Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange

Ukitaka kwenda kuishi Marekani inabidi ujipange

Miaka flani Niko bongo sielewi mambo hayaeleweki Nina sista angu Yuko u.s nongea nae kuhusu mikwenda huko marekani kujaribu maisha anakubali mipango inakamilika kijana natua Jackson heartsfield Atlanta lengo kubwa la kwenda marekani ni kupata exposure

Harakati zinazofuata ni mim kutafuta kazi marekani kazi zipo Ila Sasa kule ukisikia kazin kazini kweli full supervision unafanya kazi masa 10 mpaka 12 hiyo ni uongeze kipato ukizingatia kazi zenyenyewe unalipwa kwa masaa kwa hiyo lazima ukomaee Ila kazi tu zipo, baada ya mda kudunduliza ela nahama kwenye basement nyumbani kwa sister nahamia kwenye kichumba kimoja sehemu moja hivi inaitwa sandy springs

Tatizo la marekani maisha expensive kipato cha kawaida ukizingatia nilienda kama mtu wa Kawaida kila kitu ni ela yaan ukisikia capitalism kule ndo inakua practice 💯 swala la kuwa na depression, loneliness ni moja ya vitu lazima ukumbane navyo usipokua makini lazima uingie kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Ukikaa marekani kitu unachoombea kila siku ni usiumwe sababu ni balaa, kuhusu starehe nayo pia ni mtihan kwa mtu mwenye kipato Cha kawaida, wanawake wengi wa Atlanta ni materials things inabidi kuwapata ni gharama wako after money

Kwa sasa hivi nilisharudi tz sababu za kifamili na maisha ya marekani ili yakuendee vizuri uwe na professional means at least umesomea master kule kama hujasoma bachelor kwenye fani za science, au unakipaji kitu ambacho kwa watanzania wengi mpaka wanakua hawajui vipaji vyao, kwenda marekani hivi hivi ni kugumu sana kwa sababu kwa maisha utajikuta unapata ela ya kawaida alafu unaishi kwa mawazo sana in short unataka kwenda marekani kutafuta maisha jipange na uwe mtu wa kujiongeza sana na uwe competent hivi hivi sikushauri hata kidogo

Vitu nilivuomiss marekani ni exposure Ila mwaka ntarudi nikiwa nimejipanga zaidi
Binafsi nipo USA miaka 20 sasa. Mwanzo ilikuwa changamoto sana.. hasa kupata green card. Kweli maisha yalibadilika nilipoipata. Bila ya hio green card au uraia full.. USA mtu utateseka sana. Ukiwa na green card lakini...
1. unasoma bure degree ya kwanza... na nyingine scholarships kibao..
2. ukishasoma kama ulivyosema ndio unapata kazi nzuri..
3. ukiugua.. unapata asilimia kubwa tu mshahara wako vizuri..
4. ukipoteza kazi.. unalipwa pia fidia nzuri tu kila mwezi.. nk.
5. Unasafiri kwenda bongo bila kikwazo... nk.

Binafsi huku matumizi nimeweka chini. Upuuzi wa kushindana na WaTz wengine kununua nyumba na kubadili magari kila siku sifanyi. Investments zangu ni Tz. Na hazijaniangusha kamwe.
 
Miaka flani Niko bongo sielewi mambo hayaeleweki Nina sista angu Yuko u.s nongea nae kuhusu mikwenda huko marekani kujaribu maisha anakubali mipango inakamilika kijana natua Jackson heartsfield Atlanta lengo kubwa la kwenda marekani ni kupata exposure

Harakati zinazofuata ni mim kutafuta kazi marekani kazi zipo Ila Sasa kule ukisikia kazin kazini kweli full supervision unafanya kazi masa 10 mpaka 12 hiyo ni uongeze kipato ukizingatia kazi zenyenyewe unalipwa kwa masaa kwa hiyo lazima ukomaee Ila kazi tu zipo, baada ya mda kudunduliza ela nahama kwenye basement nyumbani kwa sister nahamia kwenye kichumba kimoja sehemu moja hivi inaitwa sandy springs

