Ukomo wa Miaka 10 urais ni miaka michache jamani

1573792553397.jpeg
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
Tatizo la nchi yetu, na wewe unalo, nchi haina mipango, mipango yote ni ya raisi. Ni makosa makubwa.
Raisi anapaswa kusimamia mipango ya nchi ambapo miaka 4 yatosha kabisa kupima uwezo wake na kama hatoshi anaondoka, akitosha anapewa mingine ikiisha anachukua mtu mwingine.
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
Napendekeza muhula mmoja wa miaka 10
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
Kwa nini leo ionekane miaka 10 haitoshi kwa Rais kutekeleza ilani ya chama chake baada ya Marais watatu kila mmoja kufanya hivyo? Hii ni Serkali ya Awamu ya tano ikiongozwa na chama hichohicho kwa nini unafiri huyu Rais anahitaji muda zaidi kutekeleza wajibu wake kama alivyoomba na kwa mujibu wa Katiba? Unataka kutuaminisha kuwa huyu ni dhaifu sana una wasiwasi hataweza kusimamia ilani ya chama chako? Marekani kwa miaka 300 sasa wamekuwa na mihula miwili ya miaka 4 kila mhula wakitekeleza ilani ya vyama tofautitofauti. Kwa huyu mimi naona miaka 5 tosha kabisa maana maneno mengi vitendo kiduchu.
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
Wekeni 100 itapendeza zaidi.
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
Kwani yeye tu ndio mwenye uwezo? Una uhakika gani kwamba tabia ya mwanasiasa ya Leo ndio hiyo hiyo baada ya miaka mi3? Unaona tabia ya wanasiasa hao hao wakati wa 4T ni sawa na hao hao wakati huu wa 5T?
Hakuna mtu alieko kwa ajili ya wengine. Kila mtu yupo kwa maslahi yake ya hali na Mali.
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
pumbavu huna lolote we kibudu
 
Walamba viatu at work again. Point zakonni very weak. Kuna nchi rais ana ukomo wa miaka minne kwa muhula.. lakin ona maendeleo yao.

It all about dira ya kitaifa.. sio ukomo wa madaraka
Wenye akili kubwa kama wewe tuko wachache. Miaka kumi ni michache kwa wale wenye teuzi na ndio hao hupiga debe tuondoe ukomo wa miaka 10 ila wakitumbuliwaga akili zinawarudia.
Na mimi nasema mfumo mzuri na dira ya taifa ndiyo hufanya taifa liendelee
 
Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi

Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano

Maoni yangu tu
watu wenye akili ndogo kama wewe ndo wanaifanya hii nchi iendelee kuwa moja ya nchi masikini sana duniani!!inasikitisha sana kwa nini tunakuwa na watu hawana akili kiasi hiki kama nchi!!?ila watawala ndo wanawapenda watu kama nyinyi msio na akili!ili wawatawale vizuri!!
 
Back
Top Bottom