Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,962
Niliwahi kwenda Pangani.
Nilipenda sana kile Kiswahili cha wanawake wa kule. Wana lafudhi tamu mnoo ya Kiswahili, hadi leo naisikia masikioni mwangu. Achana na Tanga mjini, Kiswahili chao kimeshapakwa mkorogo. Fika Pangani... mwanamke akikusemesha utatamani aendelee kuongea tu, ni burudani tosha kumsikiliza tu.
Kingine nilichonotice Pangani... asubuhi kukuta nazi zimevunjwa njiapanda ni kama jadi.
Wanawake si 'wachoyo' hata kidogo! Ni wakarimu sana. Ni wastaarabu.
Nitarudi Pangani. Nitaenda kuoa Tanga. Huko ndiko mapenzi yalipozaliwa.
Tanga raha tupu!!!
-Kaveli-
Nilipenda sana kile Kiswahili cha wanawake wa kule. Wana lafudhi tamu mnoo ya Kiswahili, hadi leo naisikia masikioni mwangu. Achana na Tanga mjini, Kiswahili chao kimeshapakwa mkorogo. Fika Pangani... mwanamke akikusemesha utatamani aendelee kuongea tu, ni burudani tosha kumsikiliza tu.
Kingine nilichonotice Pangani... asubuhi kukuta nazi zimevunjwa njiapanda ni kama jadi.
Wanawake si 'wachoyo' hata kidogo! Ni wakarimu sana. Ni wastaarabu.
Nitarudi Pangani. Nitaenda kuoa Tanga. Huko ndiko mapenzi yalipozaliwa.
Tanga raha tupu!!!
-Kaveli-
nimeipenda, natamani nikadhurure Tanga labda nitapewa kweli chochote

