Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Nisaidie pia kuniulizia kwa hao Watu wako wa huko huko Tanga ni kwanini Wanawake wao wengi ( japo siyo wote ) wanapenda sana kupitia barabara za Vumbi na siyo zile za Lami? Wakishakujibu malizia Kuniulizia tena hao hao wana Tanga kuwa ni kwanini Wanaume zao wengi ( japo siyo wote ) wanapenda mno kwenda Kinyume na Maandiko ya Mwenyezi Mungu wawapo na Jinsia tofauti na Yao na hata wakiwa wao kwa wao? Nayasubiri Majibu yangu kutoka Kwako mwana Tanga na wana Tanga mliopo hapa. Nitashukuru.
Achana na habari za kusikia sikia..!

Kama unataka kuyafahamu haya njoo Tanga ufanye utafiti wako Kama unaona hayo maswali ni muhimu na ya maana kwako.

Tanga siyo mbali kutoka hapo ulipo.
 
1. Kwa nini maduka yanafunguliwa saa tatu? na kufungwa saa 11 jioni?
2. Kwa nini mpaka saa tatu asubuhi ndio utapata chai
3. Kwa nini migahawa na hoteli mwisho saa 9 Mchana. Usiku itabidi mama ntilie au chips!!!##
4. Kwa nini soko la mgandini na ngamiani linamilikiwa kwa wageni tu?
5. Kwa nini mikokoteni na boda zote ni za wageni? Wadigo wanafanya nini?
Duka la wapi!??......maana Kama liko katikati ya mji kwann asifunge jioni awahi nyumbani!???....unataka achelewe kufunga umuibie!??? Wengine hufanya kwa sababu za kiusalama hasa maduka ya jumla.

Ila kwa maduka ya mtaani yapo Kama kawaida hadi night Kali.Swala la kusema eti mgandini Kuna milikiwa na wageni inamaana wasambaa ni wakazi kutoka wap!???......maana sijakuelewa kabisa mkuu!
 
Sio kweli mkuu,vipi iringa,mbeya na makete kuhusu maambukizi ya ukimwi nafikiri hiyo mikoa na wilaya zake inaongoza
Ni kweli,,kile ni kijembe tu,haiwezekani tanga uwepo ufuska,ukimwi wapate wa iringa.
 
Zanzibar ni hivyo hivyo. Nahisi watu wa pwani ni uvivu umewajaa. Nilikua nakasirika nikiamka asubuhi kwenda dukani nakuta maduka yamefungwa mpaka saa 4 ,5 ndo wanafungua maduka.
Tabia ya maduka kuchelewa kufunguliwa si pwani tu, labda kama hujatembea hii Tanzania.

Kwahiyi kuchelewa kufungua maduka si uvivu, ni ratiba za watu tu. Kadhalika kuwahi kufunga maduka ni ratiba za watu hata, hata hayo yapo sana Dar.
 
Chief
Mimi nimezaliwa Tanga na kuishi mpaka utu uzima wangu huu
Sijawahi ona sifa hii au kusikia katika Mji wetu
Si mjini wala vijijini

Bali
Naona kwenye mitandao watu wakisema kwa wingi na kutoa sifa chafu hizi kwa wazawa wa Tanga

ila nilichojua, ni jambo moja tu
Wengi wenu, huwa mnajijua na kufahamiana katika upuuzi huu
Sisi wengine tumeoa Tanga mjini kabisa, na tunaijua Tanga vizuri. Hawa hizi sifa mbovu huwa wanazipata wakiwa nje ya Tanga.

Mathalani unakuta mtu anasema watu wa Tanga wavivu hawafanyi kazi, ukiwauliza familia zao au wao wenyewe mnawalisha nyinyi ? Sasa watu wanafanya shughuli zao mapema wanamaliza mapema unasema wavivu. Ujinga mzigo sana.
 
1. Kwa nini maduka yanafunguliwa saa tatu? na kufungwa saa 11 jioni?
2. Kwa nini mpaka saa tatu asubuhi ndio utapata chai
3. Kwa nini migahawa na hoteli mwisho saa 9 Mchana. Usiku itabidi mama ntilie au chips!!!##
Mbona unauliza maswali ya kitoto sana, hizi ni ratiba za watu tu. Ushawahi kujiuliza kwanini huku Dar hasa Posta na Kariakoo maduka mengi yanafungwa saa 11 na moja na ule ni mji wa kibiashara una watu masaa ya 24...?

