Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Naona Tanga kama mji mtakatifu watu wengi mambo ya dunia wanayapa kisogo. Binafsi naipenda sana Tanga watu wanaupendo sana. Vituo vya maasi kama bar ni chache.Tanga watu wengi ni wa imani.wanaamini duniani ni mahali pa kupita tu.Hata wewe uliye na pupa zako za kishetani wanakushangaa sana.
 
Yaliyosemwa na mtoa mada ni kweli yapo japo mikoa mingine yapo pia vilevile. Kwa watu tuliofanya kazi za field mikoa yote ya Tanzania tumeona.
Kinachofanya Tanga hasa Tanga mjini paonekane kwamba pako juu sana kwa hayo mambo aliyoyataja mleta mada ni pamoja na: 1.udogo na mpangilio mzuri sana wa jiji la Tanga, . 2. Hakuna Traffic jam. 3.usafiri wa haraka sana wa gari, boda, bajaji, Taxi n.k. wa kutoka point A kwenda point B. Mfano ni rahisi sana toka Sahare kufuata na kufanya ufuska wako Nguvumali ukilinganisha na kama ungekuwa Dar kutoka labda Kibamba kwenda Buguruni. Rejea tafiti, usafiri unachangia kwa kiasi kikubwa sana ufuska na uasherati!
Hizo sehemu zote zinazotajwa na mleta mada navwengine waliopata kufika Tanga na kufanya ufuska zinafikika kwa urahisi. Pia maeneo yote yaliyotajwa ni ya madada poa. Ni kama vile mtu akutajie maeneo hayo kwa Dar.
NB: Usijisifie kwa uasherati ulioufanya kuna uwezakano mkubwa sana ukawa umepatwa na majanga. Kapime afya yako.
 
Mod futa hii taka taka ,huu uzi umejaa uongo na udhalilishwaji wa mji na watu wa tanga...na watanzania wote waishio tanga kwa ujumla...
 
Ninawasikitikia sana, nyie hamna heshima yoyote kwenye jamii na ni wahuni tu ambao mtakufa masikini. Unamtukania mtu mzazi wake unajiona mbabe sana.
Vipi huyu aliyetukana jamii nzima ya watu wa Tanga,kuwa wanawake wa Tanga wanakupa chochote kwa namna yoyote mahali popote? Hawa wanawake si mama za watu pia?
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
...Kwani, Tanga.... Kunani Paler!?
 
Nisaidie pia kuniulizia kwa hao Watu wako wa huko huko Tanga ni kwanini Wanawake wao wengi ( japo siyo wote ) wanapenda sana kupitia barabara za Vumbi na siyo zile za Lami? Wakishakujibu malizia Kuniulizia tena hao hao wana Tanga kuwa ni kwanini Wanaume zao wengi ( japo siyo wote ) wanapenda mno kwenda Kinyume na Maandiko ya Mwenyezi Mungu wawapo na Jinsia tofauti na Yao na hata wakiwa wao kwa wao? Nayasubiri Majibu yangu kutoka Kwako mwana Tanga na wana Tanga mliopo hapa. Nitashukuru.
Mkuu genta...hahahahaaa
 
Ninawasikitikia sana, nyie hamna heshima yoyote kwenye jamii na ni wahuni tu ambao mtakufa masikini. Unamtukania mtu mzazi wake unajiona mbabe sana.
Yeye aliposema wake za watu Tanga ni malaya, hilo sio tusi na kudhalilisha mama na dada zetu ? Unatetea ujinga ? Atakae kufa maskini ni nani ? Wewe ni Mungu ? Nakushauri usiingilie jambo lisilokuhusu
 
Vipi huyu aliyetukana jamii nzima ya watu wa Tanga,kuwa wanawake wa Tanga wanakupa chochote kwa namna yoyote mahali popote? Hawa wanawake si mama za watu pia?
Acha ukhanithi, tunazungumzia mambo tuliyoyaona na si kutukana mtu.
 
Asante kwa Ufafanuzi wako huu TeamTanga mwenzetu.
Tatizo LA Wachangiaji wengi humu in wale 'Waja Leo waondoka Leo na Basis LA Raha Leo'....!
Semina au Warsha imemleta Tanga kwa Wiki basis akirudi Mashenzini kwao alikotoka anakuwa ndio Kauli ya Mwisho huko kwao kuhusu Tanga.
Tukumbuke tu Kwamba Ustaaranu, na Mapenzi, vilianzia Tanga.
Inabidi tuwavumilie tu hawa Watoka Bars wanapofika Tanga na kuona wasiyoyajua !!
Mapenzi yepi yalianzia Tanga?
Adam na Hawa walikuwa Tanga? Maana ndio binadamu wa kwanza na Mapenzi walianza nayo na wakapata watoto
 
Back
Top Bottom