Uko wapi.....Nikufate

Uko wapi.....Nikufate

Me namtafuta Munkari popote alipo salamu zangu zimfikie na mwambieni namtafuta sana.
 
Last edited by a moderator:
Namtafuta catherin umepotelea wap best! Nilipta kwenu haus ger wako akanipa namba yako napga weee but where...,kuja bana..
 
Mwanangu mwenyewe SamLove uko wapi kimya kingi sana
 
Last edited by a moderator:
Thread hii mtafute member yoyote wa Jf aliepotea na umemiss

mie naanza kwa kumtafuta BAK mara ya mwisho nilimuona akielekea
Angaza hadi leo amekua kimya sana

ujumbe: Milima haikutani binadam hukutana

mi nakutafuta wewe toke juzi.

todas yo puede no agradable i'm sesión española
 
Last edited by a moderator:
Namtafuta my husband....tangu aondoke hadi leo hajarejea
bustani inahitaji umwagiliaji maana ukame wakausha mazao

dedication when I need you by Celine Dion

Hivi anaitwa nan tena make na jina nshamsahau ati
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom