cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,432
Kwasababu kwenye interview umekiri una mke Mtanzania na watoto,ikitokea umeshinda kesi itakuwa rahisi sana kuwavuta huko lakin pia kuna wanaigeria ni familia walijitosa huko basi wakakaa huko 2 yrs wakisubiri washinde kesi basi wakashindwa na kurudishwa nigeria,wao waliingia kwa style ya kwamba mtoto wao wa kike anataka kutahiriwa so wamekimbia wanahofia watoto wao wa kike wasije kutahiriwa kwa lazima .