Uko tayari kumsaidia Mh. John Komba?

Uko tayari kumsaidia Mh. John Komba?

Makamee

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
2,029
Reaction score
1,201
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
 
asubiri 2015 litaisha lenyewe,asijisumbu kutumia madawa.
 
anajua hatakama una qwertykey keyboard kweli zaidi ya kujua ♀ na ♬♬♬!
Kama nakumbuka vizuri walipewa tablet bungeni - jee watakuwa hawakufundishwa kuzitumia? Ila hayo uliyoyataja pengine hummalizia muda wote wa ziada!
 
mazoezi muhimu...
tumblr_my6fzikTwo1qi9al2o1_500.jpg
 
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo

apunguze ama aache kabisa kulala bungeni,ajishughulishe kwa kusikiliza na kuchangia ktk hoja mbalimbali zinazotolewa... Hilo litamsaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza unene
 
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo

Amtafuta yule jamaa sijui Hasani wa maswala ya urembo na fshion show.
 
Amtafute Mustapha hassanari nadhani itakuwa practical zaidi atamsaidia
 
Back
Top Bottom