Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Mzee wa kuchezesha wewe unaweza kuona kitu ukanyamaza?
Sinaga habari na habari za mtu, hata nikijua siwezi ongea popote pale.
Wanangu wananijua vema.. hata zile mbanga za huyu hivi huyu vile sipendi ongelea,
Kidoogo mke wangu kanibadili, hapo awali ilikuwa akianza kunipa habari za huyu na yule, napotezea natia mada nyingine, nikaja kugundua namkosea sababu anapenda kunipigisha stori hizo, siku hizi namsikiliza na kumuitiakia kinafiki tu, zile "ndio,enhee, duh, "
 
Hakuna cha siri bwashee, hakuna mchongo utaufanya iwe siri maisha yetu yanategemeana vibaya mno, ego tu
Wewe mbona husemi jinsia yako?
Husemi kazi yako?
Husemi madeni yako?
Husemi wizi wako?
Ego iko wapi hapo acha kupotosha watu na kwa akili yako utabwabwaja kila kitu.
Nb: Hata jukwaa la jamii forum lina endeshwa kwa siri
 
Wewe mbona husemi jinsia yako?
Husemi kazi yako?
Husemi madeni yako?
Husemi wizi wako?
Ego iko wapi hapo acha kupotosha watu na kwa akili yako utabwabwaja kila kitu.
Jinsia yangu sio siri
Madeni yangu bank wanayajua sio siri
Wizi wangu niliowaibia wanajua sio siri

Wewe ni unabwabwaja fuc,,,k yu🖕
 
Nyongeza; Ndio maana kwenye kutaka kujua siri, wapelelezi wanafundishwa kwanza ku "trace" faragha na mienendo ya wahusika; faragha na mienendo ndiyo ndio huwapeleka wapelelezi kwenye kujua siri husika.
Platinum kumbe una madini hivi then upo kimya nakuja unipe mbinu za ujasusi🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Sinaga habari na habari za mtu, hata nikijua siwezi ongea popote pale.
Wanangu wananijua vema.. hata zile mbanga za huyu hivi huyu vile sipendi ongelea,
Safii Mwanaume anatakiwa kua hivi hata mwanamke pia
Kidoogo mke wangu kanibadili, hapo awali ilikuwa akianza kunipa habari za huyu na yule, napotezea natia mada nyingine, nikaja kugundua namkosea sababu anapenda kunipigisha stori hizo, siku hizi namsikiliza na kumuitiakia kinafiki tu, zile "ndio,enhee, duh, "
Unaitikia kinafki usikose papuchi😅😅
 
Platinum kumbe una madini hivi then upo kimya nakuja unipe mbinu za ujasusi🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Sina ujasusi wowote mie, nipo zangu home tuu hapa na bando langu la jero, nafuatilia uzi wako. 😊
 
Safii Mwanaume anatakiwa kua hivi hata mwanamke pia

Unaitikia kinafki usikose papuchi😅😅
Muhimu, nilichogundua anapenda umbea(hawezi weka jambo,) na hana wa kuzungumza nae, jambo yuko radhi akae nalo hata miezi mi3 kama sipo, ila siku nikirudi atanimwagia yoooote.😂😍
 
Siri ni illusion kama ilivyo upendo tu
"Everything is but an illusion" ndo maana wakina Albert Einstein waliishia kupiga nyeto tu. If you see the truth you can't unsee it.
Maisha yanatuhitaji sana watu kama sisi tujifunze the art of being delusional ili kuishi na jamii.

Unamwonaga Kanye west? Jamaa huwa wanamwita kichaa but he's the goat angalia interviews zake huwa zinaleta controversy ila jamaa ni genius

Njoo kwenye love life yake sasa utachoka. So haya mambo sometimes inabidi unayatafutia mzani tu upate balance ya ku thrive
 
Jinsia yangu sio siri
Madeni yangu bank wanayajua sio siri
Wizi wangu niliowaibia wanajua sio siri

Wewe ni unabwabwaja fuc,,,k yu🖕
Kitendo cha madeni yako kujulikana na benki tuu hiyo ni siri
Jinsia yako sisi hatuijui ni siri yako kama hakuna siri tembea uchi.
Hata kitendo cha sukari kukupanda hiyo nayo ni dalili zakukosa siri.
 
Muhimu, nilichogundua anapenda umbea(hawezi weka jambo,) na hana wa kuzungumza nae, jambo yuko radhi akae nalo hata miezi mi3 kama sipo, ila siku nikirudi atanimwagia yoooote.😂😍
Ameshakugeuza mbeya wa reja reja 😅
Enjoy na wifi mzee♥️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom