Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Janja mbona hana shida ? Mda mwingine ni utani tu , mimi nimeignore kibao ila mwisho wa siku nilikugundua ni ego za kijinga tu nikawatoa 😁
Ukichukulia kitu personal utaishia kupata cha kukufurahisha tu na sio cha kuku challenge ShesRise_1
 
Ni muhimu kuwa msiri sana sana. Though siri zingine ni toxic zaweza kukuua.

Au nikwambie siri 1
Kuna mahali tulikuwa kwenye mafunzo fulani.
Kuna msala ukatokea ambao kama nisingefanya nilichokifanya huenda kikosi chote tungepigwa chini, ila nilifanya jambo dogo la kijinga lililotubakiza salama hadi tukamaliza mafunzo japo wachache walitolewa mbuzi wa kafara.
 
Kuna mahali tulikuwa kwenye mafunzo fulani.
Kuna msala ukatokea ambao kama nisingefanya nilichokifanya huenda kikosi chote tungepigwa chini, ila nilifanya jambo dogo la kijinga lililotubakiza salama hadi tukamaliza mafunzo japo wachache walitolewa mbuzi wa kafara.
Great šŸ‘
 
Kitendo cha madeni yako kujulikana na benki tuu hiyo ni siri
Jinsia yako sisi hatuijui ni siri yako kama hakuna siri tembea uchi.
Hata kitendo cha sukari kukupanda hiyo nayo ni dalili zakukosa siri.
Wochi yua six na usubiri watu wenye akili watakaohoji comment yangu yu as,, hole.šŸ–•
 
Kuna siri za kuzikwa nazo, ukizitoa tu unaweza kuisambaratisha familia, ninayo moja..Mungu anisamehe ila sitamwambia awaye yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom