Uko vipi na mama mkwe wako?

Sijawahi ona hii, dunia haiishiwi vioja aisee.

Nyie ndo kila weekend mpo ukweni kupiga story.

Story za mkwe unazipata kwa mwenza wako, hata ukienda ukweni hutakiwi kuonana na mkweo mara kwa mara labda kwa sababu maalum.

Mnaonana au mzoeane kuongea nini? Awe huru ili akwambie nini? Kama ana shida atamwambia mwenza wako yeye ndo atapima akwambie wewe au asolve mwenyewe.
 
Unahitaji urafiki na mama mkwe ili iweje? Unataka uchungulie mapaja yake? Vijana wa siku hizi mna shida kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio maana huruhusiwi kuwa unaonana naye mara kwa mara kuna ukuta mkubwa sana kati yenu.

inafaa hata akuone mara moja kila baada ya miaka 3😅😅.
 
Mi nilienda na KULGER V ukweni tena sio mke ni dem wangu tu dah yani siludii tena kwenda na gari ukweni
 
We zombie🎵🎶
 
yaani binti yake ni mshikaji wako unataka hata mama yake kusiwe mpaka awe mshikaji wako? Hauko sawa kichwani.
 
Mimi limama mkwe langu likikaa vibaya barabarani napiga tairi....tunazika.
 
Kila ninapohisi hali hiyo ya kuninyenyekea, mimi naweke mambo sawa lakini mama mkwe anashindwa kusoma nyakati.
Kwa hiyo kwa akili zako, unadhani wewe unaelewa sana haya mambo kuliko mama mkwe wako?

Ndio maana vijana wengi ndoa zinawawia ngumu, hamjui mipaka yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…