Ukistaajabu tozo za miamala kuna na hili la Kodi ya Jengo kulipwa kutumia LUKU

Kodi ya nyumbani kupitia luku siyo halali. Kwahiyo tuseme wameshindwa kubuni mbinu halali za kukusanya kodi.
 
Kodi ya nyumbani kupitia luku siyo halali. Kwahiyo tuseme wameshindwa kubuni mbinu halali za kukusanya kodi.
Wanachokifanya hawa jamaa ni sawa na wewe uwe na noti ya elfu kumi uvunje vunje na kuiweka kwenye mifuko yako tofauti ya surali na koti halafu uje usikusanye sehemu moja ukitarajia hela zitakuwa nyingi
 
Kodi unazilipaje na una kipato kidogo? We uwezo wako kumeki ni 10000 kwa siku familia ile na uache hela ya kesho!
Tungekuwa na uchumi wa hata dollar 15 kwa siku atleast watu wangemudu sababu mtu wa kipato cha chini anamudu kupata 35,000 kwa siku ni hela ambayo hata ukitaka achangie 5000 kwa siku haimuathiri chochote!
 
Mi binafsi nilishapata mbinu ya kuhakikisha mwenye nyumba analipa Kodi yake yeye mwenyewe. Ni kumtaka mwenye nyumba atoe Kodi yake ya nyumba mapema atukabidhi halafu tutachangishana na wapangaji wenzangu na ile yake tunaenda kununua umeme. Asipotoa Kodi yake hapati
 
Kodi hii ni buku 10 kwa mwaka yaani kama mpo wapangaji 4 na luku ni moja kila mtu anatoa buku 2500 kwa mwaka punguzeni kulamika
Wewe na familia yako ni wanufaika wa hiyo Kodi.
Mm na familia yangu tutatumia solar mwanzo mwisho hadi huu ukhanithi utakapoisha.!
 
Uliruhusu vichaa wachukue madaraka halafu unatarajia wafanye right decisions?Unafikiri katika haya maamuzi ya kiwendawazimu ya Serikali unayoyazungumzia hapa wewe hauusiki?
 
Angalia tu namma walivyoingia madarakani
 
Wakapimwe akili.
Mwenzao Dialo alisema huwa tunachagua vichaa
Diallo ana akili sana! Hivi katika hali ya kawaida, unapata wapi ujasiri wa kumteua mwigulu kuwa Waziri wa Fedha!!

Mtu amekaa kiujanja ujanja na kiupigaji pigaji tu!
 
Serikali imeishiwa pumzi, labda sasa waseme ni kodi ya nishati tutawaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…