bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Komba kile sio kitambi ni mavi tu kwenye utumbo mkubwa yaani large intestine. ale roughage na maji mengi siku tano mfululizo utaniambia
Komba kile sio kitambi ni mavi tu kwenye utumbo mkubwa yaani large intestine. ale roughage na maji mengi siku tano mfululizo utaniambia
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
Aache kunywa pombe na kufuga mzuzu unammalizia hewa vinginevyo akajiunge na the wyatt family
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Unene ni dalili ya ulafi na utapiamlo, nchini Uingereza ni moja ya vigezo vya wewe kunyimwa kazi, kama wewe ni bonge nyanya anza mazoezi sasa ya kupunguza manyama uzembe. usichukie bure huo ndio ukweli, mtoto wangu kwa taarifa yako ana figure kama ya Kagame.
ka we ni mnene nitafute ndo utajua nawezaje
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
mi bonge zaidi ya komba
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
. Dah!! Na hz pia anazipenda basi atakua na laana ya kuziona na kuziny*ny# papuchi za under 18Laana ya kunjunji na vi under 18 ndiyo inayosababisha unene wa ajabuajabu
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
Komba kile sio kitambi ni mavi tu kwenye utumbo mkubwa yaani large intestine. ale roughage na maji mengi siku tano mfululizo utaniambia
Tatizo huku kwetu Bongo mtu ukinenepa wenzio wanakusifia na kukuambia mambo yako safi.