Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Ukweli kuhusu maisha ya ughaibuni

Mtazamo wako kwenye maisha ndio Silaha yako kubwa big up sana mkuu
HALAFU UJUE MAISHA NA MTAZAMO WA MAISHA TUMETOFAUTIANA SANA. Yupo mtu anasubiri hela za msimu,huyo anaweza kupata hata milioni 200,anahakikisha ameiteketeza yote kwanza ndio anatafuta kazi tena. Wakati huo huo yupo mwenye mtaji wa milioni 50 tu anaendesha maisha yake ya kila siku vizuri sana na anaonekana ni bora kimaisha kuliko yule anaepataga milioni 200,100 mara nyingi. Nakuhakikishia hao wanaolalamika maisha magumu marekani ni wale machinooh kama hao. Hata alipokuwa hapa hataki kazi. AMEFIKA KULE MAREKANI AMEUNGANA NA WENYEJI MAJOBLESS,AMEANZA MAMBO YA MADAWA YA KULEVYA,KUVUTA BANGI,ANATAKA AENDE DISCO,KSBB NDIVYO VIJIWE ALIVYOVIZOEA HATA ALIVYOKUWA HUKU,HAPO ANATEGEMEA/ANASUBIRI HELA YA MIUJIZA. NA HAO NDIO WENGI WANAOSEMA MAISHA MAGUMU MAREKANI NA HAO NDIO WENGI WALIOUAWA HATA SOUTH AFRICA KSBB HATA SEHEMU ZA KUWAKUTA NI RAHISI NI KWENYE MAJUMBA MABOVU WAKIVUTA BANGI,WAKISUBIRI HELA ZA MSIMU. Marekani pia kazi za mashopaz zipo,ila inategemeana wanampatia mtu wa aina gani?. Kama unaonekana umechoka choka,mlevi kila wakati kwa nini wakupe?. Muda mwingine hata hao hao wenyewe hawataki kuomba hizo kazi za mabox,wakiwaiga wenyeji kwamba ni kazi za chini. Uliwahi kuletwa uzi hapa,wapo baadhi ya WaTz wanaoishi au waliofika Marekani wakasema kabisa nani afanye kazi za kujidhalilisha hizo za kubeba mabox kwenye mashoprite?. Lakini ni kazi zenye ujira mkubwa sana UKIJITAMBUA NA UWE NA MALENGO

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then kuna sehemu unapwaya.

Kwa experience yako nilidhani utajua maisha yetu hayalingani kabisa hasa kiuchumi achilia mbali kifikra.

Unafikiri utamwambia mtoto wa Mo ajilipue Ulaya? Haya chukua graduate aliyesomeshwa kwa shida hana mtaji anayekosa hata ajira za viwandani na kesho yake haijui umwambia nakupa fursa ya Norway.

Ataikataa? Tomaso ni nini?
Ukisema na pwaya siwezi kukubali.
Nimeongelea na experience niliyo nayo kutokana na watu wakaribu yangu.

Nikirudi kwa upande wa pili wa magraduate hapo nakubaliana na wewe.

Sasa turudi kwa mwenye uzi. Alikuwa muajiliwa na nadhani alikuwa na nafasi kubwa kazini kwake mpaka akatumwa na kampuni kwenda USA. Sasa mtu kama huyu akiniambia amezamia siwezi kumwelewa. Ana tatizo sehemu. Na kama alishindwa kuendelea hapa hata huko hawezi kuendelea

God save us
 
Huwa mnafikiri Canada maisha ni Ubwete,siku ukifika ndio utajua Canada ikoje pia watu waliotangulia huwa hawasemi ukweli kwa wenzao wanaotamani kwenda huko,maisha ni expensive labda unaishi miji midogo,
Nitoke Tanzania niingie Canada nikaishi bush. Noway.
 
Kama mtoa mada anasema kama alivyoandika, lazima atarejeshwa nyumbani au atarejeshwa Kwenye mpaka alotokea. TRUST ME. Au Kama anachangamsha barza sawa.
Nimekuelewa Sana Mkuu. Maisha ya wazungu sio kama haya ya kizoba zoba. Wazungu sio wapuuzi hata kidogo.

Kanada ni miongoni mwa nchi miji yake inakamera. Unaonekana ukiwa hujielewi. Lkn kama unafanikiwa kazi na ukawa huzubaizubai. Unapeta.
 
Sawa wacha niwe dogo lako... Na wala hakuna aliyesema huwezi ishi new York... Mm sio muoga sababu sijawahi ingia marekani kwa mbinu za kuzamia....Ungekuwa na akili ungeuliza watu waliyokwisha kukutangulia ili upate dira fulani ya maisha ya huko.... Unfortunately akili hiyo huna... Unaanza kuita watu wadogo zako....
Nenda kapambane, udhihirishe uanaume wako...
Hivyo ndo ulitakiwa useme sio unawatisha watu kana kwamba Marekani hawaishi watu
 
Fursakibao, Umemaliza mkuu kila kitu opened....
Tatizo wengi tunasikia stor tu na kujilipua , unatumia gharama kubwa alafu ukifika kule jau tu bora kukomaaa tu hapa bongo nina uzoefu na nchi za magharibi kutoboa siyo kazi ndogo na kule ndo hamna uhuru kabisaaa kutengwa sana kama mfungwa tu kwa wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swet-R,
Nchi Kama marekani kiwango Cha chini kulipwa kwa saa ni dola 10. Ndio kiwango kilichopitishwa na serikali yaani hizo ndio zile kazi mbaya mbaya Kama kufagia barababara au kurudisha vile vitorori vya supermarket ndani ..Sasa ukipiga masaa 14..manake unadola 140.ni sawa na 300000tsh
 
Back
Top Bottom