Almas tower na jengo la mwisho hapo ni leyshofNaomba kujua jina la ili jengo la pili kwenye i pic
Almas tower na jengo la mwisho hapo ni leyshofNaomba kujua jina la ili jengo la pili kwenye i pic
mtoa mada wenyewe hata hajielew! angalia tu iyo namba mbili alivyoiandika ndio utajua hamna kituHabari wana JamiiForums,
Kwa muda mrefu kumekuwa na battle kati ya A-city Vs Rock City. Nimefuatilia kwa makini nimeona pande zote hakuna anayekubali kushindwa.
Lakini kwa mtazamo wangu wa kawaida ukweli ndio huu:
01. Population Arusha city iko half of Mwanza rock city
02. Kujengwa kwa city Chuga iko 90% wakati rock city iko 50% wakati Dar city 100% na a-city 75%
03. Kwa ujanja a-city 80%, Dar city 99% na rock-city 40%.
03. Kwa mzunguko wa hela Dar-city 90%, A-city 70% na rock city 60%
04. kwa hali ya hewa A-city 100%, Dar-city 40% Na Rock City 50%
NOTE; I was born in a city but, I am living in Monrovia
Huna jipya nilijuana nabishana na mwenye akili kumbe mtafuna mirungi. Akili yako ikikaa vizuri nitarudi.Tayari ushavimbiwa michembe..Hicho kijiji cha maskini kikashindane na Mbeya,Tanga na Kahama.
Arusha na Dom ni level za Dar 👇
View attachment 2108615
Umevimbiwa michembe sasa unatuharishia 😄😀Huna jipya nilijuana nabishana na mwenye akili kumbe mtafuna mirungi. Akili yako ikikaa vizuri nitarudi.
Over 10 floor buildings,Usilinganishe Arusha na mwanza wala Dom. Arusha ilinganishe na mbeya, iringa na Tanga. Usitake ujiko wa kijinga.
mtoa mada wenyewe hata hajielew! angalia tu iyo namba mbili alivyoiandika ndio utajua hamna kitu
( 2) kujengwa kwa city anakwambia chuga 90% halafu hapo hapo anakwambia A-city 75% sasa mmemuelewa nn? sasa kwa taarifa yako tangu sensa ya mwaka 1962 mwanza haijawahi shuka nafas ya pili mpaka sensa ya mwaka 2012 subir sensa ya mwezi wa 8 mwaka huu ndio itatoa majibu haina haja ya kubwabwajabwabwaja...watu wa mwanza tumechoka na hizo battle zenu
Siku hicho kijiji cha wavuvi kikipata barabara kama hizi mnitag,na ujenzi unaanza tena baada kupokea fedha kutoka Japan..Usilinganishe Arusha na mwanza wala Dom. Arusha ilinganishe na mbeya, iringa na Tanga. Usitake ujiko wa kijinga.
Geita haijawahi kuwa sehemu ya jijiNaomba kuuliza sensa ya 2012 geita ilikua bado iko mwanza au ilikua ishakua mkoa.
Kama ilikua bado basi mwanza inaweza kuja na idadi ndogo ya watu maana imepunguzwa
Mkuu bado unabishana na vichaa?Geita haijawahi kuwa sehemu ya jiji
Geita haijawahi kuwa sehemu ya jiji
Tembea kwanza utoke nje ya mkoa wako ujifunze, kubishana na watu kama wewe ni kupoteza mda. Vinginevyo kafanye sensa yakoKuna mahali mimi nimeandika jiji, nimeuliza mwz
😂😂😂😂😂Mkuu bado unabishana na vichaa?
Tembea kwanza utoke nje ya mkoa wako ujifunze, kubishana na watu kama wewe ni kupoteza mda. Vinginevyo kafanye sensa yako