Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,075
- 4,300
- Thread starter
-
- #21
Iyo unayoita ww bahati ndo spritual yenyewe sasa we fight alaf your weak spritual uone vile utadunda komaaaYote uliyoandika yote hapo hayana maana mafanikio ni bahati nasibu! Isipotokea kwako itatokea kwa mwingine.
Ingawa mafanikio yana tafsri pana,na kila moja anaweza kukuuliza una manisha MTU kufanikiwa katika nyanja IPI?? lakini site tunakubaliano haijalishi ni kwenye nyanja gani mwisho wa Siku yatatafsiriwa katika fedha na furaha.
Hivyo basi katika uchumi njia kuu za MTU kuwa tajiri ni 3 ambazo ni bahati,Jitihada na akili.katika hizo bahati inachangia 90%.
Chukulia mfano mtu aliyezaliwa katika familia tajiri,sio rahisi MTU huyu kuwa masikini,hivyo uwezekano wa yeye kufanikiwa ni 98% kuliko yule aliyezaliwa katika familia masikini.
Angalia mfano mwingine wa Magufuli vs Lissu katika mchanganuo ulioutoa hapo juu lissu anamzidi kila kitu magufuli,akili-jitihada-na kiroho but ukweli usiopingika kimafanikio Magufuli kamzidi Lissu.
Light can't exist without darkness, but darkness exists without light. That's why, wherever you remove light darkness takes it's place. This meant that, light comes to balance darkness in nature not to remove ut
Billget Hana dini apo vipi?Nimekuwa nikisikia na kusoma hoja na mijadala mbalimbali hapa JF na kwa mara great thinker wengine mbalimbali kuhusu formula ya maisha watu wakidai maisha hayana formula ni bahati tu ya mtu wengine wakidai juhudi na bidii ndio formula ya maisha na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema maisha ni akili ukiwa na akili we umetoboa lakini wa watu tumetumia hizo vitu na bado tuna angukia pua wakaja watu wa motivation na swaga zao tukaishia kutapeliwa fedha zetu bure kumbe ss ndo tulikuwa fursa inauma sana mjomba na shangazi
Mimi kama saile thinker licha ya kuwa na umri mdogo nikaamua kufanya research maana pia natamani mafanikio katika research yangu nimegundua na kuja formula yangu iliyo kwisha kuzaa matunda kwa wengi nilio watonya formula ya kufanikiwa ni
A
1.spritual power(nguvu ya kiroho)
2.intellect (akili)
3.hard work (juhudi)
Na sio
B
1.intellect
2.Hard work
3.spritual
C
Wala et
1.hard work
2.sprtual
3.intellect
Kama vilivyo pangwa apo kwenye kundi A ndivyo 1 ad 3 ndivyo vipewe kipau mbele kuringa na nafasi yake
Sasa tunafeli wapi watu na deal na kimoja wapo tu badala ya vyote kwa pamoja mfano mtu ana komaa na juhudi au akili au spritul tu yaani kusali sana au kuroga sana tu badala ya. vyote kwa pamoja
Hapo kudeal na juhudi ni rahisi inshu ni kudeal na spritual then akili apa ndio wabongo na wengi duniani tunachemka
Ila nakuhakikishia ukiweza kudeal na vyote hapo kila usahihi hakika unatoboa na hiyo ndio life formula
Asante
Uliza chochote npo kukujibu
Saile thinker
Mkuu wapi hujanielewaWhat are you talking about, even? Mpaka nimejaribu kuongeza volume hadi mwisho lakini wapi!
Anapaswa kujua kwamba probability of success kama mtu hajishughulishi, amekaa tuu akiongoja bahati nasibu, ni almost ZERO. On the other hand, if you work hard, the probability shoots up exponentially to almost 1. "Mtembea bure si mkaa bure, huenda akaokota!" See what I'm sayin'?Iyo
Iyo unayoita ww bahati ndo spritual yenyewe sasa we fight alaf your weak spritual uone vile utadunda komaaa
Break it down, now? Your statements are philosophical & general, and can mean a range of different things.Mkuu wapi hujanielewa
Anapaswa kujua kwamba probability of success kama mtu hajishughulishi, amekaa tuu akiongoja bahati nasibu, ni almost ZERO. On the other hand, if you work hard, the probability shoots exponentially to almost 1. See what I'm sayin'?
