Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Yeah! For sure ilikuwa ajabu alivopungua wkt alikuwa mnene kuliko hata mzee wa matarumbetayule jamaa siku namuona nikajua labda ni mdogo wake alivyokuwa amepungua
Yeah! For sure ilikuwa ajabu alivopungua wkt alikuwa mnene kuliko hata mzee wa matarumbetayule jamaa siku namuona nikajua labda ni mdogo wake alivyokuwa amepungua
Yeah! For sure ilikuwa ajabu alivopungua wkt alikuwa mnene kuliko hata mzee wa matarumbeta
yule jamaa siku namuona nikajua labda ni mdogo wake alivyokuwa amepungua
Unatafuta ugomvi na Lulu..!?
Amtafute Mustapha hassanari nadhani itakuwa practical zaidi atamsaidia
Amtafute Mustapha hassanari nadhani itakuwa practical zaidi atamsaidia
Amtafute Mustapha hassanari nadhani itakuwa practical zaidi atamsaidia
Yule ni mjeshi mwenye cheo cha capten! Shangaa mwenyewe!
Kupungua uzito ni kitu raisi sana aende benk yoyote akakope mkopo unaozidi mali zake ataona matokeo.
Nakutafuta sana boss, nina shauri nataka kulileta kwako, umeadimika sana
Nipo mama.... baade ntakuwepo "uwanja wa nyumbani" tuonane huko.
Amuone Maxence Melo anayelala masaa mawili tu atampa siri ya wembamba.
Jitu lolote lilafi fisadi lisilotumia akili nyingi lisitegemee kuwa na sex body. miili ya kilafi ni adhabu kutoka kwa Mungu.