Ukitoa bikira lazima damu itoke!?

Ukitoa bikira lazima damu itoke!?

Babygood

Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
11
Reaction score
3
Iam a married Lady, a few days past, sikuwahi kutembea na Mwanaume yoyote tangu utoto wangu.
Siku ya kwanza baada ya ndoa tulijaribu ku do lakini nilikuwa na maumivu sana mume wangu akaniacha, tuliendelea taratibu baada ya wiki Dudu ikawa inaingia though kuna kuwa na maumivu kidogo mwanzoni. lakini sikuona Damu ikitoka mpaka sasa. Nimeshawahi kuskia utamu sana Once, siku zingine naskia kawaida tu. Nifanyeje kuupata huo utamu tena? Mme wangu anjitahidi kuniandaa mpaka anaingiza Dudu kwa urahisi na yeye ana ridhika siku zote.. Ushauri Tafadhali:A S-baby::A S-baby:
 
Napita tu, niko under eighteen! Hata huo utamu sijui kama upo, Wakubwa wapo wanakuja!
 
hii ni wiki ya mabikra hapa jamvini....
nachekecha akili nijaribu kumkumbuka alienitoaga, aje hapa naye atoe ushuhuda make hadi nahisi wivu!!!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Iam a married Lady, a few days past, sikuwahi kutembea na Mwanaume yoyote tangu utoto wangu.
Siku ya kwanza baada ya ndoa tulijaribu ku do lakini nilikuwa na maumivu sana mume wangu akaniacha, tuliendelea taratibu baada ya wiki Dudu ikawa inaingia though kuna kuwa na maumivu kidogo mwanzoni. lakini sikuona Damu ikitoka mpaka sasa. Nimeshawahi kuskia utamu sana Once, siku zingine naskia kawaida tu. Nifanyeje kuupata huo utamu tena? Mme wangu anjitahidi kuniandaa mpaka anaingiza Dudu kwa urahisi na yeye ana ridhika siku zote.. Ushauri Tafadhali:A S-baby::A S-baby:

Bikra kutoka si lazima itoke kwa kudo na mmeo siku ya kwanza yawezekana ulisha ipotezea siku nyingi kupitia michezo ya kibaba baba, kuvimbiwa sana, kuruka ruka, kuendesha baiskeli n.k
 
Nina maswali kadhaa ambayo naogopa kuuliza kwani kuna watu wataweza kunishambulia hapa .... ila kwa faida ya wengi na according kwa maneno yako ngoja niulize
Ulishawahi kuendesha basikeli au karate kwani hivi vitu vinaweza kukufanya ikuondolee bikra na may be ilifanyika ukiwa mdogo sana hukujua ni nini

Na swali hili naamua kukuliza baada ya kupata mashaka
Wewe ni kabila gani?
Nauliza hivi sababu umesema kuwa uliwahi pata raha once then siku nyingine ni kawaida
Ndio maana nauliza wewe ni kabila gani kwanini usisikie raha maybe ulifanyiwa tohara ikaondoka na bikra i dont know na je najiuliza tohara inaweza kukuondolea bikra?

Wataakamu njoo mtusaidie
"Sikuwahi tembea na mwanaume yeyote"tangu utoto wangu hii sentesi tata mkuu ninkwamba tangu uzaliwe hujui utupu wa mwanaume au kibaba na mama sana tu ila ulivyobalehe hujafanya ....hapo pia kuna tofauti ...

Otherwise ma dr humu watatusaidia kutoa data...
 
tunafunga mwaka na story za mabikra tu! ni hivi siyo lazima damu kutoka
kuhusu utamu ,hata baada ya kuandaliwa jaribu kurelax ili kuta za K nazo zirelax ,kwani inaonekana unatayarishika vizuri lakini wakati wa kupokea dushulele unaingiwa na hofu/woga
 
Sex with a virgin girl does not necessary result in some blood loss.

Je ni lazima itoke damu when you lose your virginity...You may, indeed bleed when you have intercourse the first time.

Lakini sio the breaking of the hymen that will cause almost all your bleeding, the hymen actually can be broken with hardly any blood appearing.

Hizo ndo sababu because the hymen is so small, and the vessels that supply it with blood are so miniscule that actually, if just the hymen is broken, you will need a magnifying glass to see any red spots from bleeding.

Usiende mbali sana unaweza uka bleed pale unafanya sex hata kama ulisha fanya mara kumi, sio lazima kwa sababu ya bikra tu :biggrin1:
 
Utokaji wa damu ni ikiwa alifanikiwa kuungiza dhakari katika siku ya kwanza lakini wewe aliizoeza njia qanza hivyo damu haiwezekan kutoka.

Ushauri wa kuyafurahiya mautamu wasubiri Zinduna, lara 1, Evelyn Salt Erotica Kongosho Madame B.


Bazazi!


Mkuu umemealiza nilitaka kumwambi hiki hiki ulichosema wewe.Nina experince ya kuzitoa tano ila zilizotoa damu ni 2 tu nyingine ni ku_bargain kuingiza kwa mafungu mpaka iishilizie
 
Last edited by a moderator:
hii ni wiki ya mabikra hapa jamvini....
nachekecha akili nijaribu kumkumbuka alienitoaga, aje hapa naye atoe ushuhuda make hadi nahisi wivu!!!!

Hahahahaha mamaaa magubegube
Naimba tuu 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom