Ukizeeka unataka kuwa nani?

Ukizeeka unataka kuwa nani?

Natamani niwe mpole no story za ujinga na watu yaani nakuwa mpole na mshauri wa mambo ya kijamii kwa watu wataokuwa wanakuja kuniambia mambo yao .

Ila sasa nawaza kuwa je nitaweza maana hapa nilipo naitwa Google na wanakijiji maana hakuna nisilolijua na pia kwenye kundi la wengi mimi ndiye nakuwa kinara wa maongezi ukweli uongo humo humo kikubwa niwe main speaker .

Nisaidiwe ikiwa kuna namna ya kuwa mpole hapo badaye ili niwe nimeziishi ndoto zangu
 
Nataka kuwa mzee wa mjini yaani....nahakikisha uzeeni nakuwa na mishe mishe kama Koffi Olomide ila cha msingi niwe na hela tu za kutimiza mahitaji yangu sio kuomba omba ndugu.
Ila angalia usije ukawa mende🙌🏿😂
 
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)

Mshauri Baraza la Wazee.
 
Just imagine. Mbele ya mimbari ya kanzu yangu nyeupe pe! Kama roho Yangu💗✌🏿Hallellujah❗💥💥💥
Naanini kabisa utakuwa ukitenda miujiza ya kishirikina, na sie waswahili tunavyopenda miujuza sasa. Nitakuwepo karibu yako kuwa msimamizi wa sadaka
 
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Nataka kuwa mzee
 
Back
Top Bottom