Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
kuwa mnene ni jambo moja..kuupunguza huo unene ushafikiria
Nakupa nafasi uje unipunguze
Ukepteni wa kuimba sio sawa na wa kusotea kijeshi!Yule ni mjeshi mwenye cheo cha capten! Shangaa mwenyewe!
Mimi simo!Huo ndo ujinga wa watanzania
Kule Uswizi watu wa aina ya Komba hawaruhusiwi na kama ni mgeni unafukuzwa urudi kwenu na minyama uzembe yakoUnene ni dalili ya ulafi na utapiamlo, nchini Uingereza ni moja ya vigezo vya wewe kunyimwa kazi, kama wewe ni bonge nyanya anza mazoezi sasa ya kupunguza manyama uzembe. usichukie bure huo ndio ukweli, mtoto wangu kwa taarifa yako ana figure kama ya Kagame.
BEFORE...
![]()
![]()
![]()
AFTER...
![]()
![]()
Huyu hawezi kuiona penis yake mpaka atumie kioo kwasababu akiinama tumbo linafunikamazoezi muhimu...
![]()
Nimemsikia leo akihojiwa na radio Dw Mh,JOHN KOMBA amekiri unene unamsumbua na ameahidi kama kuna mtu atamsaidia kua mwembamba atakua rafiki yake daima.
Wadau fursa hiyo
Poa...... kwa kuniruhusu tu nusu ya tatizo lishasolvika
Haya leo week end lazima tuanze na supu ya mkia