Watu wanaishi kwa mahesabu, hawaishi kizembe zembe kama mnavyotaka nyinyi.
 
unataka kutuambia kuwa mhenga aliyesema "haraka haraka haina baraka" anatokea tanga?
 
aliekwambia kakudanganya sana, gusa mtoto wamtu kifalafala upigwe ndoa mkeka popote pale utakapo kutwa nae, naukitaka kujua mke wamtu nisumu naenda tanga wakuelekeze unapigwa kibusha mchana kweupeeee.
shirt mpya inaweza kukufanya upigwe zongo sebuse yagari Kali...
 
humu ndani kuna wapuuzi wanaiongelea tanga vibaya mno. tanga maadili yapo tena kwa kiasi kikubwa. ni kawaida kuona bar inageuzwa, msikiti, mf: cassanova karibu na duga mwembeni. taifa rd.
kuhusu ushoga nikiri ni upo kwa asilimia chache mno kama ilivyo tu kwa mikoa mengine. mahala popote pale hakuna jamii inayopendezwa na vitendo vile.,,. hakuna kitu kinaniuma kama mtu kusema nyumba mganga nyumba shoga. (sikufichi kama uko mbele yangu jipange. nishawai kumpasua mtu buza na chupa kama nne nyuzi 5.) huo msemo unanikwaza sana na aliongea hivyo baada ya kujitambulisha kwake kwamba mi tanga ni nyumbani, japo sina asili ya pale ndo akaongea huo upuuzi.

TANGA NI JIJI DOGO lenye ustaarabu wa hali ya juu kuanzia mandhari mpaka watu wake... Hawapendi pupa kwani hawaamini ktk mlengo huo. Ni kawaida kuona abiria wa hiace nzima wakimsema dereva akienda mwendokasi. Hawataki pupa kwani wanajipenda mno watu wa tanga. Ukiachana na hayo ... Mapishi,mapenzi,ujamaa na urafiki,ukarimu . Ni moja ya mambo ya kila siku mjini pale.


Mambo ni mengi, ila mara nyingi napenda kusema za kuambiwa changanya na zako, nauli DSM - TA zina range 14k-25k NENDA KAJIONEE.
 
humu ndani kuna wapuuzi wanaiongelea tanga vibaya mno. tanga maadili yapo tena kwa kiasi kikubwa. ni kawaida kuona bar inageuzwa, msikiti, mf: cassanova karibu na duga mwembeni. taifa rd.
kuhusu ushoga nikiri ni upo kwa asilimia chache mno kama ilivyo tu kwa mikoa mengine. mahala popote pale hakuna jamii inayopendezwa na vitendo vile.,,. hakuna kitu kinaniuma kama mtu kusema nyumba mganga nyumba shoga. (sikufichi kama uko mbele yangu jipange. nishawai kumpasua mtu buza na chupa kama nne nyuzi 5.) huo msemo unanikwaza sana na aliongea hivyo baada ya kujitambulisha kwake kwamba mi tanga ni nyumbani, japo sina asili ya pale ndo akaongea huo upuuzi.

TANGA NI JIJI DOGO lenye ustaarabu wa hali ya juu kuanzia mandhari mpaka watu wake... Hawapendi pupa kwani hawaamini ktk mlengo huo. Ni kawaida kuona abiria wa hiace nzima wakimsema dereva akienda mwendokasi. Hawataki pupa kwani wanajipenda mno watu wa tanga. Ukiachana na hayo ... Mapishi,mapenzi,ujamaa na urafiki,ukarimu . Ni moja ya mambo ya kila siku mjini pale.


Mambo ni mengi, ila mara nyingi napenda kusema za kuambiwa changanya na zako, nauli DSM - TA zina range 14k-25k NENDA KAJIONEE.
Acha kubisha ukweli, ukiwa Tanga nyumba ya kwanza mganga nyumba ya pili choko
 
Back
Top Bottom