Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,816
- 10,861
Bahati ni mazingira ? Kwa nini bahati isiwe ni spirit ambayo haionekani na inakuongeza kupata fanikio flani ambalo linaweza likawa nzuri au baya. Sababu kuna watu wanaweza kuishi mazingira mzuri kama hayo lakini akaishia kuwa mlevi ,mvuta bangi na asipate mafanikio yoyote.Bahati ni "mazingira" --- familia yenye kipato, upendo home, shule bora, jamii yenye mwamko, walimu bora, vifaa shuleni, taifa lililotulia katika amani na usalama, uhakika wa ajira ama kujiajiri huko mbeleni, malezi mazuri, afya, na kadhilika.
My point ni kwamba kuzaliwa kwenye familia ya kifahari siyo 100% guarantee kuwa utafanikiwa maishani.Ni kweli ila bado sijaelewa hoja yako inasimamia wapi
Uliza mkuuMleta mada Nina maswali mengi kutokana na hoja zako ila kwa Sasa naomba nikuulize swali moja tu,
Tunaongea lugha moja kabisa, mimi na wewe. Tambua tu kwamba "good spirit" is just one of those "working environments" za success.Bahati ni mazingira ? Kwa nini bahati isiwe ni spirit ambayo haionekani na inakuongeza kupata fanikio flani ambalo linaweza likawa nzuri au baya. Sababu kuna watu wanaweza kulia mazingira mzuri kama hayo lakini akaishia kuwa mlevi ,mvuta bangi na asipate mafanikio yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunashindwa kuelewa msimamo wako ni up maana naona unaandika andika tu vtu havieleweki eb weka hoja smart na kwa logic tukuelew jieleze vzriTunaongea lugha moja kabisa, mimi na wewe. Tambua tu kwamba "good spirit" is just one of those "working environments" za success.
I disagree with you.Hard work siyo tu "implementation of strategies," bali kuweka great deal of effort ama endurance kwenye kile unachofanya, regardless of strategy. Mtu anaweza kuwa na zero strategy na bado akawa unparalleled hard worker.
I disagree with you.
Hao unaosema wanao-work hard bila strategies ndo wanaangukia kwenye kundi la watu wanaoonekana kufanya kazi kwa bidii lakini mafanikio yao ya kawaida Sana.
Wakulima wa kawaida( jembe la mkono)
Machinga n.k
Wanatumia nyuvu nyingi lakini maisha Yale Yale miaka nenda rudi.
Lakini laiti wangeweka strategies, mfano, (machinga)
"NAHITAJI MILIONI 3 ILI NIACHANE NA HII KAZI YA KUTEMBEZA ILI NIFUNGUE DUKA LA MGUO. HIYO MILIONI 3 IPATIKANE NDANI YA MIAKA 3. KWAHIYO, KWA MWAKA INATAKIWA NIPATE MILIONI 1. KILA MWEZI NIPATE TSH .... KILA WIKI NIPATE TSH...., NA KWA KILA SIKU NITUNZE TSH .....(afe kipa afe beki, lazima nitunze tsh ...)
Nahitaji
Huyu machinga ukija kumwangalia ndani ya miaka 7 lazima awe tofauti na wale wengine wanaofanya kazi ilimradi apate hela bila target.
hahahahaa shukrani natamani kuandika ila naona (naogopa) kana kwamba nitachanganya watu ulicho andika kinatosha hongeraSasa nimegundua tatizo lako kama hujalewa bc acha mara moja matumizi mabaya ya kichwa sasa kama hiyo ndo maana ya bahati na sisi watoto wa makapuku tulofanikiwa tusemeje aseeee tumia kichwa au kaa tu kmya ucje onekana hayawan
Sisi tupo mkuu karibu tuchanganue mambo kwa kina
Focus and concentration alone will never yield results (change)When focus & concentration become one's unwavering religion, success becomes inevitable.
Bahati inatengenezwaYote uliyoandika yote hapo hayana maana mafanikio ni bahati nasibu! Isipotokea kwako itatokea kwa mwingine.
Ingawa mafanikio yana tafsri pana,na kila moja anaweza kukuuliza una manisha MTU kufanikiwa katika nyanja IPI?? lakini site tunakubaliano haijalishi ni kwenye nyanja gani mwisho wa Siku yatatafsiriwa katika fedha na furaha.
