Ukizeeka unataka kuwa nani?

Ukizeeka unataka kuwa nani?

🤣🤣🤣Yaan tabu tupu aisee...ila siyo kama vya ujanani sahivi nimejizeekea Kasi yake ni ndogo...vile ilikuwa ni mihemko hadi unachanganyika...majukumu now kedee🙌
Unajichukulia sheria tu...
 
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Hakuna ku retire
 
Ikiwa ni maajaliwa nitapofika basi nizungukwe na afya njema, pili rasilimali vitu, mifugo hasa ng'ombe kadhaa tuu, mbuzi,. Migomba muhimu aseeh Tena sana.....

Niwe mganga wa kienyeji Hawa vijana wa sasa watakosa mganga wa kienyeji 😂
 
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Miaka 47 tayari nashinda kwenye l Banda la kuku na Nina kuku hata 30 hawajifika. Muda wangu wa ziada nashinda nao
 
Back
Top Bottom