OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
Sasa wewe unaleta ligi wakati sisi tunasema ukweli😂😂😂 hiyo mwanza labda Kilimanjaro au mbeya ndo mwaweza lingana. Achana na sisi kabisa, mwanza Tano ni Arusha moja.Mashabiki ya Chelsea siku hizi yamekiwa kama machizi tu
Pamoja na kuwa Jiji mapema lakini Bado ushamba ni mwingi sana hapo nyegezi na nyamagana😂😂😂