Tatizo la marekani maisha expensive kipato cha kawaida ukizingatia nilienda kama mtu wa Kawaida kila kitu ni ela yaan ukisikia capitalism kule ndo inakua practice 💯 swala la kuwa na depression, loneliness ni moja ya vitu lazima ukumbane navyo usipokua makini lazima uingie kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Ukikaa marekani kitu unachoombea kila siku ni usiumwe sababu ni balaa, kuhusu starehe nayo pia ni mtihan kwa mtu mwenye kipato Cha kawaida, wanawake wengi wa Atlanta ni materials things inabidi kuwapata ni gharama wako after money

Kwa sasa hivi nilisharudi tz sababu za kifamili na maisha ya marekani ili yakuendee vizuri uwe na professional means at least umesomea master kule kama hujasoma bachelor kwenye fani za science, au unakipaji kitu ambacho kwa watanzania wengi mpaka wanakua hawajui vipaji vyao, kwenda marekani hivi hivi ni kugumu sana kwa sababu kwa maisha utajikuta unapata ela ya kawaida alafu unaishi kwa mawazo sana in short unataka kwenda marekani kutafuta maisha jipange na uwe mtu wa kujiongeza sana na uwe competent hivi hivi sikushauri hata kidogo

Vitu nilivuomiss marekani ni exposure Ila mwaka ntarudi nikiwa nimejipanga zaidi
Kwa hio kujipanga.. ni kujipanga upate green card tu.. na kujipanga ukae mbali na wabongo wenye umbea wanaoishi USA. Unafanya mambo yako tu. Utafanikiwa sana.
 
Binafsi nipo USA miaka 20 sasa. Mwanzo ilikuwa changamoto sana.. hasa kupata green card. Kweli maisha yalibadilika nilipoipata. Bila ya hio green card au uraia full.. USA mtu utateseka sana. Ukiwa na green card lakini... unasoma bure degree ya kwanza... na nyingine scholarships kibao.. ukishasoma kama ulivyosema ndio unapata kazi nzuri.. Binafsi huku matumizi nimeweka chini. Upuuzi wa kushindana na WaTz wengine kununua nyumba na kubadili magari kila siku sifanyi. Investments zangu ni Tz. Na hazijaniangusha kamwe.
Ndo maana Kuna mdada nimemuambia inabid uwe mtu wa budget sana na malengo
 
Binafsi nipo USA miaka 20 sasa. Mwanzo ilikuwa changamoto sana.. hasa kupata green card. Kweli maisha yalibadilika nilipoipata. Bila ya hio green card au uraia full.. USA mtu utateseka sana. Ukiwa na green card lakini... unasoma bure degree ya kwanza... na nyingine scholarships kibao.. ukishasoma kama ulivyosema ndio unapata kazi nzuri.. Binafsi huku matumizi nimeweka chini. Upuuzi wa kushindana na WaTz wengine kununua nyumba na kubadili magari kila siku sifanyi. Investments zangu ni Tz. Na hazijaniangusha kamwe.
Vyema sasa inakuwaje kwa mgeni? Tupe ushauri ili tukija mateso yapungue.
 
Vyema sasa inakuwaje kwa mgeni? Tupe ushauri ili tukija mateso yapungue.
Usije USA na visitor visa.. Visitor visa mbaya sana. Utateseka hadi utajuta kwa nini uliondoka Tz.
Njoo na student visa.. itakusaidia utapata kazi. Utaomba tu TIN (SSN) na ID Card ya state. Then unapiga kazi wakati unafanya process za green card kupitia mke mmarekani au kampuni iliokupa kazi.
Mke au mme lakini uwe makini sababu akinusa foul.. haupati milele...
Ukiingia kwa ndoa.. unatakiwa ukae miaka miwili ndio unapewa green card isiyo na limitations. Mara nyingi kabla ya 2 years. Mmarekani anaona hapana.. anakuvurugia na haupati green card kabisa. Ndio hilo tu la kuwa makini.
 
