Ukweli kuhusu formula ya maisha na mafanikio

Iyo
Yote uliyoandika yote hapo hayana maana mafanikio ni bahati nasibu! Isipotokea kwako itatokea kwa mwingine.

Ingawa mafanikio yana tafsri pana,na kila moja anaweza kukuuliza una manisha MTU kufanikiwa katika nyanja IPI?? lakini site tunakubaliano haijalishi ni kwenye nyanja gani mwisho wa Siku yatatafsiriwa katika fedha na furaha.

Hivyo basi katika uchumi njia kuu za MTU kuwa tajiri ni 3 ambazo ni bahati,Jitihada na akili.katika hizo bahati inachangia 90%.

Chukulia mfano mtu aliyezaliwa katika familia tajiri,sio rahisi MTU huyu kuwa masikini,hivyo uwezekano wa yeye kufanikiwa ni 98% kuliko yule aliyezaliwa katika familia masikini.

Angalia mfano mwingine wa Magufuli vs Lissu katika mchanganuo ulioutoa hapo juu lissu anamzidi kila kitu magufuli,akili-jitihada-na kiroho but ukweli usiopingika kimafanikio Magufuli kamzidi Lissu.
Iyo unayoita ww bahati ndo spritual yenyewe sasa we fight alaf your weak spritual uone vile utadunda komaaa
 
Light can't exist without darkness, but darkness exists without light. That's why, wherever you remove light darkness takes it's place. This meant that, light comes to balance darkness in nature not to remove ut

What are you talking about, even? Mpaka nimejaribu kuongeza volume hadi mwisho lakini wapi!
 
Nimekuwa nikisikia na kusoma hoja na mijadala mbalimbali hapa JF na kwa mara great thinker wengine mbalimbali kuhusu formula ya maisha watu wakidai maisha hayana formula ni bahati tu ya mtu wengine wakidai juhudi na bidii ndio formula ya maisha na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema maisha ni akili ukiwa na akili we umetoboa lakini wa watu tumetumia hizo vitu na bado tuna angukia pua wakaja watu wa motivation na swaga zao tukaishia kutapeliwa fedha zetu bure kumbe ss ndo tulikuwa fursa inauma sana mjomba na shangazi

Mimi kama saile thinker licha ya kuwa na umri mdogo nikaamua kufanya research maana pia natamani mafanikio katika research yangu nimegundua na kuja formula yangu iliyo kwisha kuzaa matunda kwa wengi nilio watonya formula ya kufanikiwa ni
A
1.spritual power(nguvu ya kiroho)
2.intellect (akili)
3.hard work (juhudi)
Na sio
B
1.intellect
2.Hard work
3.spritual

C
Wala et
1.hard work
2.sprtual
3.intellect

Kama vilivyo pangwa apo kwenye kundi A ndivyo 1 ad 3 ndivyo vipewe kipau mbele kuringa na nafasi yake

Sasa tunafeli wapi watu na deal na kimoja wapo tu badala ya vyote kwa pamoja mfano mtu ana komaa na juhudi au akili au spritul tu yaani kusali sana au kuroga sana tu badala ya. vyote kwa pamoja

Hapo kudeal na juhudi ni rahisi inshu ni kudeal na spritual then akili apa ndio wabongo na wengi duniani tunachemka

Ila nakuhakikishia ukiweza kudeal na vyote hapo kila usahihi hakika unatoboa na hiyo ndio life formula

Asante

Uliza chochote npo kukujibu

Saile thinker
Billget Hana dini apo vipi?
 
Ukiisoma LAW OF CAUSE AND EFFECT ukaielewa vilivyo, halafu UKASOMA VITABU VYA LUCIFERIANISM ukavielewa, NAKUHAKIKISHIA utaacha kuishi maisha YA KU-WISH na Kuanza kuishi MAISHA YA KU-CAUSE AND INFLUENCE RESULTS (CHANGE)
 
Ukiisoma LAW OF CAUSE AND EFFECT ukaielewa vilivyo, halafu UKASOMA VITABU VYA LUCIFERIANISM ukavielewa, NAKUHAKIKISHIA utaacha kuishi maisha YA KU-WISH na Kuanza kuishi MAISHA YA KU-CAUSE AND INFLUENCE RESULTS (CHANGE)
 
Iyo

Iyo unayoita ww bahati ndo spritual yenyewe sasa we fight alaf your weak spritual uone vile utadunda komaaa
Anapaswa kujua kwamba probability of success kama mtu hajishughulishi, amekaa tuu akiongoja bahati nasibu, ni almost ZERO. On the other hand, if you work hard, the probability shoots up exponentially to almost 1. "Mtembea bure si mkaa bure, huenda akaokota!" See what I'm sayin'?
 
Anapaswa kujua kwamba probability of success kama mtu hajishughulishi, amekaa tuu akiongoja bahati nasibu, ni almost ZERO. On the other hand, if you work hard, the probability shoots exponentially to almost 1. See what I'm sayin'?

