Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Kumbe unazungumzia tabia za ushoga, mbona dar hamshangai kuna mambo ya kweli lakini mengi ni chumvi tupu, niliwahi kuambiwa Tanga ukipiga teke hata kifuu kinaongea lakini nilikuwa napiga hata kuku lakini sijawahi kushuhudia hicho kitu.
Nyumba Mganga Nyumba Punga
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Yaani Nkuu, gari ununue weye, kuchangaa tuchangae chichi, baaa!! Tuombe laji tafajali bwana weye, baaa!!
 
Ungeenda Pongwe ungeliwa, mkuu. Hakuna wasomali Pongwe
Baada ya kuingia Tanga nikapata na lodge maeneo ya Sahare. Nikamtafuta bodaboda anipeleke kwenye "Wajasirimali" akanipeleka City centre ilipokua La Cassa Chika club karibu na posta/soko daah mademu wazee na wabovu sana japo jamaa aliwasifia kishenzi. Baadae ananiambia ooh twende Pongwe (yapata 15kms eti Kuna mademu wa kisomali) Nilikataa kulipia boda kwa ujinga wake na kunipotezea muda.
 
Hivi punde,

Sema inategemea Tanga ipi, kuna maeneo kama Lushoto ,kule wapiga kazi. Ila sasa maeneo mengin, ukishuka Tanga town, ukaenda enda mbelembele huko, utayaona mengi sana. Ila wakarimu sana.
Hapo kwenye ukarimu /maelezo kidogo mkuu maana tunakula mtori tu hauishi na nyama mmezichimbia chini
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
uzuri wa Tanga ni wakarimu sana,unaweza gonga mlango nyumba yoyote na ukakaribishwa ukapewa chumba cha kulala na binti wa kukuhudumia ukakabidhiwa....asanteni watu wangu wa Duga huduma yenu niliipenda ntarudi tena....TANGA RAHA
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Watu Wa pwani wote hawana haraka, wao ni mapenzi tu ndio kipaumbele chao tu
 
Umedanganywa hakuna kitu kama icho mi nimezaliwa tanga nimekua tanga nimesoma nursery mpaka form sixnilichagua shule za tanga tu hizo ni propaganda hakuna kitu kama icho mbele ya dini ya uislamu ukihisiwa tu umekwisha unaweza pigwa mawe izo ni propaganda za kimagharibi tu kule hakuna ushenzi kabisa naijua tanga yote
kiongozi unaweza kubaliana na mimi kwamba Wewe mwenyew huwezi jiona una tatizo mpaka aje mwingine ndo atajua una tatizo.Wewe kukulia tanga mambo unayaona ya kawaida tu akija mgeni ataona kuna tofauti kubwa..Ndo ilivyo hii maada!! Siku zote huwezi kuona Boriti lililopo katika jicho lako mwenyew Ila unaona kibanzi kilichopo kwenye jicho la nduguyo, Maana yake huwezi kuona matatizo yako mwenyew ila ya mwingine ni rahis kuyaona.
 
kiongozi unaweza kubaliana na mimi kwamba Wewe mwenyew huwezi jiona una tatizo mpaka aje mwingine ndo atajua una tatizo.Wewe kukulia tanga mambo unayaona ya kawaida tu akija mgeni ataona kuna tofauti kubwa..Ndo ilivyo hii maada!! Siku zote huwezi kuona Boriti lililopo katika jicho lako mwenyew Ila unaona kibanzi kilichopo kwenye jicho la nduguyo, Maana yake huwezi kuona matatizo yako mwenyew ila ya mwingine ni rahis kuyaona.
Umempa Elimu kubwa Sana
 
Hili Jambo linanishangaza Sana, maana mtu utakuta sio mzawa wa Tanga Wala hajawahi kufika ila vile amesikia habari za huko basi atazieneza na kutia chumvi zake nyingine nyingi.

Mimi ni mzawa wa Tanga na nimekulia Tanga, Mambo mengine kuhusu Tanga tunayashangaa yanavyovuma mno aisee maana ni tofauti kabisa na uhalisia.

Lakini kiukweli Tanga ni sehemu moja nzuri tulivu na isiyo na tafrani za kubughudhi, na kwa maendeleo watu wanapambana, swala la kupiga kazi watu wanapiga na ndio maana maisha yanaendelea na watu wanakula bata tena Bata mzinga sababu wanakidhi mahitaji yao.
1. Kwa nini maduka yanafunguliwa saa tatu? na kufungwa saa 11 jioni?
2. Kwa nini mpaka saa tatu asubuhi ndio utapata chai
3. Kwa nini migahawa na hoteli mwisho saa 9 Mchana. Usiku itabidi mama ntilie au chips!!!##
4. Kwa nini soko la mgandini na ngamiani linamilikiwa kwa wageni tu?
5. Kwa nini mikokoteni na boda zote ni za wageni? Wadigo wanafanya nini?
 
Umempa Elimu kubwa Sana
Maisha bhana ni Mungu tu anajua!! Mfano mzuri Vichaa sisi si tunawashangaa hawa ni vichaa ila wao wanaona kawaida..si ajabu ukakuta na wao wanatuona vichaa pia!!😀 huwezi kujiona una kasoro mpaka mtu mwingine akuone!!
Mwingine wa kuchekesha kidogo;
Unakuta kuna baadhi ya watu wanapenda kukaa peke yao tu kama chumbani atakaa hata masaa kumi, haongei na watu, hacheki..lakini yeye moyoni ana amani yote na furaha ila huwezi kuiona..ila wengine tunamwona ana matatizo makubwa😀. So maisha ni kitendawili anayetegua ni Mungu tu
 
kiongozi unaweza kubaliana na mimi kwamba Wewe mwenyew huwezi jiona una tatizo mpaka aje mwingine ndo atajua una tatizo.Wewe kukulia tanga mambo unayaona ya kawaida tu akija mgeni ataona kuna tofauti kubwa..Ndo ilivyo hii maada!! Siku zote huwezi kuona Boriti lililopo katika jicho lako mwenyew Ila unaona kibanzi kilichopo kwenye jicho la nduguyo, Maana yake huwezi kuona matatizo yako mwenyew ila ya mwingine ni rahis kuyaona.
Hakuna kitu kama icho usidanganywe sehemu yenye uislamu ni huwexi fanya mambo hayo na hata dar nimekaa nimekaa temeke pale maduka yanafunguliwa saa 3 n kuendelea nenda pale keko maduka mawili ukaone
 
Back
Top Bottom