wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 857
- 858
Wapo tena ni wengi shida vitendea kazi ndio tatizo na eneo la kazi ni shidaInamana unataka kunambia marekani wauza vitumbua hawapo au wauza bagia zile za mia 100 au wauza mihogo au kule kandoro hazipo???[emoji56][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2957]