Uko wapi W.J.Malecela?

Uko wapi W.J.Malecela?

WJ malechela kwenye JF politics. forum amabayo inakuwa moderated . Ni Diwani au mwenyekiti wa mtaa wa wapi huyu?

Huyu ni mwanahisa mkuu wa JF kama kampuni............na kama member ni mbishi sana...pamoja na FMES
 
Mzee wa meli,baharia.mzee wa the Datazi.kumpiga nyani gilian,mchana kweupe.bwah bwah bwah.Mukulu nimemiss michango yako
 
Nilishawahi ku mp Field Marshall ES,ila hakujibu,nilimwoba arudi humu,nasikia yeye ndiye William,i am not sure.But i regarded FMES as my JF compatriote and a friend.
 
Nilishawahi ku mp Field Marshall ES,ila hakujibu,nilimwoba arudi humu,nasikia yeye ndiye William,i am not sure.But i regarded FMES as my JF compatriote and a friend.
Relating one ID with another is 'Name Calling' and according to our JF rules - that is completely unacceptable.
This link here below will guide you on what you should or shouldnt post in JF.
https://www.jamiiforums.com/complaint...ums-rules.html

And please; no one is going to give you any explanation on any user ID here on JF, keep that in mind.
 
Relating one ID with another is 'Name Calling' and according to our JF rules - that is completely unacceptable.
This link here below will guide you on what you should or shouldnt post in JF.
https://www.jamiiforums.com/complaint...ums-rules.html

And please; no one is going to give you any explanation on any user ID here on JF, keep that in mind.

Aisee Rejao punde utaukwaa u MOD.......kama wale jury wa America
 
Huyu ni mwanahisa mkuu wa JF kama kampuni............na kama member ni mbishi sana...pamoja na FMES

Na myaka a huyo jamaa @ NY city na siasa zake zenye utata. Amekuwa anaonekana ni CCM mtaka mabadiliko. Lakini aliwai kuulizwa angekutana na JK. JK akamuuliza anamshauri nini akifanye ili CCM ilirudi kwenye mstari. Akajibu akasema atamwmabia JK tatizo la tanzania ni SHERIA.

Basi nikamwambia @ Newyork City Watu waliomzunguka JK hawana tofauti na yeye.


Ukichanganya ile issue ya utabiri wa chenge na ile watu wasio na huruma walivyoshambulia alivyowasilisha habari za maendeleo ya afya ya Mzee S . Malechela allivyokuwa US hata ningekuwa mm ingebidi nipumzike
 

Na myaka a huyo jamaa @ NY city na siasa zake zenye utata. Amekuwa anaonekana ni CCM mtaka mabadiliko. Lakini aliwai kuulizwa angekutana na JK. JK akamuuliza anamshauri nini akifanye ili CCM ilirudi kwenye mstari. Akajibu akasema atamwmabia JK tatizo la tanzania ni SHERIA.

Basi nikamwambia @ Newyork City Watu waliomzunguka JK hawana tofauti na yeye.


Ukichanganya ile issue ya utabiri wa chenge na ile watu wasio na huruma walivyoshambulia alivyowasilisha habari za maendeleo ya afya ya Mzee S . Malechela allivyokuwa US hata ningekuwa mm ingebidi nipumzike

Ina maana amesusa?
 
Mzee wa meli,baharia.mzee wa the Datazi.kumpiga nyani gilian,mchana kweupe.bwah bwah bwah.Mukulu nimemiss michango yako

Hapo kwenye nyekundu duh! Hiyo bwa ni kitendo au ni kitu flani vile?
 
alidhani kuwa NY ni security tosha ya upuuzi wake............ yuko uchi sasa@NY, adabu imejaa kibaba
 
Mabadiliko yamemfanya abadili mengi ikiwemo jina lake alilozoea kutumia hapa, ingawa tunavyojadili naye yume ila bado wajanja wanampambanua na kumsababishia abadili majina hapa kama kanga zinazouzwa kariakoo.
 
Back
Top Bottom