THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,357
- 12,849
Dah Hapa ndo nimeamini kuwa upeo wako ni mdogo Sana wa kufkiri (Samahni sana kwa kukwambia hilo)
Katika maelezo uliyoya 'Quote' umeona kuna Neno Allah au kuna neno Uislamu umeona nimeeleza kuhusu uhusiano wa uislamu na ukristo..
Sasa nimeanza kugundua ni mtu wa aina gani naongea naye kifupi mkuu hujui lolote na ingependeza mbele za watu kama hapa unyamaze tu kwa sababu kuna muda unajiabisha wewe pamoja na wazazi wako!
Point of correction Uislamu umekuja Duniani Mwaka 622..
Ukristo ulikuja Duniani mwaka 116-118 kipindi cha utawala wa kaisari Trajan..
Kwahiyo uislamu ulikuja duniani Miaka 500 baada ya ukristo..
Hata hivyo kwa afrika na afrika mashariki ni tofauti..
Uislamu ulikuja mwaka 710 kipindi cha utawala wa ukoo wa Ban Abbasi kwa lengo la kufanya biashara ikiwemo biashara ya utumwa..
Huku ukristo umeanza kuja miaka ya 1800s na Missionary wa kikoloni...
Kwahyo kwa Afrika na afrika mashariki uislamu ni mkongwe kuliko ukristo kwa takribani miaka 1100
Mkuu Uislam haukuja kwa mgongo wa biashara ya UTUMWA,may be useme waarabu..kwa sababu waarabu wamekuwa na biashara ya utumwa hata huko kwao kabla hata ya uislam kufika na kusambaa..
MIONGONI MWA MASHARTI YA UISLAM WAKATI UNASHIKA HATAMU MIAKA HIYO NI KUWAACHIA HURU WATUMWA,INAWEZA VIPI KUWA NI DINI YA HAKI KISHA ITOE SUPPORT KWENYE BIASHARA YA WATUMWA??
WAARABU WALIOLETA DINI NA WAARABU WALIOAMINI KATIKA BIASHARA YA UTUMWA NI VITU VIWILI TOFAUTI.KUMBUKA KUWA MUARABU SIYO KUWA MUISLAM,UISLM MAANA YAKE NI KUJISALIMISHA MOJA KWA MOJA KWENYE SHAERIA ZA MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI KWA KUFUATA MAAMRISHO YAKE NA KUACHA MAKATAZO YAKE.