Nilipata kutembelea bonde la Kilombero(Ifakara) wakati fulani. Wakati wa msimu wa kilimo,kuna uhitaji mkubwa sana wa matrekta. Unakuta mtu mmoja ana oda ya kazi mpaka anachemsha. Yaani trekta linafanya kazi sana, wakulima wanalipa in-advance ili wapate huduma. Ukimaliza kulima trekta linageuka basi wakati wa masika, kumbuka huko mvua ni nyingi, kwa hiyo barabara hazipitiki.
Wakati wa mavuno, trekta linakuwa lori, kuna vijiji vina matatizo makubwa ya usafirishaji mazao. Jamani fursa za biashara ni nyingi mno.
Wakati wa mavuno, trekta linakuwa lori, kuna vijiji vina matatizo makubwa ya usafirishaji mazao. Jamani fursa za biashara ni nyingi mno.