Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,843
- 3,379
Tanzania watu wanaoshi kwemye comfort zone huo ndo ukweli ukitembea ndo utaelewa watu wako kwenye comfort zone
Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu
Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza
Real hustling ipo joburg
Kwanza ina gdp ya usd billion 130+ huku Tanzania ikiwa na gdp ya billion 80+
Unavyoambiwa joburg kuna hustling ya maana uwe unaelewa nini namaisha,
changamoto kubwa ya joburg ni mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu
Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi
Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu
Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza
Real hustling ipo joburg
Kwanza ina gdp ya usd billion 130+ huku Tanzania ikiwa na gdp ya billion 80+
Unavyoambiwa joburg kuna hustling ya maana uwe unaelewa nini namaisha,
changamoto kubwa ya joburg ni mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu
Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi
Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg