Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Sometimes naloa yani, ndo shida 😛

Ndio upiemugi pia unajua kuna wakati unakutana na malaika hata hujui then ukiangalia kwa makini ndio unagundua kumbe huyu ni Rafaeli au Gabrieli au Fanueli
Una mpango gani leo na mbavu zangu kaka mie hoi🤣🤣🤣

Huyo malaika ni wewe ?

Kati ya hao watatu wewe yupi ni Rafael au Gabriel 😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom