Ukiwa huna hela mipango ya biashara ina click vizuri kichwani

Ukiwa huna hela mipango ya biashara ina click vizuri kichwani

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,581
Reaction score
56,801
Ukiwa huna maisha umefulia balance haisomi kila idea unayoipenda ukiifikiria unaipangilia vizuri kabisa Kiasi cha mtaji,gharama za uendeshaji,faida,..imagine niliishiwa hela nikaanza kufikiria biashara ya uji,matunda,genge...na tena kisasa ma innovations kama yote..

Kosa waniingizie mkwanja Tu maboss huwa sikumbuki idea zinapoteaje poteaje NI mwendo wa kutafuna nchi,betpawa,bia,kitimoto,mademu anyway sio lazima wote tuwe matajiri kikubwa hakuna kufa kwa njaa Tanzania.
 
Ukiwa huna maisha umefulia balance haisomi kila idea unayoipenda ukiifikiria unaipangilia vizuri kabisa Kiasi cha mtaji,gharama za uendeshaji,faida,..imagine niliishiwa hela nikaanza kufikiria biashara ya uji,matunda,genge...na tena kisasa ma innovations kama yote..

Kosa waniingizie mkwanja Tu maboss huwa sikumbuki idea zinapoteaje poteaje NI mwendo wa kutafuna nchi,betpawa,bia,kitimoto,mademu anyway sio lazima wote tuwe matajiri kikubwa hakuna kufa kwa njaa Tanzania.
Aisee, mbona Kama unanisema Mimi! Nilichogundua hatuweki kimaandishi na kujikumbusha na kuweka kipaombele!
 
Haaa haaa unachukua laki unasema hiii ya bata tu, kesho inaisha u achukua elfu hamsini unasema hii iliyobaki siguzi kabisa, na omba iwe bank au kwenye sm mida imeenda na unambiwa kuna lipa namba hapa
 
Ni kweli kabisa. Muhimu chukua notebook uandike kila kitu ili ukipata hela ujikumbushe. Tatizo pia hela tukipata tunasahau Notebook
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom