Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Kuonekana muongo sio tatizo kwangu hasa baada ya kugundua aina na uwezekano wa mtu niliekubaliana nae kujadili nae (kwa lengo la kuelimishana). Kuna shida gani kwake (au kwako) kusoma nilichoshauri akisome kwanza ili nimjibu maswali yake - essentially he could have asked in a single question as almost everything is related and entwined to each other?
Nimempa link asome - na hajasoma (au kama kasoma basi hakuelewa kitu) maana vinginevyo asingeshindwa kuona kuwa baadhi ya maswali yake yanajibiwa na maelezo yangu na yaliyomo kwenye scholarly article kwenye link niliyompa. Na kama kitu kidogo hivyo kimekuwa kikubwa kwake ataelewa kweli Christian eschatology na Islamic eschatology? Bila mtu kusoma hayo japo kidogo KAMWE hataelewa kwa majira haya - japo baadae kila mtu ataelewa tu maana ni lazima mpinga Kristo afunuliwe eventually.
Mkuu hebu acha sarakasi, hizo link kuwa mnyama ni uislamu zipo nyingi, na tushaziona ni utumbo, mimi nimesoma maelezo yako , mbona kama unataka kukimbia maswali, kuna ugumu gani ukiyajibu ? Umeombwa majibu hata mimi nayasubiri ,unasema twende kwenye link , serious ?

Na uhakika asilimia mia huna ubavu wa kujibu hata aya moja, maana hata mimi nipo hapa nataka nikuoneshe kuwa upo wrong, wewe jibu basi hata aya 1 tu, hiyo kuokoteza kimtari huku na huku unaunganisha na kutoa conclusion et mnyama ni Uislamu , unatudanganya,nikuulize swali kuhusu sifa moja wapo ya mnyama anayezungumzwa hapo , aliua watakatifu , alibadili amri ,majira na sheria , alitawala kwa siku 1260 ,au kibiblia miaka 1260 ,unaweza kunisaidia UISLAMU unahusikaje na hizo sifa?
 
Kuonekana muongo sio tatizo kwangu hasa baada ya kugundua aina na uwezekano wa mtu niliekubaliana nae kujadili nae (kwa lengo la kuelimishana). Kuna shida gani kwake (au kwako) kusoma nilichoshauri akisome kwanza ili nimjibu maswali yake - essentially he could have asked in a single question as almost everything is related and entwined to each other?
Nimempa link asome - na hajasoma (au kama kasoma basi hakuelewa kitu) maana vinginevyo asingeshindwa kuona kuwa baadhi ya maswali yake yanajibiwa na maelezo yangu na yaliyomo kwenye scholarly article kwenye link niliyompa. Na kama kitu kidogo hivyo kimekuwa kikubwa kwake ataelewa kweli Christian eschatology na Islamic eschatology? Bila mtu kusoma hayo japo kidogo KAMWE hataelewa kwa majira haya - japo baadae kila mtu ataelewa tu maana ni lazima mpinga Kristo afunuliwe eventually.
Tatizo lako wewe ni muongo, au umeokoteza vimistari huku na huko ,ukahitimisha mnyama ni uislamu,
Labda nikuulize nini maana ya Mnyama ? Maana biblia imetafsiri , kama unajua maana ya mnyama, niambie

Halafu naomba unisaidie Uislamu unaingiaje kwenye hii aya

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Na kwanini iwe uislamu usiwe ukatoliki/upapa/vatcan?

Mnyama ni nini?

Bahari ni nini?

Pembe ni nini?

Majina ya makufuru ni yapi?
 
Umegoma kumjibu, au maswali yake unaogopa yatakukaanga? Mimi na bet ukijibu Natoa Laki 1 . Naimani huna uwezo hata robo wa kujibu hayo maswali ,hata kujaribu huna huo uwezo, ,maana utakamatwa tu,na ndio unachoogopa ,mmebaki kushambulia tu usabato ,mara ellen white , sijui mkojo nyie watu, watu tunataka kujifunza mnaleta ujinga

Hivi unaweza kumfundisha mtoto wa miaka 2 concept ya artificial intelligence na akaelewa? Kuna prerequisite level kwa kila taaluma duniani, na ukiikosa watu wataimba mchana kutwa na usielewe. Huyo mtu unaedai nimeshindwa kumjibu hataki kujifunza ila anataka mabishano na unfortunately muda huo sina- angekuwa kweli anataka kujibiwa maswali yake academic wise angeona umuhimu wa kusoma niliyomwambia asome. Kama anadhani hayana uhusiano basi angeeleza utofauti uliopo. Hakuna alichofanya au kuonyesha utayari wa kufanya, so what do I do?
Kama kweli wewe unataka kuelewa basi chukua hatua ya kutaka kuelewa ambayo ni kuwa open-minded. Soma nilipomshauri mwenzio asome maana ni prerequisite ya kupata concept.
 
Hivi unaweza kumfundisha mtoto wa miaka 2 concept ya artificial intelligence na akaelewa? Kuna prerequisite level kwa kila taaluma duniani, na ukiikosa watu wataimba mchana kutwa na usielewe. Huyo mtu unaedai nimeshindwa kumjibu hataki kujifunza ila anataka mabishano na unfortunately muda huo sina- angekuwa kweli anataka kujibiwa maswali yake academic wise angeona umuhimu wa kusoma niliyomwambia asome. Kama anadhani hayana uhusiano basi angeeleza utofauti uliopo. Hakuna alichofanya au kuonyesha utayari wa kufanya, so what do I do?
Kama kweli wewe unataka kuelewa basi chukua hatua ya kutaka kuelewa ambayo ni kuwa open-minded. Soma nilipomshauri mwenzio asome maana ni prerequisite ya kupata concept.
Mkuu acha kuruka sarakasi,
Umepewa sura inayomuhusu mnyama , jibu maswali sasa
 
Mkuu hebu acha sarakasi, hizo link kuwa mnyama ni uislamu zipo nyingi, na tushaziona ni utumbo, mimi nimesoma maelezo yako , mbona kama unataka kukimbia maswali, kuna ugumu gani ukiyajibu ? Umeombwa majibu hata mimi nayasubiri ,unasema twende kwenye link , serious ?

Na uhakika asilimia mia huna ubavu wa kujibu hata aya moja, maana hata mimi nipo hapa nataka nikuoneshe kuwa upo wrong, wewe jibu basi hata aya 1 tu, hiyo kuokoteza kimtari huku na huku unaunganisha na kutoa conclusion et mnyama ni Uislamu , unatudanganya,nikuulize swali kuhusu sifa moja wapo ya mnyama anayezungumzwa hapo , aliua watakatifu , alibadili amri ,majira na sheria , alitawala kwa siku 1260 ,au kibiblia miaka 1260 ,unaweza kunisaidia UISLAMU unahusikaje na hizo sifa?

Sasa kama umesoma na umeona ni utumbo kuna possibility ya mtu kukuambia kitu ukaamini? Umeamua kuwa a closed system, siwezi kukubadilisha.
 
Sasa kama umesoma na umeona ni utumbo kuna possibility ya mtu kukuambia kitu ukaamini? Umeamua kuwa a closed system, siwezi kukubadilisha.
Jikite kwenye Sura inayohusu mnyama ufunuo 13 ,ujibu maswali kwanza ,tujue hata maana ya mnyama unaelewa maana yake?

Vichwa 7 unaelewa maana yake? Kabla hujatudanganya et mnyama ni uislamu

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Hiyo Aya uislamu unahusikaje? Ukijibu nitaamini wewe unajua, lasivyo itakuwa unaleta ngonjera
 
Hivi unaweza kumfundisha mtoto wa miaka 2 concept ya artificial intelligence na akaelewa? Kuna prerequisite level kwa kila taaluma duniani, na ukiikosa watu wataimba mchana kutwa na usielewe. Huyo mtu unaedai nimeshindwa kumjibu hataki kujifunza ila anataka mabishano na unfortunately muda huo sina- angekuwa kweli anataka kujibiwa maswali yake academic wise angeona umuhimu wa kusoma niliyomwambia asome. Kama anadhani hayana uhusiano basi angeeleza utofauti uliopo. Hakuna alichofanya au kuonyesha utayari wa kufanya, so what do I do?
Kama kweli wewe unataka kuelewa basi chukua hatua ya kutaka kuelewa ambayo ni kuwa open-minded. Soma nilipomshauri mwenzio asome maana ni prerequisite ya kupata concept.
Kwakweli maswali yamekushinda ,pole sana mimi nimefatilia toka mwanzo labda utajibu ,inaonesha hujui kitu, pole sana
 
Tatizo lako wewe ni muongo, au umeokoteza vimistari huku na huko ,ukahitimisha mnyama ni uislamu,
Labda nikuulize nini maana ya Mnyama ? Maana biblia imetafsiri , kama unajua maana ya mnyama, niambie

Halafu naomba unisaidie Uislamu unaingiaje kwenye hii aya

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Na kwanini iwe uislamu usiwe ukatoliki/upapa/vatcan?

Mnyama ni nini?

Bahari ni nini?

Pembe ni nini?

Majina ya makufuru ni yapi?
@mfia ukweli njoo ujibu haya maswali ,lasivyo wewe ni mbabaishaji, toka jana unaruka sarakasi tu
 
Jikite kwenye Sura inayohusu mnyama ufunuo 13 ,ujibu maswali kwanza ,tujue hata maana ya mnyama unaelewa maana yake?

Vichwa 7 unaelewa maana yake? Kabla hujatudanganya et mnyama ni uislamu

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Hiyo Aya uislamu unahusikaje? Ukijibu nitaamini wewe unajua, lasivyo itakuwa unaleta ngonjera
@Mfiaukweli njoo ujibu kuna swali hapa, na mimi nataka nione ,je utajibu au utakimbia tena
 
Huu upuuzi mnaobishanaga mnanishangaza sana, kila mtu abaki na imani yake jamani! Wa kwenda mbinguni wataenda wa motoni wataenda! Amna haja ya kuhitillafiana na kupakazana matope kwamba dini flani zuri au baya!
Lazima tuyachunguze maandiko Kama Waberoya, kwenda motoni si mpango wa Mungu kwa wanadamu, huo moto si wa kibinadamu mkuu.
 
Tunaambiwa kwa sasa, wokovu bado ni wa bure. Hayo mambo ya kulazimishana kuwekewa chapa itakuja wakati Neema ya wokovu imefungwa.

Mnapoanza kutisha watu kwa kuleta tafsiri kwa mujibu wa mawazo yenu sio sawa.

Cha msingi, ishi maisha ya kumpendeza Mungu. Hautakua na haja ya kutetereshwa na hizi kelele zingine.
 
Tunaambiwa kwa sasa, wokovu bado ni wa bure. Hayo mambo ya kulazimishana kuwekewa chapa itakuja wakati Neema ya wokovu imefungwa.

Mnapoanza kutisha watu kwa kuleta tafsiri kwa mujibu wa mawazo yenu sio sawa.

Cha msingi, ishi maisha ya kumpendeza Mungu. Hautakya na haja ya kujua hizi kelele zingine.
Unaweza kutusaidia hiyo chapa ni ipi?
 
Unaweza kutusaidia hiyo chapa ni ipi?

Umenielewa vizuri nilichokiandika? Biblia iko wazi kabisa, hayo mambo ya chapa , kununua na kutokununua bila chapa itakuja baadae, na watakaokataa watapata wokovu kwa mateso makali sana.

Kwa upande wangu, bora upate wokovu wa sasa ulioletwa na Bwana Yesu Kristo, sitakya na haja ya kubashiri chapa ni kitu gani kwa sababu haitanihusu.

Maelezo mengi yanayotafsiri hili jambo yanatofautiana na kupingana kadri ya mleta hoja anasimamia wapi.
 
Umenielewa vizuri nilichokiandika? Biblia iko wazi kabisa, hayo mambo ya chapa , kununua na kutokununua bila chapa itakuja baadae, na watakaokataa watapata wokovu kwa mateso makali sana.

Kwa upande wangu, bora upate wokovu wa sasa ulioletwa na Bwana Yesu Kristo, sitakya na haja ya kubashiri chapa ni kitu gani kwa sababu haitanihusu.

Maelezo mengi yanayotafsiri hili jambo yanatofautiana na kupingana kadri ya mleta hoja anasimamia wapi.
Kwanza wewe inaonesha hujui kitu, bali unasombwa na ulokole unaamini ndio wokovu

Biblia hiyo hiyo inasema hivi

Zaburi 119:155

WOKOVU U MBALI NA WASIO HAKI KWA MAANA HAWAJIFUNZI AMRI ZAKO


Na nyie mnaojiita walokole mnadai amri za Mungu ziliishia msalabani,

Huo wokovu wenu ni fake, wewe usijifiche kwenye kichaka cha wokovu, Chapa utapigwa tu, na chapa inakuja baada ya habari njema kuhubiriwa ulimwenguni,
 
Umenielewa vizuri nilichokiandika? Biblia iko wazi kabisa, hayo mambo ya chapa , kununua na kutokununua bila chapa itakuja baadae, na watakaokataa watapata wokovu kwa mateso makali sana.

Kwa upande wangu, bora upate wokovu wa sasa ulioletwa na Bwana Yesu Kristo, sitakya na haja ya kubashiri chapa ni kitu gani kwa sababu haitanihusu.

Maelezo mengi yanayotafsiri hili jambo yanatofautiana na kupingana kadri ya mleta hoja anasimamia wapi.
Hakuna maelezo yanayotofautiana , sema yamegusa iman yako

Unaweza kuniambia mnyama ni nani?

Na alama ya mnyama ni nani?

Muhuri wa Mungu ni upi?
 
Je alama ya mnyama ni nini? Kuna maelezo mengi yaliyotolewa na baadhi ya watu juu ya alama ya mnyama, wengine hudhani kuwa alama ya mnyama ni “chip” ya computa, au kadi, au kitu halisi kinachoweza kubebeka! Lakini Je Biblia inaelezea vipi kuhusu alama ya mnyama? Ngoja tuangalie Mungu anachokisema juu ya alama ya mnyama.

(NB: maneno “alama”, “muhuri”, “ishara” au “dalili” ni visawe).

Ufunuo 13:16-17 “Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Kwanini alama hii ni ya muhimu kuelewa? Kama ukitaka kuthibitisha kwamba kitu flani ni chako, au ukitaka kuonyesha kuwa wewe ni mmiliki wa kitu flani, au ukitaka kutia alama kitu flani kuwa chako, siku zote kutakuwa na vitu vitatu tofauti.

*. Jina lako.
*. Cheo chako.
*. Mahali unapomiliki.

Hivyo, kama raisi wa Tanzania akitaka kuthibitisha kwamba kitu flani kimetoka kwake lazima athibitishe kama hivi:

*. Jina = Jakaya M. Kikwete
*. Cheo = raisi
*. Anapomiliki = Tanzania

Kuna serikali mbinguni (Isa. 9:6), na alama au muhuri wa Mungu ni sheria yake. Angalia katikati ya amri kumi na utaona muhuri wa Mungu, “Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba;…” Kut. 20:11

JINA LAKE = BWANA (“Mimi ni BWANA; ndilo jina langu…” Isa. 42:8).CHEO CHAKE = MUUMBA (…BWANA…yeye aliyeziumba mbingu, na…nchi…” Isa. 42:5).ANAPOMILIKI = MBINGU NA NCHI (“Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA…” Zab. 24:1).