tupe bei elekezi ya mbususu za road.
nakwambiaje mtaalam maisha ya kule hatuyawez kule hakun kula kwa mjomb tena uanapakua mavipande ya kuku na umeend bila appointment na chumba kwa anko unapewa unallala hata siku 3 kule maisha ya kibepar kila mtu anakufa kivyake watoto hawan adab na wazaz wao ukifika 18 umemaliza masom yote na kaz unapiga

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wengine ni matomaso, lakini ni bora kuwaambia ukweli likiwapata wasiseme hawakuambiwa.......ukienda huko kindezi mfumo unakutumikisha kuwa mtumwa maisha yako yote na unaweza kuishia kuwa ombaomba...
Mkuu vip wanao enda kama wakimbizi,nina rafiki yangu wameenda kumi na mbili.wapo shicago now kama refugees
 
Huo uandishi tu kwanza!! Unajua kabisa hii njemba ni ya hapo ulongoni hapo,akienda mbali sana kariakoo
Naona umejikatia tamaa ya maisha au kwenda abroad,

So,ukisikia mtu yupo nje au alikua nje unaona ni kitu kisichowezekana au ni uongo kisa tu kwa vile wewe huwezi ndio unadhani wote hawawezi,

Si ajabu kama mleta mada angeleta thd ya kulalamika ugumu wa maisha basi wewe ungempa pole nyingi tu na kumwambia apambane atatoka tu,

Wacha nikomae na box hapa kwa Malkia nawe endelea tu kubeza watu ila kumbuka muda haumsubiri mtu.
 
Nimekaa US mwaka wa 12 nikiwa na green card, sijawahi kujutia kuja. Nilijaribu kurudi nyumbani nikapata frustration za kutosha na kuona bora nirudi. Marekani ili uishi unatakiwa kufanya kazi, uwe na Green card au citizenship. Unatakiwa uwe na profession ikiwa umekuja nayo au umeipata huku yote sawa. Uchumi wa hapa ni capitalistic so hamna shortcut, ukifanya ujanja ujanja utaadhirika tu. Ukiwa professional hutajuta, hamna nyumba ya $400 lbd huko kusiko na usalama lkn nilipo mie nalipa $2000 kwa 2 bedroom lkn natengeneza sio chini ya $8000 kwa mwezi naweza kuishi dream life na pia nawekeza nyumbani bila kujali kuna challenge nyingi sana. Marekani ni ngumu lakini Tanzania is far from ugumu. Ndo mawazo yangu
 
Naona umejikatia tamaa ya maisha au kwenda abroad,

So,ukisikia mtu yupo nje au alikua nje unaona ni kitu kisichowezekana au ni uongo kisa tu kwa vile wewe huwezi ndio unadhani wote hawawezi,

Si ajabu kama mleta mada angeleta thd ya kulalamika ugumu wa maisha basi wewe ungempa pole nyingi tu na kumwambia apambane atatoka tu,

Wacha nikomae na box hapa kwa Malkia nawe endelea tu kubeza watu ila kumbuka muda haumsubiri mtu.
na kubeba box kunaitaji green card? The Icebreaker
 
Nimekaa US mwaka wa 12 nikiwa na green card, sijawahi kujutia kuja. Nilijaribu kurudi nyumbani nikapata frustration za kutosha na kuona bora nirudi. Marekani ili uishi unatakiwa kufanya kazi, uwe na Green card au citizenship. Unatakiwa uwe na profession ikiwa umekuja nayo au umeipata huku yote sawa. Uchumi wa hapa ni capitalistic so hamna shortcut, ukifanya ujanja ujanja utaadhirika tu. Ukiwa professional hutajuta, hamna nyumba ya $400 lbd huko kusiko na usalama lkn nilipo mie nalipa $2000 kwa 2 bedroom lkn natengeneza sio chini ya $8000 kwa mwezi naweza kuishi dream life na pia nawekeza nyumbani bila kujali kuna challenge nyingi sana. Marekani ni ngumu lakini Tanzania is far from ugumu. Ndo mawazo yangu
Vip kuja kama mkimbizi Mkuu.
 
