Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Salaam Wakuu.
Napenda kushare nanyi wakuu wa jukwaa hili kuhusu Ibara moja wapo ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanania ya mwaka 1977.
Ukisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 42(3)(a) inasomeka hivi-
(3) Mtu aliyechaguliwa kuwa Rais atashika kiti cha Rais hadi-
(a)siku ambapo mtu atakayemfuatia katika kushika kiti hicho atakula kiapo cha Rais; au.
Hii maana yake ni kuwa wakati huu wa kampeniza Uchaguzi mkuu bado Mgombea wa Urais kupitia CCM bado ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivo anapoenda kwenye kampeni anakuwa na makoti mawili anaenda kama mgombea hapo hapo anaenda kama Rais wa Jamhuri na ata ulinzi wake unakuwa vivyo hivy ambapo ni tofauti na wagombea wengine na tulisoma kwenye somo la uraia kuwa kiashiria kimoja wapo cha uchaguzi wa huru na haki ni usawa kwa wagombea.
Ninapendekeza kufanyiwa marekebisho katika ibara hiyo ya 42(3)(a) na itamke kuwa Ukomo wa Urais ni pale tunapoingia katika kampeni na madaraka ya Rais yata kaimiwa na Jaji Mkuu au mtu mwingine ambae ataonekana kufaa.
Wapinzani mlishindwa kweli kuliona ili? halihitaji tume huru..
Napenda kushare nanyi wakuu wa jukwaa hili kuhusu Ibara moja wapo ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanania ya mwaka 1977.
Ukisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 42(3)(a) inasomeka hivi-
(3) Mtu aliyechaguliwa kuwa Rais atashika kiti cha Rais hadi-
(a)siku ambapo mtu atakayemfuatia katika kushika kiti hicho atakula kiapo cha Rais; au.
Hii maana yake ni kuwa wakati huu wa kampeniza Uchaguzi mkuu bado Mgombea wa Urais kupitia CCM bado ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivo anapoenda kwenye kampeni anakuwa na makoti mawili anaenda kama mgombea hapo hapo anaenda kama Rais wa Jamhuri na ata ulinzi wake unakuwa vivyo hivy ambapo ni tofauti na wagombea wengine na tulisoma kwenye somo la uraia kuwa kiashiria kimoja wapo cha uchaguzi wa huru na haki ni usawa kwa wagombea.
Ninapendekeza kufanyiwa marekebisho katika ibara hiyo ya 42(3)(a) na itamke kuwa Ukomo wa Urais ni pale tunapoingia katika kampeni na madaraka ya Rais yata kaimiwa na Jaji Mkuu au mtu mwingine ambae ataonekana kufaa.
Wapinzani mlishindwa kweli kuliona ili? halihitaji tume huru..