Break it down, now? Your statements are philosophical & general, and can mean a range of different things.
Utaangaliaje Kama iko weak au strong, leta Mbinu za kuangalia Kama Spiritual power ipo strong au weak.Spiritual imetokana na neno Spirit.. kila mtu ana Spirit.
Cha msingi ni kuangalia je spiritual power yako ipo weak au strong je ksma ipo weak nini kimesababisha na Kama ni strong hiyo strongnes inatoka kwa nani??
Kuna somewhere ana believe ni siri yake by the way kuna watu wanazaliwa strong spritual tunasema wana kisimart ila ss wengine dil izo formula apo juu alaf spritual sio dini bali nguvu ya kiroho mkuuBillget Hana dini apo vipi?
NNinaamini % kubwa hatuelewi maana ya JIUHUDI( Hard work)
Naomba nifafanue kidogo.
1 Intellect Ni ule uwezo wa ku-imagine kitu au jambo unalotaka kufanikisha, halafu unalichambua, unali-analyze HALAFU UNAKUJA NA STRATEGIES (To be implemented daily)
2 HARD WORKING Ni ile nidhamu ya KU-IMPLIMENT KILA SIKU ZILE STRATEGIES ulizoseti kule kwenye INTELLECT (afe kipa afe beki lazima kila siku utimize strategies).
HARD WORKING sio kujituma tu kufanya kazi.
MY DEFINITION OF HARD WORKING
"IS THE DAILY IMPLIMENTATION OF THE TRATEGIES YOU SET"
Acha uongo mzee , bahati na sibu ni Nini na inatokana na nini au inaongozwa na Nini? Mdau yupo sahihi kabisa . Defend kwa hoja zako ili nami niifahamu hiyo bahati nasibu ni kiti ganiYote uliyoandika yote hapo hayana maana mafanikio ni bahati nasibu! Isipotokea kwako itatokea kwa mwingine.
Ingawa mafanikio yana tafsri pana,na kila moja anaweza kukuuliza una manisha MTU kufanikiwa katika nyanja IPI?? lakini site tunakubaliano haijalishi ni kwenye nyanja gani mwisho wa Siku yatatafsiriwa katika fedha na furaha.
Hivyo basi katika uchumi njia kuu za MTU kuwa tajiri ni 3 ambazo ni bahati,Jitihada na akili.katika hizo bahati inachangia 90%.
Chukulia mfano mtu aliyezaliwa katika familia tajiri,sio rahisi MTU huyu kuwa masikini,hivyo uwezekano wa yeye kufanikiwa ni 98% kuliko yule aliyezaliwa katika familia masikini.
Angalia mfano mwingine wa Magufuli vs Lissu katika mchanganuo ulioutoa hapo juu lissu anamzidi kila kitu magufuli,akili-jitihada-na kiroho but ukweli usiopingika kimafanikio Magufuli kamzidi Lissu.
When focus & concentration become one's unwavering religion, success becomes inevitable.Kuna somewhere ana believe ni siri yake by the way kuna watu wanazaliwa strong spritual tunasema wana kisimart ila ss wengine dil izo formula apo juu alaf spritual sio dini bali nguvu ya kiroho mkuu
Yuko correct sana. Mtu aliyezaliwa kwenye familia yenye uwezo yuko most likely kufanikiwa. Ndiyo maana wao watu wengi kwenye nchi za Afrika, wana uwezo mkubwa wa akili, lakini hawakuwa na uwezo wa fedha wa kujiendeleza kimasomo au kibiashara.Acha uongo mzee , bahati na sibu ni Nini na inatokana na nini au inaongozwa na Nini? Mdau yupo sahihi kabisa . Defend kwa hoja zako ili nami niifahamu hiyo bahati nasibu ni kiti gani
Sent using Jamii Forums mobile app