Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,398
- 6,915
KumbeJua limeshazama, Karibu Uzeeni Mkuu
KumbeJua limeshazama, Karibu Uzeeni Mkuu
Hahahaha😂😂View attachment 3423538Wakati wengine wanawaza uzee wao utakuwaje, “Mzee mimi👨🏽🦳🤣🙌🏻
Few people around me, more resourses to support me💪🏿💪🏿kwakwel toka niwe alone, kipaumbele changu namba 1 ni afya yangu. Zoezi kali , maji mengi na kupumzika vya kutosha.
Nimeanza ku prepare my retirement life from now. Mungu akinijaalia uzima, natamani kuja kuishi nikiufurahia uzee wangu.very Few people around me, more resourses to support me.
Hahahaha😀😀😀😀 nimecheka mno! Ila nimefurahi maana wanakujali.. Vile vimiminika hukukojoa bure.. Vimeleta faida😂Aisee,mimi nilipanga nikizeeka niwe mpishi,na hasa niwe baba ntilie,nilijaribu kama mara 3 hivi,nikakodi eneo nikaweka vifaa vyote,nikaajiri watu 2,watoto wangu hawakupenda.Siku moja wakanilia njama,nilitoka kurudi nyumbani,wakamtuma kijana mmoja walimlipa pesa,akaenda hapo wakaitwa hao wafanyakazi wote wakalipwa mishahara ya miezi 6,akabeba kila kitu kwenye kenta na akarudisha eneo kwa mwenyewe,ile saa 1 usiku naenda najua biashara imechanganya nakuta hola,namkuta huyo kijana,akaniambia baba nimetumwa na wanao nipafunge na kila kitu nimelipa na vifaa vyote vipo kwenye gari nielekeze nivipeleke wapi.Niliduwaa,kwakuwa yeye katumwa na pia namjua maana amekua na wanangu nilimwambie avipeleke nyumbani.Nilikaa kimya,basi kesho yake first born wangu akanipigia na kusema baba tulia nyumbani,timekuandalia bajeti yako kila mwezi utapata matumizi,nikasema sawa.Sasa nafanya kibustani kidogo hapa nyumbani
we nae,nilipambana sana kuwasomeshaHahahaha😀😀😀😀 nimecheka mno! Ila nimefurahi maana wanakujali.. Vile vimiminika hukukojoa bure.. Vimeleta faida😂
😂😂😂😂😂 YAKUZ YAVUZ YAKUZ YAVUZRich granny, just chasing kina Poor Brain
Kwelikwakwel toka niwe alone, kipaumbele changu namba 1 ni afya yangu. Zoezi kali , maji mengi na kupumzika vya kutosha.
Nimeanza ku prepare my retirement life from now. Mungu akinijaalia uzima, natamani kuja kuishi nikiufurahia uzee wangu.very Few people around me, more resourses to support me.
Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Nafikiri ujana wako utengeneze vzr hasa kwenye vyakula Ili ukijazeeka magonjwa ya siku andante.Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Dah! Saa 11 jioniSunset just around the corner..
Rich granny, just chasing kina Poor Brain
Kuwa pastor uzeeni ni matumizi mabaya ya nguvu na akili ulizopewa na Mungu.Ujana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
60 yearsKwani huo uzee unafika mtu akiwa na umri gani
Watu wazima(makamu)Kwahiyo pole pole , Jay z ,P Didy wanaweza kuitwa wazee mkuu
Mimi naona MTU akifika miaka 60 Ila 50-59 hawa wapo katikati sio vijana wala wazee.