Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Unachafua Uzi

Screenshot_20220206-214851.png


Screenshot_20220206-215035.png


Screenshot_20220206-215142.png
 
Arusha is always the best💕
 

Attachments

  • AddMusicVideo31851.mp4
    2.3 MB
mwanza Tuna Bugando Arusha________

Mwanza kuna S.A.U.T na Chuo cha Afya Bugando(Cuhas) Arusha_________

Rock city Mall..Arusha_______

CCM Kirumba na uwanja wa Arusha upi unavutia__________

Stendi?? Nyegezi inajengwa upyaaa,Arusha ile stend ni hudhuni__________

Nani kasema amna Mzunguko wa pesa?? Kilimo kipo,,Uvuvi dagaa&Samaki,,Nguo mitumba wanatoa Uganda,Tourism pia ipo....Arusha ukitoa utalii kuna________

Eti k/koo ya mwanza ni makoroboi?? Uko serious kwel au umeropoka tu??_________

Hali ya Hewa sidhani kama kuna mkoa unaushinda kwa hali ya hewa Mwanza iko moderate sio joto sio baridi_____
Stendi bora ukitoa ya mbezi inayofuata ni ya nyamhongolo.
 
Anae iponda mwanza ana lake jambo

Binafsi, the best city in Tanzania kwa kuishi/kufanya biashara. Hata ukinipeleka kenya nichaguwe jiji la kuishi, nitachaguwa kwetu/Mwanza
unaandika huku unaumia🤣
milele kijiji chenu cha wavuv hakiwez kuifkia Arusha
 
unaandika huku unaumia🤣
milele kijiji chenu cha wavuv hakiwez kuifkia Arusha

Niumie vipi wakati mwanza inajulikana ni jiji la pili kwa ukubwa Tanzania 🤣 binafsi kwa Tanzania ama east afrika kuna jiji zuri kwa kuishi na kufanya business kama Mwz!!
 
Siku ya leo katika harakati zangu nikakutana na watu wawili tofauti,mmoja ni mwenyej wa dar(Mzaramo) na mwingine ni mwenyeji wa Moshi(Mchaga),nilikutana nao nyakati tofauti na mazingira tofauti na wote wana experience ya hiyo miji,majibu yao yalikuwa hivi;yule Mchaga wa Moshi alisema Mwanza pamejengwa zaidi ya Arusha ila Kwa biashara Arusha pako juu na yule wa dar alisema Mwanza inaizidi Arusha Kwa vyote viwili kujengwa na biashara pia.
 
Mambo ya maana na yenye hadhi Kimataifa hufanyika kwenye majiji yenye hadhi kama kama Arusha 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-130450.png
    Screenshot_20220604-130450.png
    110.9 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220604-131103.png
    Screenshot_20220604-131103.png
    112.7 KB · Views: 32
Amazing and beautiful Arusha City 👇
 

Attachments

  • FOrXop8WUAoBwjm.jpeg
    FOrXop8WUAoBwjm.jpeg
    112.3 KB · Views: 28
  • FJ-P7BuXEAcnjEh.jpeg
    FJ-P7BuXEAcnjEh.jpeg
    256.8 KB · Views: 26
  • FI7bB3CWUAYzcsx.jpeg
    FI7bB3CWUAYzcsx.jpeg
    25.8 KB · Views: 30
😄😄😄😆😆 Eti hii ndio Mwanza ishindane na Arusha 👇
 

Attachments

  • IMG-20220509-WA0008.jpg
    IMG-20220509-WA0008.jpg
    44.5 KB · Views: 29
Mwanza ni jiji linalovutia watu wengi na kukua kwa kasi sana,Arusha imeganda katika ukuaji wa jiji hasa baada ya biashara za utalii kuzorota ikiwemo mahoteli mengi kufungwa.
 
Mwanza ni jiji linalovutia watu wengi na kukua kwa kasi sana,Arusha imeganda katika ukuaji wa jiji hasa baada ya biashara za utalii kuzorota ikiwemo mahoteli mengi kufungwa.
Kupata vichekesho kama hivi tukupigie kwenye namna gani? 😀😀

Muwe mnakuja na Takwimu sio maneno ya mdomoni..

Kwa Takwimu hizi nani anakua Kati ya Mwanza na Arusha? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220506-155529.png
    Screenshot_20220506-155529.png
    46.9 KB · Views: 38
  • Screenshot_20220605-112108.png
    Screenshot_20220605-112108.png
    146.2 KB · Views: 36
  • 20220605_144926.jpg
    20220605_144926.jpg
    257.4 KB · Views: 34
Back
Top Bottom