DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Mm nataka nikiingia uzee niwe Mshauri ili niwape experience mbalimbali za maisha hawa Gen Z
Uzee ni 65+ kama sie.
Kijana wa miaka 55 hawezi kujiita Mzee. Hata serikali haitaki wazee kazini ndo maana tunastaafu tukifika 65Pengine uko sahihi
Sawaaa Mzee MshanaPambana utimize ndoto zako.. Maombi pia usiache
Playing pc games and enjoying kodi za nyumba tu ...and writing tuUjana unasemwa ni maji ya moto.. Hivyo harakati ni nyingi na ndoto ni nyingi na mipango ni mingi pia.. Lakini taratibu umri unavyosogea vyote hivyo hupungua na hatimaye kwisha kabisa..
Kuna mambo ya kufanya ujanani ambayo mtu hapaswi kufanya uzeeni
Uzee una mengi yasiyopo ujanani na ndio maana wanasema fainali uzeeni
Ila kama kuna mambo hukuyafanya ujanani kina uwezekano mkubwa ukayafanya uzeeni
Kumbuka wahuni pia huzeeka.. Na baadhi huzeeka na uhuni wao... Na ni rahisi kuwa mwanga uzeeni kuliko ujanani kwasababu ya upweke
Mimi nikizeeka nataka niwe pastor.. Vipi kuhusu wewe... ( kama utazeeka lakini😂)
Basi Bado nipo nipo sana. 16 years kufika 55
Wewe kama mimi.Schwarzenegger
Pole pole yupo 55 yrs Ila Kama Ana 40 hiviWewe kama mimi.
Katika vitu sitaki ni suala la kuja kuzeeka kizembe zembe. I wish nizeeke nikiwa steel, chuma kama chuma.
NB
ya mungu mengi
Aahh umenigusa pabaya ulivyomtaja huyu Manengelo a.k.a Mbitiyanza!!manengelo chamdeko hajambo lakini?