Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,040
Haha maisha haya hayama formula. - watu wanaenda na upepoJamaa yangu at 60 kaanza kazi ya uganga😂
Haha maisha haya hayama formula. - watu wanaenda na upepoJamaa yangu at 60 kaanza kazi ya uganga😂
Sawa nikiwa na umri huo nataka niwe nasimamia maabara yangu lakini mda mwingi ntakua natembelea mbuga za wanyama na vivutio vya utalii
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Kupitia chama cha siasa?
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 idadi ya wazee Tanganyika na zanzibari watu wenye miaka 60 ni asilimia 5 ya watu wote.Sure.. Zamani vijana ndio walikuwa wanakifuata kifo siku hizi kifo ndio kinawafuata
Naanini kabisa utakuwa ukitenda miujiza ya kishirikina, na sie waswahili tunavyopenda miujuza sasa. Nitakuwepo karibu yako kuwa msimamizi wa sadakaJust imagine. Mbele ya mimbari ya kanzu yangu nyeupe pe! Kama roho Yangu💗✌🏿Hallellujah❗💥💥💥
Nataka kuwa mzeeUjana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Kwahiyo pole pole , Jay z ,P Didy wanaweza kuitwa wazee mkuu
😁😁😁Naanini kabisa utakuwa ukitenda miujiza ya kishirikina, na sie waswahili tunavyopenda miujuza sasa. Nitakuwepo karibu yako kuwa msimamizi wa sadaka