Hivyo basi katika uchumi njia kuu za MTU kuwa tajiri ni 3 ambazo ni bahati,Jitihada na akili.katika hizo bahati inachangia 90%.
Chukulia mfano mtu aliyezaliwa katika familia tajiri,sio rahisi MTU huyu kuwa masikini,hivyo uwezekano wa yeye kufanikiwa ni 98% kuliko yule aliyezaliwa katika familia masikini.
Angalia mfano mwingine wa Magufuli vs Lissu katika mchanganuo ulioutoa hapo juu lissu anamzidi kila kitu magufuli,akili-jitihada-na kiroho but ukweli usiopingika kimafanikio Magufuli kamzidi Lissu.
Kabisa mkuu. Inatakiwa miguvu (ambayo wengi ndo wanaita juhudi/hard working) itumike kutekeleza strategies ulizobuni na kuziplan (akili)Bahati inatengenezwa
Wewe unajichanganya mwenyewe. Ulidefain "hard work," lakini sasa unazungumzia vitu zingine kabisa. Hard work is never measured by strategies, bali kwa endurace ama great effort.
Mkuu tupia hapa hivyo vitabu tuvisomeThink big bro
Ungeweka vitabu tuweze kusoma mkuuAndaa maswali yako yote unayotaka kujua kuhusu spiritual things. Mambo ya Soul na Spirit, Intuition, Consciousness etc lolote lile unalotaka fahamu. Kisha kakoment kwenye uzi huo. Nitajitahidi nikuandikie kwa mapana uelewe mambo haya ya spiritual awakening
One thing ambayo unamiss ni kwamba thinking is even harder kuliko physical work sometimes, ndiyo maana wachache sana wanaattempt kutafuta mafanikio kupitia njia hiyo nzuri. The use of mind for thinking and processing and analyzing is as exhaustive as (or even more than) physical labor.kwa kifupi naona kwamba kuwa na mafanikio ni uwepo uwezo mzuri wa kufikiria yaani kuchambua mambo maana akili kila mmoja anayo sasa watu wengi tunadhani maisha yanahitaji kufanya kazi kwa nguvu sana (physically) lakini kwangu sidhani
ukiweza kuwa na amani ya akili na uwezo wa kufikiria vizuri ndio itahusisha mipango pamoja na mengine nadhani kufanikiwa haito hitaji msukumi mkubwa kama mtu anae chosha mwili
kumbuka akili inavyo jaribu kufikira na kuongea yenyewe (mind chattering) huwa kuna maneno unajinenea jaribu sana yasiwe na matokeo mabaya maana kuna nguvu ina sikiliza ndani kwako ukisema mema litatokea na kuweka juhudi kwenye jambo bila kusahau muda wa kulifanikisha maana mafanikio na malengo lazima yawe ndani ya muda fulani ila ukiona mtu ambae anadhani mafanikio atayapata ndani ya wakati wowote sidhani yaani hauna mwisho (time limit)
yanakuwa sio mafanikio tena unayo tafuta
ila dunia ya sasa hata Tanzania kuwezesha mkono uwende kinywani kuwa mfikiriaji lazima akili ichoke lakini ndio kuna matokeo makubwa
Uko kwenye mduara uleule. By "focus" ama "concentration," haina maana ya meditation. You are only confusing yourself here. It rather means SINGLE-MINDEDNESS OF PURPOSE.Focus and concentration alone will never yield results (change)
"WHEN IT COMES TO SUCCESS, There is nothing POWERFUL IN THIS WORLD THAN DAILY CTIONS DIRECTED TO A SINGLE/ FEW PLANNED STRATEGIES. IT SEEMS THAT, EVEN WHAT WE CALL GOD IS OBJECTIVE TO THIS SECRET"
"DAILY ACTIONS DIRECTET TO A SINGLE / FEW PLANNED STRATEGIES, THEY HARNESS, CONCENTRATE AND BRING MENTAL AND GOD POWERS TOGETHER TO BE ONE, IT IS LIKE HOW NEGATIVE AND POSITIVE CHARGES COMPLETE A CIRCUIT."