Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,174
- 26,913
Katika mikoa ya bara tanga Ni ya mwisho mwisho kabisa hukoNdo maana Tanga inaongoza kwa maambukizi ya ukimwi
Katika mikoa ya bara tanga Ni ya mwisho mwisho kabisa hukoNdo maana Tanga inaongoza kwa maambukizi ya ukimwi
Kimwili vs Kiuhalisia?Ulikuwa Tanga kimwili tu Ila sio kiuhalisia![]()
Hamna kitu. Njoo Singida aka Singapore.Tanga kuzuri sana...
Singida hakuna Ngisi mkuu...Hamna kitu. Njoo Singida aka Singapore.
Hahahahah Tanga maisha simpo sanatanga ni mji w ajabu sana...kwa mimi nilietoka mji wa kibabe arachuga huwa naishangaa sana tanga.kuna siku kipindi cha nyuma sana nililala night moja pale tanga beach resort nilishangaa sana kuona hotel kubwa ya nyota kama ile swimming pool zake wanaoga machokoraa na masoro!!nilistaajab sna na nikaishusha cheoo ile hotel.kingine tanga mjini baskeli nyingi mi sijawahi kuona jiji lina mabaskeli vile.asubuhi asubuhii ili ujue kumekucha unaskiaa UWONOOO UWONOOO.watoto hao wa kiarabu unasema ni choka mbaya wanadanga kwa waswahili wa bara tuu.mtu wa bara ukienda kule kwa kaz zako na uhakika wa pesa unao unafungiwa ndani na utawala nyumba nzima hadi mamamkwe
Kumbe mpaka upate booster?Singida hakuna Ngisi mkuu...
Singida vumbi tu na ukameHamna kitu. Njoo Singida aka Singapore.
La casa chica saivi magofuHalafu kumbe La Cassa walishafungaga! 2002 tumekula Sana mademu pale
Dubai je? Acha kukremuSingida vumbi tu na ukame
Maji yenyewe ya tabu
Tanga Beach Resort pia nilienda sema kule mademu matawi sana hawanaga shobo na sisi madereva wa fusoLa casa chica saivi magofu
Siku ingine uwe unaenda hapo hapo chichi kwenye zile lounge za kisasa
Tanga Beach Resort pia nilienda sema kule mademu matawi sana hawanaga shobo na sisi madereva wa fuso




Aisee huku ndio wadigo wamejazana sana Ni barabara ya kwenda pangani mwisho mwisho was mjijamani kuna sehemu nasikia panaitwa mwakizaro story za huko zikoje kwa wadada yaani warembo
kuanzia 35000 full AC na breakfastMtendele room ngapi boss pale
Safi sanakuanzia 35000 full AC na breakfast
vipi una uzoefu nayo hiyo mijini?na mi jini mahaba kibao
raha yake nini?Siku ya kwanza nimefika Tanga, sikubeba mswaki wala dawa, nikiamini nitanunua hukohuko, kilichonitokea ni kuwa, sikusugua meno mpaka saa tano kasoro as niliamka asubuhi kutafuta bila mafanikio. Maduka yalikuwa yamefungwa.
Ila, Tanga raha.
Cc: PakaJimmy Smile Preta Mzee wa Rula & co
Tupe mrejesho kunani ukoDah huu uzi umenikost Jana baada ya kuuona na mimi niko tanga nikajaribu kwa mdada mmoja nione kama kwel huwezi amini mpaka Sasa naona aibu mimi![]()