Hivyo, BWANA alipoziumba mbingu na nchi kwa siku sita, siku ya saba alipumzika ili kuweka alama au muhuri kwamba yeye ndiye aliyeziumba mbingu na nchi, kwa hiyo Sabato ni muhuri unaothibitisha kwamba BWANA:

Aliziumba mbingu na nchi.Alituumba sisi pamoja na vitu vingine vyote.Anamiliki mbingu na nchi, pamoja na vitu vyote vilivyomo.

Kwanini shetani anafanya bidii sana kuwaongoza watu wasiitambue Sabato? Ni kwa sababu shetani anataka kujifanya yeye kuwa kama muumba wa mbingu na nchi, hivyo anainaingiza alama yake ambayo ni kinyume na alama ya kweli ya Mungu. Sabato ni alama au muhuri wa Mungu, kwa hakika Mungu mwenye anathibitisha ukweli huu kwa kusema, “…Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote;…” Kut. 31:13. (Kumbuka! maneno ishara, muhuri, alama ni visawe, na yanaweza kutumika kwa kuyachanganya-changanya).

Njia rahisi na nyepesi ya kugundua alama ya mnyama, ni kutafuta kujua kwanza alama ya Mungu., harafu utaona kwamba alama ya mnyama ni kinyume na alama ya Mungu.

Ufunuo 7:2-3 “Nikaona malaika mwingine, akipanda kutoka mawio ya jua, mwenye mhuri wa Mungu aliye hai; akawapigia kelele kwa sauti kuu wale malaika wanne waliopewa kuidhuru nchi na bahari, akisema, Msiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.”

Kama tulivyoona huko nyuma kwamba muhuri na alama ni visawe! Hivyo watumwa wa Mungu wanawekwa alama katika vipaji vyao vya nyuso, kipaji cha uso hapa humaanisha akili, mawazo, au nia.

Wabrania 10:16 “Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika…”

Pia Wanafisikolojia hutuambia kuwa ubongo wa mbele wa cerebrum [paji la uso] ndipo shughuri kama uamuzi, hukumu, na uhuru wa kutaka vinapofanyikia. Hivyo, Wakristo wanawekwa alama katika vipaji vya nyuso zao, pale tu wanapomkubali Yesu kuwa Mwokozi wao na kutunza amri kumi zote kwa kuhiari, au kutaka wao wenyewe bila kulazimishwa. Hii ndiyo maana muhuri au alama ya Mungu haiwekwi mkononi, kwa sababu Yesu hatawalazimisha watu kumwabudu na kuzitii amri zake. Mkono humaanisha kulazimishwa kufanya kitu furani kinyume na nia zetu.

Jeremia 38:23 “Na watawatoa wake zako, na watoto wako wote, na kuwachukua kwa Wakaldayo; wala wewe hutapona na mikono yao, bali utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babeli, nawe utakuwa sababu ya kuteketezwa kwa mji huu.”

Yesu kamwe hatatulazimisha sisi kumwabudu, kwani anapendezwa kama tutamwabudu na kutunza sheria zake zote, kwa hiari yetu bila kulazimishwa.

Ufunuo 13:15-17 “Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Alama ya mnyama inawekwa katika kipaji cha uso na kwenye mkono. Hivyo wale wote wanaokubali kwa hiari yao wenyewe kumfuata mnyama na kutii amri zake, hawa wamewekwa alama kwenye paji la uso; maana wamehiari wao wenyewe bila kulazimishwa. Na wale wanaopokea alama kwenye mkono, ni wale watakaotii amri za mnyama kwa kulazimishwa bila ridhaa yao. Kwa hofu ya kifo na kushindwa kununua wala kuuza, wanaamua kumtii mnyama ili wasipoteze vitu walivyovifanyia juhudi nyingi katika maisha yao na hili ni bonge la kosa.

Kwa sababu tumeelewa kwamba kuamua kumkubali Yesu kama Mwokozi wetu na kutunza mafundisho na amri zake zote, ni sawa na kupokea alama au muhuri wa Mungu. Tunatakiwa pia tuelewe kuwa kukubali amri, mafundisho, au mapokeo ya kanisa la Romani Katoliki au kanisa lingine lolote linalofuata imani ile ile na kufundisha mapokeo yake, inamaanisha tumepokea alama ya mnyama. Pia elewa kuwa kutakuwa na wengine ambao sio Wakatoliki lakini wanafanya kila kitu ambacho mnyama anaamru kwa kuogopa kufa, au kupoteza mahitaji ya kawaida kwa kuzuiliwa kuuza wala kununua, kitu ambacho kitapelekea kukubali kufuata matakwa ya mnyama. Hawa watapokea alama ya mnyama kwenye mkono kwa sababu wamelazimishwa kinyume na matakwa yao. Wakatoliki na Wakristo wengine ambao hukubali haya “mafundisho ya wanadamu” watakuwa wamepokea alama ya mnyama kwenye vipaji vya nyuso zao kwa sababu wamekubali kwa hiari kuwa kanisa lao liko sawa kwa kubadili maandiko na kuingiza “mapokeo” au “mafundisho ya wanadamu.” Na hii ilionywa katika unabii.

Wakolosai 2:8 “Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.”

Hivyo, kama ukipokea “alama” kwa kuchagua mwenyewe, hii inamaanisha umewekwa alama kwenye kipaji cha uso. Na kama ukipokea “alama” kwa kulazimisha, hii inamaanisha umewekwa alama kenye mkono wa kulia. Lakini kumbuka.

Mathayo 16:25 “Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.”

Mathayo 10:39 “Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili. Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.”

Yohana 12:25 “Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.”

Tukirudi kwenye alama ya mnyama kanisa la Romani Katoliki bila ya kutambua linatimiza unabii huu kwa maelezo yafuatayo.

“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –-H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons

“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” -–Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.

Kama unabii uko sawa unaposema jumapili ni alama ya mnyama, na Mungu anasema wazi wazi.

Kutoka 31:13 “…Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.”

Ezekieli 20:12, 20 “Tena naliwapa sabato zangu, ziwe ishara kati ya mimi na wao, wapate kujua yakuwa mimi, BWANA, ndimi niwatakasaye…zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua yakuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.”

Maneno ishara, muhuri, na alama ni visawe, na yanaweza kutumika popote kwa kuyabadilisha-badilisha.

Hivyo, tuna uhakika wa ukweli wa Biblia kwamba Sabato ni ishara, muhuri, au alama ya Mungu. Na jumapili ni ishara, muhuri, au alama ya mnyama.

View attachment 920036
Umehama Topic na kuingia kusikojulikana

Alama ya mnyama

Sabato ndio mhuri
Tuchague lipi sasa
 
Siku kanisa katoliki likiamru hayo uliyoyaandika nitaamini ulichoandika,lkn kwa sababu sijaona uwepo wa mambo uliyoyaandika ,siwezi kuamini kabisa maana chuki ya wasabato kwa kanisa hili katoliki imejaa kibubu...
Acheni chuki zisizo na msingi na badala yake mjikite ktk kupeleka roho za watu mbinguni.
 
Jikite kwenye Sura inayohusu mnyama ufunuo 13 ,ujibu maswali kwanza ,tujue hata maana ya mnyama unaelewa maana yake?

Vichwa 7 unaelewa maana yake? Kabla hujatudanganya et mnyama ni uislamu

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Hiyo Aya uislamu unahusikaje? Ukijibu nitaamini wewe unajua, lasivyo itakuwa unaleta ngonjera


Kindly read the book below.
 

Attachments

Back
Top Bottom