Nimekaa US mwaka wa 12 nikiwa na green card, sijawahi kujutia kuja. Nilijaribu kurudi nyumbani nikapata frustration za kutosha na kuona bora nirudi. Marekani ili uishi unatakiwa kufanya kazi, uwe na Green card au citizenship. Unatakiwa uwe na profession ikiwa umekuja nayo au umeipata huku yote sawa. Uchumi wa hapa ni capitalistic so hamna shortcut, ukifanya ujanja ujanja utaadhirika tu. Ukiwa professional hutajuta, hamna nyumba ya $400 lbd huko kusiko na usalama lkn nilipo mie nalipa $2000 kwa 2 bedroom lkn natengeneza sio chini ya $8000 kwa mwezi naweza kuishi dream life na pia nawekeza nyumbani bila kujali kuna challenge nyingi sana. Marekani ni ngumu lakini Tanzania is far from ugumu. Ndo mawazo yangu
Ndo maana nikasema inabid ujipange professional-wise
 
Nimekaa US mwaka wa 12 nikiwa na green card, sijawahi kujutia kuja. Nilijaribu kurudi nyumbani nikapata frustration za kutosha na kuona bora nirudi. Marekani ili uishi unatakiwa kufanya kazi, uwe na Green card au citizenship. Unatakiwa uwe na profession ikiwa umekuja nayo au umeipata huku yote sawa. Uchumi wa hapa ni capitalistic so hamna shortcut, ukifanya ujanja ujanja utaadhirika tu. Ukiwa professional hutajuta, hamna nyumba ya $400 lbd huko kusiko na usalama lkn nilipo mie nalipa $2000 kwa 2 bedroom lkn natengeneza sio chini ya $8000 kwa mwezi naweza kuishi dream life na pia nawekeza nyumbani bila kujali kuna challenge nyingi sana. Marekani ni ngumu lakini Tanzania is far from ugumu. Ndo mawazo yangu
Kwa watu tulioishi USA kwa muda mrefu.. hakika ni changamoto kujaribu kuhamisha makazi Tz. Uswahili mwingi.. pia sababu tumeshajiwekeza kiuchumi in USA.. kwenda Tz kuanza moja inakuwa changamoto. Ndugu wanataka kukuangamiza.. waswahili mtaani pia. Lakini Capital ya kuwekeza Tz ukiwa USA unaipata kiurahisi sana. Ni kupata tu system nzuri tz ambapo investments zitakuwa zinagererate sustainable income na profits nzuri sana sana.
 
Mkimbizi Tanzania una kimbia nini? Walioweza ni wale wakimbizi wa siasa.. all in all inawezekana, lakini uwe mtu kama mwanasiasa wa chadema anayekimbia kuteswa nk.
Naulizia kuhusu wakongo,wa sudani wanahudumiwa na serikali ya huko.maana kuna rafiki yangu wameondoka huku kumi na mbili wameenda chicago yaani wamefika juzi.najiuliza kama ndio mgum hivyo wataishije?
 
Mwishowe kwa mwenzi anabakiwa na $ 130. Hapo iwe Mara 12. Utajikuta miaka 7 una $ 900 nje ya maradhi.
Halafu sasa kwakuwa ushaaga home huko Kibondo ama Sumbawanga na wanajua upo majuu, basi wanategemea kuwa ushatoboa maisha na ukipita mchango tu wa ndugu wanategemea utoe pesa ndefu. Kumbe choka mbaya tu na wewe, utaishia kupata depression bure. Ndio maana watu huwa wanaogopa kurudi home, kila mwaka anapiga chengachenga tu. Kiufupi kutoboa ukienda ughaibuni ni bahati tu sawa na ilivyo bahati kutoboa ukiwa bongo hata kama una mtaji wa biashara maana unaweza usitoboea na wanaofanikiwa ni wachache sana.
 
Back
Top Bottom