Ukweli mtupu kuhusu Mafanikio

Pedu

Member
Oct 6, 2023
7
10
Nimekuja na hii mada sababu nilikuwa najiuliza kwa nini wenye pesa siku zote huwa zinaongezeka zaidi ya wale ambao hawana na unakuta kila mtu anafanya kazi kwa bidii? Nikawaza labda kuna baadhi ya vitu tukiachaa itasaidia.

Punguza Huruma
Kuna baadhi ya watu huruma ndo zinazidi kukufanya ushindwee kufikia malengo yako. Mfano mdogo tu jiulizee asilimia kubwa ya kipato huwa kinaishia wapi? unatuma nyumbani, bado mwenzi wako kila siku anakuomba hela, mara marafiki zako wanakukopa pasipo kurudisha unajua kabisa haitorudi ila tu ili kujionesha una hela unampa.

Ishi maisha yako
Kuna baadhi ya yetu kuishi maisha kiuhalisia ni ngumu sana hivyo unajikuta unaingia kwenye gharama zisizo na msingi kwa muda husika.

Punguza kujitangaza sana hatua zako
Najua sasa hivi tunaishi katika dunia ya kijigitali ila hatuna budi kuchagua baadhi ya mambo ya kuwaonesha watu mitandaoni. Sababu kuna baadhi ya watu wanaweza wakawa ndio sababu ya katika kukuharibia vyanzo vyako vya mapato.

Punguza marafiki na sifa
Sio kwamba marafiki ni watu wabaya hapana kuwa na marafiki wenye faida zaidi. Kwa mfano ulio hai kabisa, kuna mtu mmoja aliwahi kubeti akapata dau kubwa sana sana, baada ya kupata kiasi kile akawa kila wakitoka na wenzie anawanunulia pombe mpaka hela ile ikaisha wakati kwa muda husika yule mtu nyumba yake haina hata dirisha moja'. Laiti anagekuwa na rafiki wa faida labda angemshtua!

Kumbuka wenye pesa siku zote huwa wana roho zao ngumu tuu ukijaribu kuchunguzaa na ndio maana wanazidi kufanikiwa. Sijamaanisha roho mbaya ya kuua au kumdhulumu mwingine hapana! Namanisha roho ya kusema hapana au ndio panapo stahili.

Hitimisho
Kweye vipato vyetu tunavyopata tujitahidi kuiishi na uhalisia uliopo halijalishi ni hela ulizopata kwenye kubeti, biashara au mshahara.
 
Nimekuja na hii mada sababu nilikuwa najiuliza kwa nini wenye pesa siku zote huwa zinaongezeka zaidi ya wale ambao hawana na unakuta kila mtu anafanya kazi kwa bidii? Nikawaza labda kuna baadhi ya vitu tukiachaa itasaidia.

Punguza Huruma
Kuna baadhi ya watu huruma ndo zinazidi kukufanya ushindwee kufikia malengo yako. Mfano mdogo tu jiulizee asilimia kubwa ya kipato huwa kinaishia wapi? unatuma nyumbani, bado mwenzi wako kila siku anakuomba hela, mara marafiki zako wanakukopa pasipo kurudisha unajua kabisa haitorudi ila tu ili kujionesha una hela unampa.

Ishi maisha yako
Kuna baadhi ya yetu kuishi maisha kiuhalisia ni ngumu sana hivyo unajikuta unaingia kwenye gharama zisizo na msingi kwa muda husika.

Punguza kujitangaza sana hatua zako
Najua sasa hivi tunaishi katika dunia ya kijigitali ila hatuna budi kuchagua baadhi ya mambo ya kuwaonesha watu mitandaoni. Sababu kuna baadhi ya watu wanaweza wakawa ndio sababu ya katika kukuharibia vyanzo vyako vya mapato.

Punguza marafiki na sifa
Sio kwamba marafiki ni watu wabaya hapana kuwa na marafiki wenye faida zaidi. Kwa mfano ulio hai kabisa, kuna mtu mmoja aliwahi kubeti akapata dau kubwa sana sana, baada ya kupata kiasi kile akawa kila wakitoka na wenzie anawanunulia pombe mpaka hela ile ikaisha wakati kwa muda husika yule mtu nyumba yake haina hata dirisha moja'. Laiti anagekuwa na rafiki wa faida labda angemshtua!

Kumbuka wenye pesa siku zote huwa wana roho zao ngumu tuu ukijaribu kuchunguzaa na ndio maana wanazidi kufanikiwa. Sijamaanisha roho mbaya ya kuua au kumdhulumu mwingine hapana! Namanisha roho ya kusema hapana au ndio panapo stahili.

Hitimisho
Kweye vipato vyetu tunavyopata tujitahidi kuiishi na uhalisia uliopo halijalishi ni hela ulizopata kwenye kubeti, biashara au mshahara.
Hizo zote sio sifa za Matajiri hata moja.

Kamwe hawatakwambia siri ya mafanikio yao.

Utaelewa kauli yangu mara tu utakapopata utajiri ila kwa sasa najua utanibishia kwa kuwa wewe hujafanikiwa bado.
 
Kukosa huruma na kutosaidia kutakufanya uwe masikini hadi unakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wote Dunia hawana huruma Ni wakatili kweli kweli ukileta mzaha kwenye pesa zake anakuua ....hatoi pesa Bila hesabu ....

Tajiri ukiona anatoa msaada jua yeye kashanufaika Mara mbili yake ,au anaenda kunufaika Zaidi Mara mbili ya msaada anaotoa ...

Nyie masikini masikini ndio huruma zimewajaa sijui Mungu anatabariki ,....

Pesa zinamilikiwa na watu makakitili na wenye sura za mbuzi sio Lelemama mmeolegelegea kama Tambi za mchina chukua hiyoo
 
Yaani usiwe na huruma hata na wanao usiwasomeshe. Peleka kayumba school. .
Ujikatili hata wewe mwenyewe achana ma mavaz ya gharama, achana vyakula vya maana.

Mkeo au mumeo avae hiyo hiyo midanwada. Ile hela zijae.

So ndio maana yake
 
Yaani usiwe na huruma hata na wanao usiwasomeshe. Peleka kayumba school. .
Ujikatili hata wewe mwenyewe achana ma mavaz ya gharama, achana vyakula vya maana.

Mkeo au mumeo avae hiyo hiyo midanwada. Ile hela zijae.

So ndio maana yake
Huruma niliyo iongelea ina utofauti na yako ulivyo tafsiri, kupeleka mtoto shule ni jumuku lako kama mzazi ni haki yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom