Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

1787744_41001705040_c0b9661781_b[1].jpg


1786921_33545943_2153086114967491_58201930756784128_n[1].jpg
 
Mtaacha lini kujisifia! Hivi kweli utaifananisha Mwanza na hicho kitakataka chenu Arusha! Sometimes muwe mnakaa kimya kuliko kujidhalilisha bwana....Arusha ifananishe na majiji yafuatayo Mbeya, Dom naTanga....na sio Dar na Mwanza....ukiwa unacompare majiji tafadhali Mwanza na dar weka pembeni.
Ila Mwanza hawana barabara nzuri kama za Arusha kama hii ya kwenda Namanga to Moshi.pia barabara ya kuingia mwanza toka nzega ni mashimo tuuu
 
Ila Mwanza hawana barabara nzuri kama za Arusha kama hii ya kwenda Namanga to Moshi.pia barabara ya kuingia mwanza toka nzega ni mashimo tuuu
arusha bara bara ipo moja tu ya maana ambayo ni bypas ya tengeru sakina. bara bara zingine pale kati ni hovyo sana. e.g barabara ya kuingia jijini ukitokea kisongo iko finyu mbovu ukifika tu majengo unakutana na foleni ya kijinga coz barabara ni finyu.bara bara ya airport mwanza ni njia nne na bara bara ya kutoka jijii mpaka igoma ni njia tatu so far bara bara za katikati ya jiji ziko poa sana ukilinganisha na za Arusha.
 
1541180_DJI_0003.jpg

Labda tutoke mjini ndo saizi yenu mnaanza kuipata. Hapa ni kona ya bwiru .
 
na leo natupia kwa mara yangu ya mwisho sirudi hapa ulichokuwa unakihitaji ushakipata na bila shaka umejifunza. nimepost picha ya buzuruga na nikianza kutoka mjini utaumia, acha nikunyooshe kwa picha za mjini kati
Miradi kama hii inajengwa kwenye miji ya kisasa kama Arusha na sio mialo ya wavuvi 😃😃

Screenshot_20220202-211553.png
 
KWAKHERINI NITAKUWA NAKUJA KUWACHEKI VILE MNAENDELEA KUDANGANYANA
 
Arusha na Dodoma bila taasisi za kiserikali na mashirika binafsi haziwezi kuwa na kitu. Pamoja na hiyo favour bado hamtokaa kuipita Mwanza, zaidi Dodoma atakupiteni ni suala la mda tu
Taasisi za Serikali na za Kimataifa hazijengwi kwenye mialo ya wavuvi 😃😃
 
Back
Top Bottom