You can work hard and still not succeed..you succeed only when you work hard on your strategies
 
Spiritual imetokana na neno Spirit.. kila mtu ana Spirit.
Cha msingi ni kuangalia je spiritual power yako ipo weak au strong je ksma ipo weak nini kimesababisha na Kama ni strong hiyo strongnes inatoka kwa nani??
Utaangaliaje Kama iko weak au strong, leta Mbinu za kuangalia Kama Spiritual power ipo strong au weak.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Billget Hana dini apo vipi?
Kuna somewhere ana believe ni siri yake by the way kuna watu wanazaliwa strong spritual tunasema wana kisimart ila ss wengine dil izo formula apo juu alaf spritual sio dini bali nguvu ya kiroho mkuu
 
NNinaamini % kubwa hatuelewi maana ya JIUHUDI( Hard work)

Naomba nifafanue kidogo.

1 Intellect Ni ule uwezo wa ku-imagine kitu au jambo unalotaka kufanikisha, halafu unalichambua, unali-analyze HALAFU UNAKUJA NA STRATEGIES (To be implemented daily)

2 HARD WORKING Ni ile nidhamu ya KU-IMPLIMENT KILA SIKU ZILE STRATEGIES ulizoseti kule kwenye INTELLECT (afe kipa afe beki lazima kila siku utimize strategies).


HARD WORKING sio kujituma tu kufanya kazi.

MY DEFINITION OF HARD WORKING

"IS THE DAILY IMPLIMENTATION OF THE TRATEGIES YOU SET"

Hard work siyo tu "implementation of strategies," bali kuweka great deal of effort ama endurance kwenye kile unachofanya, regardless of strategy. Mtu anaweza kuwa na zero strategy na bado akawa unparalleled hard worker.
 
Yote uliyoandika yote hapo hayana maana mafanikio ni bahati nasibu! Isipotokea kwako itatokea kwa mwingine.

Ingawa mafanikio yana tafsri pana,na kila moja anaweza kukuuliza una manisha MTU kufanikiwa katika nyanja IPI?? lakini site tunakubaliano haijalishi ni kwenye nyanja gani mwisho wa Siku yatatafsiriwa katika fedha na furaha.

Hivyo basi katika uchumi njia kuu za MTU kuwa tajiri ni 3 ambazo ni bahati,Jitihada na akili.katika hizo bahati inachangia 90%.

Chukulia mfano mtu aliyezaliwa katika familia tajiri,sio rahisi MTU huyu kuwa masikini,hivyo uwezekano wa yeye kufanikiwa ni 98% kuliko yule aliyezaliwa katika familia masikini.

Angalia mfano mwingine wa Magufuli vs Lissu katika mchanganuo ulioutoa hapo juu lissu anamzidi kila kitu magufuli,akili-jitihada-na kiroho but ukweli usiopingika kimafanikio Magufuli kamzidi Lissu.
Acha uongo mzee , bahati na sibu ni Nini na inatokana na nini au inaongozwa na Nini? Mdau yupo sahihi kabisa . Defend kwa hoja zako ili nami niifahamu hiyo bahati nasibu ni kiti gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada inabidi iende jukwaa la intelligence maana ni pana sana anyway ili kukuza awareness kwenye maswala ya spiritual soma vitabu hivi
~The secret cha Rhonda byren,
~ Seven spiritual law of success cha deepak chopra
~Creative visualization by Shakti Gawain

Unaweza kuanzia na hivyo
 
Kuna somewhere ana believe ni siri yake by the way kuna watu wanazaliwa strong spritual tunasema wana kisimart ila ss wengine dil izo formula apo juu alaf spritual sio dini bali nguvu ya kiroho mkuu
When focus & concentration become one's unwavering religion, success becomes inevitable.
 
Acha uongo mzee , bahati na sibu ni Nini na inatokana na nini au inaongozwa na Nini? Mdau yupo sahihi kabisa . Defend kwa hoja zako ili nami niifahamu hiyo bahati nasibu ni kiti gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko correct sana. Mtu aliyezaliwa kwenye familia yenye uwezo yuko most likely kufanikiwa. Ndiyo maana wao watu wengi kwenye nchi za Afrika, wana uwezo mkubwa wa akili, lakini hawakuwa na uwezo wa fedha wa kujiendeleza kimasomo au kibiashara.
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa. Wengi tunahangaika kutafuta mafanikio na vitu nje ilihali nguvu ya kuvivuta hivyo vitu tayari ipo ndani (spiritual power).

Halafu lile kundi linalotazama tu bila kuelewa vitu kama hivi wanakomaa kusema flani ana bahati.

It's not luck!!

Umenigusa sana mkuu. Nimekuwa mtu wa kuitabiri future yangu tokea nikiwa young na mambo kutokea kama ninavyotamka.

Spiritual power
Intelligence
Hardwork

Ukiwa vizuri spiritual power na intelligence, huwa hauhitaji Ile Hardwork ya kupitiliza. Unaweza fanya jambo dogo la kawaida likakuletea pesa siyo ya kawaida.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom