Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

255747630303_status_59fdccbf9427445eb95d8fe6b8b40e5a.jpg
 
Watu wangu wa Arusha mnaniangusha mko wapi sasa jamaa wanatamba huku!
 
Watu wangu wa Arusha mnaniangusha mko wapi sasa jamaa wanatamba huku!
Tunawaacha wapige picha hiyo hiyo kwa angle tofauti afu tunawajipu kwa vitendo.

Miradi kama hii tunaikuta Addis Ababa na Arusha tuu , huwezi ikuta kwenye Vijijini vya Wavuvi kama Mwanza👇

Screenshot_20220206-141338.png


Screenshot_20220206-141457.png
 
Tunawaacha wapige picha hiyo hiyo kwa angle tofauti afu tunawajipu kwa vitendo.

Miradi kama hii tunaikuta Addis Ababa na Arusha tuu , huwezi ikuta kwenye Vijijini vya Wavuvi kama Mwanza👇

View attachment 2110099

View attachment 2110100
Hujui chochote umatusumbua tu. Ujenzi wake jengo hili upo hatua nzuri tu nenda kapige picha badala ya kutuletea ulichokileta hapa. Tunabishana na mwehu hata unachokipost hukielewi.
 
Tunawaacha wapige picha hiyo hiyo kwa angle tofauti afu tunawajipu kwa vitendo.

Miradi kama hii tunaikuta Addis Ababa na Arusha tuu , huwezi ikuta kwenye Vijijini vya Wavuvi kama Mwanza👇

View attachment 2110099

View attachment 2110100
Tunawaacha wapige picha hiyo hiyo kwa angle tofauti afu tunawajipu kwa vitendo.

Miradi kama hii tunaikuta Addis Ababa na Arusha tuu , huwezi ikuta kwenye Vijijini vya Wavuvi kama Mwanza👇

View attachment 2110099

View attachment 2110100
Unaupiga mwingi...
Ukitoka hapa urudi tena kwenye thread yetu ya
kutengwa kwenu nyanda za juu kusini.
 
Huwezi kulinganisha Mwanza na Arusha, utakua na upungufu wa akili.

Mwanza iko mbali sana, sana. Mwana inapambana na Dar sio Arusha. Arusha ipambane na miji kama Kahama, Runzewe, Katoro ama Manyoni, sio Mwanza. Hata njombe soon inaipiga chini Arusha.
 
Hujui chochote umatusumbua tu. Ujenzi wake jengo hili upo hatua nzuri tu nenda kapige picha badala ya kutuletea ulichokileta hapa. Tunabishana na mwehu hata unachokipost hukielewi.
Kwani wewe ukiweka hapa hiyo picha utageuka Jiwe? Siko Arusha na siwezi acha shughuli zangu niende kupiga picha ya kukufirahisha wewe..

Wanatakiwa waziweke kwenye mtandandao.
 
na leo natupia kwa mara yangu ya mwisho sirudi hapa ulichokuwa unakihitaji ushakipata na bila shaka umejifunza. nimepost picha ya buzuruga na nikianza kutoka mjini utaumia, acha nikunyooshe kwa picha za mjini kati
 
Back
Top Bottom