Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mimi nikienda nyumbani Morogoro napanda ABOOD BUS, nikienda ukweni Arusha napanda GORIKA BUS....Endeleza na wewe mkuu....
bus la KAMATA-kampuni ya mabus tanzania!walijua wewe?
Kwani lazima upande bus tu?Siku hizi watu wanaself drive ..labda uzungumzie enzi zile za kusafiri usiku na kufika asubuhi
mimi napanda precision air mpaka kia, then gari ya nyumbani (vogue) inanichukua mpaka nyumbani marangu
Kwacha transport