Canada huwezi rudishwa Marekani bali nchi yako mama uliko tokea, case itakayokufanya urudishwe Marekani labda uwe na case na Marekani na wenyewe watake urudi kwenye mahakama zao au uwe na documents zinazoonesha unatakiwa urudi nchi hiyo

Kinyume na sheria kwa Mmarekani kwenda region nyingine hukohuko Marekani, kweli? Sasa hiyo ingekuwa ni nchi kweli? Freedom of movement wenzetu waliishughulikia kisheria na maandishi tangia karne ya 19 katika state zao zote

Conclusion; watu walioendelea wanajua thamani ya binadamu ndio maana wanaweka sheria kulianda utu na dhamani ya binadamu bila kujali rangi wala taifa alilotokea na wewe jamaa haupo Marekani labda ile USA river ya Arusha



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom