Walamba viatu at work again. Point zakonni very weak. Kuna nchi rais ana ukomo wa miaka minne kwa muhula.. lakin ona maendeleo yao.
It all about dira ya kitaifa.. sio ukomo wa madaraka
UmetumwaMiaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi
Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano
Maoni yangu tu
Muhula mmoja wa miaka mitano ni mingi mnoo.
Imagine Jiwe ana potential ya additional 6 more years. Kwa trend ya sasa na speed hii ya kuwacharaza wazee wa Chama na kuweka puppets, si ajabu wakafanikiwa kuforce aongezewe muda. It is simple. Muswada unakwenda Bungeni na akina Kibajaji/Msukuma wanaupitisha kwa kura za kutosha sanaingekua mitatu kwa kweli,manake kama huyu wa sasa tunasubiri avurunde Zaidi,ukifikiria mpaka miaka kumi ipite naumwa kichwa..
Mawazo yako hayana tija pendekeza ufalme na umalikia iwe mileleMiaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi
Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano
Maoni yangu tu
Marekani wana marais wazuri tu lakini ni miaka minne minne na wameweza kutimiza yale waliyoyapigia kampeni HAPA MIAKA MI5 LAKINI MALENGO MENGI HAYATIMII SEMBUSE HIYO MIHULA MI 3 kwanza ni against katiba na DEMOKRASIA.Miaka 10 kwa Rais kwa kweli ni michache kwa Rais aliekuwa na mipango mizuri na dhabiti ya kukamilisha pamoja na kuibadili nchi
Napendekeza walau mihula mitatu ya miaka mitano mitano au mihula minne hivi ya miaka mitano mitano
Maoni yangu tu